angelita
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 3,017
- 2,446
hata wewe unaonekana siyo mvumilivu
Kweli kwanini niwe muhusika wa kifo changu Mwenyewe.
hata wewe unaonekana siyo mvumilivu
Huu msemo una maana gani tafadhali? (kiswahil changu ni cha ugoko).
kila jambo na wakati wake... "hatukandi mbwa makalio "
Sukula we unachokonoa maneno yakitoka mods watanibanUngemalizia kbs na kinachouzwa ni nn? Ili watujibu vizuri.
mkuu umepindua hoja, hayo ulosema yalikuwepo enzi za mababu? hapa tunaongelea utaratibu wa enzi hizo. Hili lako jipya na halikuwepo.
Kiswahil bado kigumu kwangu! Bora aliyeandika 'hatukandi mbwa makalio' kwa mbali sina uhakika kama nimemuelewa ipasavyo kuwa 'hawatoi tigo kubembeleza wapendwe/ndoa'!!
Sure, halafu wanalalamika hawaolewi.
"We, we don't have to worry, 'bout nothing
cause we got the fire, and we're burning a new hell of something
they, they gonna see us from outer space, outer space
light it up, like we're the stars of the human race, human race"
When the light started out, they don't know what they heard
strike the match, play it loud, giving love to the world
we'll be raising our hands, shining up to the the sky
cause we got the fire, fire, fire
yeah we got the fire, fire fire
Mkuu BAK hiyo text yako Mbona hata me ningeijibu tena kiroho safi tu, inashtua moyo kidogo tu hahaha. Ila namba ningeinote for future use
Hiyo SMS ilikuwa inasemaje labda? Kuna text nyingine Ni heart attack Kabisa
Weee usifanye utani na kulinda Mali yangu hahahahahahaHahahahahah lol!!!! Haya banaa! 🙂🙂
Daah afu Unakuta me Nina kiuno cha Mbao, Mbona Ntalia Jamani hahahahahaha..... baby mi napenda unavokata, unakata vizuri, yaani unakata haswa!
Weee usifanye utani na kulinda Mali yangu hahahahahaha
Ujue binadamu tuna asili ya ubinafsi, vinavyoupendeza moyo wangu, natamani nivimiliki Mimi tu. Sijui Mtu unajisikiaje kujua Kuwa partner wako Ana Mtu anayempa furaha, tena inawezekana zaidi ya anavyokufurahisha wewe. au kujua tu kuna Mtu unayeshare naye upendo wa mwenzi wako mmhLol!!! Chezeya kupenda na kupendwa weye!!! Ndani ya nyumba hakuliki wala hakulaliki, wengine pressure hupanda huyu akaona isiwe tabu ngoja nijirudie kwetu lol!!!! Wacha wengine wategeshe ili mkichepuka tu basi mnanasana kwi kwi kwi kwi
Ujue binadamu tuna asili ya ubinafsi, vinavyoupendeza moyo wangu, natamani nivimiliki Mimi tu. Sijui Mtu unajisikiaje kujua Kuwa partner wako Ana Mtu anayempa furaha, tena inawezekana zaidi ya anavyokufurahisha wewe. au kujua tu kuna Mtu unayeshare naye upendo wa mwenzi wako mmh
ila ya kumtegeshea mume ili wanasane sijaifanya kwa Kweli hahaha
Hahahahahaha wamama nilisikiaga wao wanaekewa mtego, ukienda tu kuchepuka basi bibi anapotea kimazingara lol. Kwa Kweli Ni bora ya mtego Huu coz utamzuia Mtu asichepuke, kuliko kuamua cha Mtu achepuke Kabisa afu ndo umfedheheshe na kunasiana, Ni fedhedha Kwenu woteWivu kwenye penzi muhimu ili usizidi mipaka na kuanza kuwa kero hata kutishia penzi. Hongera kwa hilo la kutokuwa tayari kutegesha kunasana. Sijasikia kama wives nao wanaweza kutumia huu uganga wa jadi wa michepuko kunasana ni husbands tu ndio anaweza kutumia hii technology ya kikwetu mara tu akina mama watakapoweza nao kutumia hii technology mbona itakuwa shida MUJINI!!! Lol!!!
Hahahahahaha wamama nilisikiaga wao wanaekewa mtego, ukienda tu kuchepuka basi bibi anapotea kimazingara lol. Kwa Kweli Ni bora ya mtego Huu coz utamzuia Mtu asichepuke, kuliko kuamua cha Mtu achepuke Kabisa afu ndo umfedheheshe na kunasiana, Ni fedhedha Kwenu wote