Wanawake wa Machame mbona wanafanya hivi?

Wanawake wa Machame mbona wanafanya hivi?

Wamachame wanawake ni watu wabaya sana.. wanaroho mbaya..ubabe sio romantic ..ni watu wa hovyo sana hapa Tanzania.. yaani pumbaf kabisa.. kila nikiwaona hawa wa huku kwetu natamani kutapika..ptuuuuuuuu!
 
Kuna nyumba nlikua nmepanga kule kurasini kota za bandari,mama mwenye alikua ni mmachame na alikua mjane,jirani yetu pia huyu mama nae ni mmachame ns ni mjane pia,hapa ofisinj kwetu secretary wetu ni mmachame ni mjane pia,kuna bro wangu alikatanzwa sana na wazazi kuoa wamachame ila. alilazimisha kuoa eti kwa sababu walikua wamehangaika wate kutafuta mali,siku moja bro alitoka kazin alikuta yule mwanamke kakomba kila kitu kinachobebeka ndani na mtoto pia..
 
Kama yupi unayemjua ameuliwa???embu taja list ya watu kumi kama hauna funga mdomo wako na akili yako na modes fungeni hii stupid thread
Kwanini wanawake wa kimachame mnahasira hivyo..embu cheki ww ungekua nae karibu na panga ingekuaje..? Mm ni mmachame pia sasa mnakua mnatuangusha bana..ukijibu kwa kupanic unakua unawapa maneno km ya kwangu hapo ju...kuitye nkamangi
 
udhaifu gani unaousema wewe kushikia bango watu flani kwa sababu zako hamna sehemu kabila watu ambao wako perfect na cdhani kama hzo takwimu za seventy percent umezifanyia wapi ndo mana kunakuwaga na research kuongelea hisia cdhani hafu unayo sema malezi hakuna familia au community inayo fundisha watu wawe wakatili halafu kusema wajane weng haimanishi kuwa wameuliwa hata biologically inaonyesha wanawake wanaishi mda mrefu vitu vingne to think out of the box mana vifo vinasababishwa na mambo mengi hayo unayosema yapo kwenye kila jamii walevi wahuni na maovu yote
Mkuu unajitahidi lkn embu cheki dadazako hapo juu wanavyoporomosha matusi wamepewa challange kidogo tu.. Wanashidwa kujibu hoja wanatukana watu..so mwenye uzi research yake anaanzia hapa kwa tabia kwnza kabla hajaenda field..
 
She is from machame..? You wait...umeshasahau ya ukoo sario?

I ain't terrified at all. Everybody has their own fate, sitajali hata kama mwisho wa maisha yangu atasababisha yeye, though I know she can't do that.
 
niliacha wa3 kabla ya kuoa.hyo tabia ya ukorofi ni kama unayoionyesha hapa.mna laana nyie watu bahati mbaya haga kugegedana hamjui
Mkuu mwenye uzi majibu anayapata hapa kabla hata hajaenda field kupata data kamili...yaani kachallange kidogo tu walikasirika na kutukana watu..saasa kama kuna panga karibu, alafu anataka mali akajenge kwao..analipitisha kwenye sugital suture..ila sio wote..hayo mambo yalishapita..
 
Mkuu unajitahidi lkn embu cheki dadazako hapo juu wanavyoporomosha matusi wamepewa challange kidogo tu.. Wanashidwa kujibu hoja wanatukana watu..so mwenye uzi research yake anaanzia hapa kwa tabia kwnza kabla hajaenda field..

but do not judge a book by its cover judge what is inside mtu anaweza kuwa hata wa pwani wawapi na akawa mtukanaji kwa hyo cdhani mtu akitukana ndo tabia za kabila hafu mi ni ke sometimes we need to change our thinking majority ya Tanzanian tumekuwa tunasikia vitu hatu vipimi viwango both sides matokeo yake tuna beba kama lilivo bila hata kuwa na uhakika ndo mana hatuendelei lets change our mind first towards some things
 
No research no right to speak...pls Kama hauna uhakika na information zako don't put into public.
 
sio kweli lete ushahidi mbona Mimi sijamwua wakwangu.Nauko magerezani au mahakamani hawapo,ebu fafanua
Ushaona watu walioua Kimazingara (Kichawi) wakafungwa?
 
wamachame wanawake ni watu wabaya sana.. Wanaroho mbaya..ubabe sio romantic ..ni watu wa hovyo sana hapa tanzania.. Yaani pumbaf kabisa.. Kila nikiwaona hawa wa huku kwetu natamani kutapika..ptuuuuuuuu!

cc; ufoo saro!!
 
Nikweli wamachame hatari wamemuua mdugu yetu hata kuomboleza hakuna kamchukua nduguyake wanakula maisha.
 
Hili ni kweli hata jamaa yangu ni Mmarangu aliwahi kuniambia hii stori na kwanini wachanga wahana intramarriage(marriage btn chaga clans) mfano Mkibosho haoi Umachameni and vice versa.
Wachanga tunaomba majibu cc Miss chaga, Manka Mushi, Manka M.


Jamani naomba kujua ni kwa nini wachaga wa Machame wake zao huuwa wanaume?
 
but do not judge a book by its cover judge what is inside mtu anaweza kuwa hata wa pwani wawapi na akawa mtukanaji kwa hyo cdhani mtu akitukana ndo tabia za kabila hafu mi ni ke sometimes we need to change our thinking majority ya Tanzanian tumekuwa tunasikia vitu hatu vipimi viwango both sides matokeo yake tuna beba kama lilivo bila hata kuwa na uhakika ndo mana hatuendelei lets change our mind first towards some things
Kumbe ni ke bana..nkukunda bure nkamangi..ila sasa ww utakua wa town..hata kimachame nachoandika hapo hukipati..
 
wanawake wa kimachame siyo wote wabaya jamani hakuna aliye mwema hapa duniani wewe unayemuhukumu mwenzako wewe ni malaika???
 
My wife-to-be is from machame...!! Hiyo generalization mnayofanya sio nzuri kabisa!!

We sasa huambiliki kwa kuwa uko kwenye penzi zito we ukishaoa ukakaa muda mawazo yako yanaweza kuwa huru

Kama we ni mwanaume wa ukweli hebu mwambie mchumba wako kwanini wanaitwa Wapalestina atoe sababu 5 kutetea na 5 za kupinga.
Hakuna cha data wala research wakati ni kweli hivyo hamna problem

Problem wanaachaje hicho kitabia
 
ha ha ha washkunda deni aya aya am hapy shike nkamangi ndende
Ha ha ha kumbe unakipata bana..mm nimeanza kusahau kidogo..ila nakumbuka kusalimia ..nantombe, sinsoma, kufyenda, shifonisha mbe/ma...ila kusema ukweli maisha ya mapenzi ni vile watu, walivyokutana wakayatengeneza na kuishi..yaani nimekuja kugundua kati ya vitu tunavyotakiwa ku-individualize ni mapenzi...
 
Back
Top Bottom