Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Kila reaction ina Faida na hasara. So Naamini kabla ya kuamua kuondoka Huyo dada alipima Ni kipi kina uzito zaidisasa ukiondoka ndo umesaidia nini?
Kila reaction ina Faida na hasara. So Naamini kabla ya kuamua kuondoka Huyo dada alipima Ni kipi kina uzito zaidisasa ukiondoka ndo umesaidia nini?
Kabisa my. Uvumilivu Ni lazima kwenye ndoa as hauishi na malaika, so ups and downs zitakuwepo tu. but inapofika hata Unaona Kabisa hiyo ndoa itakuwa kaburi lako, Aisee bora uishi tu peke yako. Utakufa kabla ya wakati afu watoto wako wateseke bure Huku mwenzako anatanua tu kiruuuvumilivu unamwisho
Kabisa my. Uvumilivu Ni lazima kwenye ndoa as hauishi na malaika, so ups and downs zitakuwepo tu. but inapofika hata Unaona Kabisa hiyo ndoa itakuwa kaburi lako, Aisee bora uishi tu peke yako. Utakufa kabla ya wakati afu watoto wako wateseke bure Huku mwenzako anatanua tu kiruu
kila jambo na wakati wake... "hatukandi mbwa makalio "
mmmmm..hater kuna stori moja hivi....wazaramo wa kule kimanzichana walimkamata mwizi...wakamsemaaaa weeee...wakamsemaaaaa....hadi mwizi kafa
kwa una maana gani hapa hater?
Hahahahahaha naona kwa msisitizo umeamua kuongea na kichagga Kabisa. Mungu azihurumie tu hizi ndoa zetu za siku hizieti JEKI anatajka mwanamke ale shida mwanaume ale raha,,, na bado niwahi kwenda kula vumbi mweeee ,... OTE MAE NGALEWA KAPISA APAAA MBAKA CHA.......
Hata umetumia misemo ya kizaramo hapo nilipo ku quote hater
amina....Hahahahahaha naona kwa msisitizo umeamua kuongea na kichagga Kabisa. Mungu azihurumie tu hizi ndoa zetu za siku hizi
mtazeekea kwa baba zenu nani awaoe wanawake wabishi hatari ...uvumilivu hamna..yaani unanikuta napiga goli moja tu house girl unanuna? mxxxx
Hahahahahaha naona kwa msisitizo umeamua kuongea na kichagga Kabisa. Mungu azihurumie tu hizi ndoa zetu za siku hizi
tunauza kilo sh ngapi?
mtazeekea kwa baba zenu nani awaoe wanawake wabishi hatari ...uvumilivu hamna..yaani unanikuta napiga goli moja tu house girl unanuna? mxxxx
Amen, I am truly humbled my dear. I'm not yet marriedHeaven dropped, ushaolewa? you sound being a behaved and well-mannered lady!
wazazi wetu ndoa zao ndo zilikua ajira zao ndo maana walikua wananyanyaswa
na ii shida bado ipo sana maeneo ya vijijini Mwanaume ni Mungu wa pili kwa Mke kiasi kufanya ndoa isiwe na changamoto za msingi na hata kukosa maendeleo ktk level ya familia.