Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,154
Wanajua hata wakiachika wataenda kuuza siku hizi wateja ni wengi tofauti na zamani.
Sio tu kuuza... hata tukitaka za kununua
Ndio hasara ya kusomesha mabinti zenu.
Wanajua hata wakiachika wataenda kuuza siku hizi wateja ni wengi tofauti na zamani.
zile zilikuwa enzi za ujamaa siku hizi ni enzi za ubepari
Wazamani walijariwa uvumilivu bwana, afu kwanza ukirudi kwenu unatimuliwa urudi kwa mumeo hakuna anayekupokea.
Siku hizi mwanamke akipigwa kidogo anarudi kwao, mzazi anampokea kwa mikono miwili ndio kwanza anasema " afadhari ulivyoondoka mana angekuua"
kila jambo na wakati wake... "hatukandi mbwa makalio "
Hina imepapatuka - Malenga wapya
Kinyume chake ndio sahihi.Zamani ni waoga sana ila sasa wananjiamini
Hiyo SMS ilikuwa inasemaje labda? Kuna text nyingine Ni heart attack Kabisa
vyote vyote. wapo walioletewa wake wenza na wengine mahawala tu.
Wazamani walijariwa uvumilivu bwana, afu kwanza ukirudi kwenu unatimuliwa urudi kwa mumeo hakuna anayekupokea.
Siku hizi mwanamke akipigwa kidogo anarudi kwao, mzazi anampokea kwa mikono miwili ndio kwanza anasema " afadhari ulivyoondoka mana angekuua"
Sure, halafu wanalalamika hawaolewi.
Halali haswa, Bado kuna wasaa wa wane !! Ni kutoshekga na hali halisi!!