miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Ukikuta mkeo anapigwa bao moja na houseboy vp utakausha.
atamshikia mguuu
Ukikuta mkeo anapigwa bao moja na houseboy vp utakausha.
Daah Si matusi hayo Jamani,kama alivyonena miss chagga.
umeeona ee bora afe nao bibi ujinga huo uniletee kwangu upuuzi kama sijakukata uume jaribu uone nyoooo
Tuko wawili tunatosha
Aaaa mbona mamangu alikuwa na aunty mdogo pamoja?!
umeeona ee bora afe nao bibi ujinga huo uniletee kwangu upuuzi kama sijakukata uume jaribu uone nyoooo
Ujue sometimes Mtu anakutana na maudhi kibao kwenye ndoa, but Mtu anavumilia tu. Siku inaingia message ya Kejeli kidogo tu, but itakumbushia maudhi yote na Mtu anaondoka kiutani tu. uvumilivu una kikomo JamaniJEKI anataka tuvumilie mpaka utiwe vidole machoni uwe kipofu ha ha ha ha ha ha
Ujue sometimes Mtu anakutana na maudhi kibao kwenye ndoa, but Mtu anavumilia tu. Siku inaingia message ya Kejeli kidogo tu, but itakumbushia maudhi yote na Mtu anaondoka kiutani tu. uvumilivu una kikomo Jamani
Ujue sometimes Mtu anakutana na maudhi kibao kwenye ndoa, but Mtu anavumilia tu. Siku inaingia message ya Kejeli kidogo tu, but itakumbushia maudhi yote na Mtu anaondoka kiutani tu. uvumilivu una kikomo Jamani
ndo enzi hizo walifanya hivyo? hapa tunaongelea ya enzi hizo, hayo yenu yalikuwepo?
unayajua yanayotokea baada ya uvumilivu kufika mwisho? unadhani umetatua kumbe ndo umeharibu zaidi.
mtazeekea kwa baba zenu nani awaoe wanawake wabishi hatari ...uvumilivu hamna..yaani unanikuta napiga goli moja tu house girl unanuna? mxxxx
kumbe hakuna unachokijua. Enzi hizo mwanamke hawezi hata kymsogelea tu mwanaume asiye mmewe. Itakuwa kukutwa na houseboy, si utakatwa kichwa.
wakiwa wanne sunna wewe vip mbona unanibania
Aunty aliolewa ndoa halali
Sasa chagua uoe wengine nisepe