ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,769
- 127,882
We sasa huambiliki kwa kuwa uko kwenye penzi zito we ukishaoa ukakaa muda mawazo yako yanaweza kuwa huru
Kama we ni mwanaume wa ukweli hebu mwambie mchumba wako kwanini wanaitwa Wapalestina atoe sababu 5 kutetea na 5 za kupinga.
Hakuna cha data wala research wakati ni kweli hivyo hamna problem
Problem wanaachaje hicho kitabia
Naoa nikiwa na umri wa kutosha kabisa kuchanganua mambo, siendeshwi na hisia mkuu, trust me! Hizi habaro za "penzi zito" I ain't a small boy, though making mistakes is our nature ila nakuambia sioi kwa kishinikizo cha penzi zito.
Pia, sina tabia ya kufanya generalization ya mambo kama ilivyo kwa wengi, nachunguza familia na nikiona ni wacha Mungu, wana tabia nzuri...mengine namwachia Mungu aniongoze..