Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,458
- 8,962
Zama zimebadilika sana
mdada, avatar yako sichoki kuitizama.
Zama zimebadilika sana
Hata mimi yako imenivuta kwakomdada, avatar yako sichoki kuitizama.
Na kweli wanawake wa sasa tuna bahati, hata kama msg inasemaje, wanawake wa sasa kwanza hatujali ndoa zetu, tuna ushindani mkubwa kwa kujiona tuna haki sawa, au tunataka haki sawa, wanawake wa sasa kisa wamesoma na wana kazi basi tumekuwa wajeuri katika ndoa zetu, yani kazi tunaipa kipao mbele kuliko Mume au familia, Yani too selfish, hatutimizi wajibu wetu ipasavyo, tunafanya mambo ambayo husababisha mwanaume ajione yuko single nakufanya afanyayo halafu tunakuwa mbogo, tena afadhali hao bibi na mama zetu walikwua wanawatunza vizuri babu na baba zetu, walikwua mabab wanafanya ila kwa uchache si kama sasa sabab walikuwa wanatimiziwa wajib wao ipasavyo, (Tukiacha hao wachacche walokuwa wakiingiza mpaka ndani n.k.), kabla hujabeba bag kwenda kwenu jiulize kwanini amefanya, utakapojua tatizo ndo utajua vipi uirejeshe ndoa yako, la sivyo wanaume wote utakao kwua nao watakucheat tu, mana hujui wajibu wako kama mke, Wanawake wa sasa anakwambia kumfulia mume ni utumwa, kumuwekea chakula ni utumwa ati kisa nyote mmechoka mnafanya kazi. yani hii mada ni ndefu tukisema tunaiongelea kwa upana watu watatokwa na mapovu hapa, ila Ni hizi elimu na kazi tulokuwa nazo zinachangia san, yani hata akipewa uhuru wakufanya hizo biashara ndo kabsaa mume kasauliwa.
Nasubiri ulianzisheSasa mbona unachelewa. lol
Wa hivi wana ndoa zinazopumulia mashine.. halafu mkiondoka baada ya miezi tu mnaanzaga kutafuta huruma ya kurudikila jambo na wakati wake... "hatukandi mbwa makalio "
Wa kuolewa wanajulikana tu na wa kushindana na mume utawajua tuZile zilikuwa enzi za mwalimu si sasa hivi
Mmeacha lini?kila jambo na wakati wake... "hatukandi mbwa makalio "
Nasubiri ulianzishe
ha hahaha unajua unakuta huko nilikoenda kubaya zaidi afadhali ya niliyemwacha nilishaweza kucope na mazingiraWa hivi wana ndoa zinazopumulia mashine.. halafu mkiondoka baada ya miezi tu mnaanzaga kutafuta huruma ya kurudi
Na hakuna kitu kibaya kama kurudia matapishi... Na mnavyojuaga kuchamba wakati wa kuondoka... Yaani mnachamba kwa wire brush hadi balaa...ha hahaha unajua unakuta huko nilikoenda kubaya zaidi afadhali ya niliyemwacha nilishaweza kucope na mazingira
hadi kurudi unakuta nimeacha makovuNa hakuna kitu kibaya kama kurudia matapishi... Na mnavyojuaga kuchamba wakati wa kuondoka... Yaani mnachamba kwa wire brush hadi balaa...
Sasa hayo makovu ndo yatakuja kukutesa siku ukirudi....hadi kurudi unakuta nimeacha makovu
basi ni bora nisirudi nyumaSasa hayo makovu ndo yatakuja kukutesa siku ukirudi....
Kama vipi lianzishe wewe... Wengine madomo zenge hivyo utasubiri sana tu...Nasubiri ulianzishe
Mazingira na hali ya ulikokimbilia yanaweza yakakurudisha nyuma ujuwebasi ni bora nisirudi nyuma
hilo nalo ni tatizoMazingira na hali ya ulikokimbilia yanaweza yakakurudisha nyuma ujuwe