Wanawake wa Machame mbona wanafanya hivi?

Wanawake wa Machame mbona wanafanya hivi?

izi ni imani za kijinga ambaozo azina mashiko, mbona kuna makabila ambayo nayo yanasifa mbaya kuzidi hawa, kuna wahaya, wahehe, watu wakusini, singida, wasukuma, watu wapwani, all tabia ya mtu anayo mwenyewe au anaweza kujifunza. pili wachaga kwa wachaga wanaoowana wao kwa wao kwa sababu wanaamini makabila mengine hayapendi maendeleo pia atakujali familia. so ujinga wa watu wachache wakutaka kuharibu sifa za jamii fulani. watanzania tubadilike na fikra chana
 
Niko Ksambo hapa napiga Guiness. Yani kuanzia Mamsera, Mwika kote nimekosa Guiness nimekuja kuipatia hapa. Na hapa naambiwa ziko mbili tu.... Safari ya Marangu mtoni itaanza soon.

vyasaka hawajambo huko kwa Magufuli?
nenda uchumi bar pale hukosi
 
mimi nauliza kwanini wanawake wa kichaga wengi wana miguu kama kuni?
 
We unasema unacho sikia... Mimi ninasema nilichokiona...
Subiri nikiona ntakuja kukujibu
 
dah wana shida mi nishaona attitude yao...hata wa huko wa mama watu wazma wanakiri
 
Ni kweli mara nyingi huua kwa ushirikina hapo ushahidi unakuwa hakuna
 
Back
Top Bottom