Wanawake wa siku hizi mna bahati

Wanawake wa siku hizi mna bahati

Du ndio maana uwa nasemaga wa mama wa enzi hizo ha
wakuenjoy ndoa na nimemuelewe kusema wa sasa wana bahati , ndoa gani unaumizwa kila siku eti heshima kwenye mapenzi, mume anatakiwa awe best friend wako na Sio Mungu wako. Yaani enzi hizo wanawake wengi walikuwa hata hawajui kileleni maana yake nini. N
 
hilo nalo ni tatizo
Na ole umkimbie mtu halafu ajuwe kwamba huko uliko unapata shida ile mbaya... YAANI KAMA ANAKUNYWA ATATAFUTA BAR ILIYO KARIBU NA HAPO UNAPOTESEKEA... kila akirudi anapaki prado yake hapo na anakunywa huku anahakikisha unamwona....
 
Bila uvumilivy hata sisi tusingekuwepo maana Mungu anavymilia mengi tuyafanyayo
Kama wanadamu tuvumiliane na kuchukuliana
 
Na ole umkimbie mtu halafu ajuwe kwamba huko uliko unapata shida ile mbaya... YAANI KAMA ANAKUNYWA ATATAFUTA BAR ILIYO KARIBU NA HAPO UNAPOTESEKEA... kila akirudi anapaki prado yake hapo na anakunywa huku anahakikisha unamwona....
uwii nitaomba msamaha
 
Zamani eti mchepuko wa mwanaume unakuwa rafiki wa mke wake,siku hizi subutuuuuuu!!.Sasa sijui kama wa siku hizi ndo wanajua kupenda zaidi, ni hii hali ya maradhi au ni uchoyo tu.
 
Teh teh teeeeeh! Wanaume bwana! Haya weeeh! Sie tuna mioyo ya chuma walaaa hakuna tatizo.
 
Kuvunja ndoa ni bahati? makubwa haya! Dunia ya leo watu wamekuwa wabinafsi sana si wanawake tu hata wanaume nashangaa kizazi hiki kinamnyoshea kidole mwanamke tu. ,
Tunasahau kuwa ndoa ni ya wawili, ikivunjika we are both to blame, ila inakuwa kama mwanamke ni malaika jamani, na sie tuna mioyo ya nyama ati na hakuna alokamilika.
 
mm msg hainiondoi,nitatumiwi nami za uongo nione kama atavumilia
Hapo sasa mtakuwa mmeoana kweli, kuishi kwa visasi ndani ya nyumba hakufai, ndoa ni ya wawili, shughulikieni matatizo yenu wote na sio kukomoana.
 
Du ndio maana uwa nasemaga wa mama wa enzi hizo ha
wakuenjoy ndoa na nimemuelewe kusema wa sasa wana bahati , ndoa gani unaumizwa kila siku eti heshima kwenye mapenzi, mume anatakiwa awe best friend wako na Sio Mungu wako. Yaani enzi hizo wanawake wengi walikuwa hata hawajui kileleni maana yake nini. N
Kwanza hata ufanyiwe mabalaa gani huna pa kukimbilia maana hakuna atakaekupokea wala kukusikiliza maana hata huyo mama yako ana mazito yake yalozidi yako anagugumia nayo tu, hivyo unagugumia tu, kama wapo walioenjoy ndoa zao ni wachache mnooo
 
Bila uvumilivy hata sisi tusingekuwepo maana Mungu anavymilia mengi tuyafanyayo
Kama wanadamu tuvumiliane na kuchukuliana
Exactly, wote hatujakamilika.
 
Hapo sasa mtakuwa mmeoana kweli, kuishi kwa visasi ndani ya nyumba hakufai, ndoa ni ya wawili, shughulikieni matatizo yenu wote na sio kukomoana.


Naona siku izi unakuja na new 'mentality'. Dizaini kama 'umejivua gamba'
 
Ukiwa 'tegemezi' hata kwenye mahusiano tu utaendeshwa hadi uchore chini
 
mtazeekea kwa baba zenu nani awaoe wanawake wabishi hatari ...uvumilivu hamna..yaani unanikuta napiga goli moja tu house girl unanuna? mxxxx
Na ww ukikuta shamba boi anajipigia mkeo,washa tv angali,acha wale starehe zao.
 
Back
Top Bottom