Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 3,180
- 4,554
“Kuna kitu nimekuwa nikijiuliza…
kwa nini kwenye harusi au sherehe, wanaume huwa tunafika tunatoa pesa kama tumekuja kulipa deni la taifa? 😂
Kwa nini kwenye harusi au sherehe, ukiona watu wanatoa pesa nyingi sana kumtunza mtu, mara nyingi wanaume ndio tunaonekana mstari wa mbele? 😂
Lakini wanawake sijawahi kuona wakisimama mstari mmoja mmoja wakitoa mafungu ya pesa hivi kumtunza mtu.
Au wanawake wana mfumo wao wa kutunza ambao sisi wanaume hatujaufahamu? 😂”
Wanawake huwa mnachangia kwa njia gani ambazo wanaume hatuzioni? 🤔😂
Au pengine tuseme huwa mnatoa
Ila sio kwa kiwango kikubwa zaidi kama cha wanaume?
kwa nini kwenye harusi au sherehe, wanaume huwa tunafika tunatoa pesa kama tumekuja kulipa deni la taifa? 😂
Kwa nini kwenye harusi au sherehe, ukiona watu wanatoa pesa nyingi sana kumtunza mtu, mara nyingi wanaume ndio tunaonekana mstari wa mbele? 😂
Lakini wanawake sijawahi kuona wakisimama mstari mmoja mmoja wakitoa mafungu ya pesa hivi kumtunza mtu.
Au wanawake wana mfumo wao wa kutunza ambao sisi wanaume hatujaufahamu? 😂”
Wanawake huwa mnachangia kwa njia gani ambazo wanaume hatuzioni? 🤔😂
Au pengine tuseme huwa mnatoa
Ila sio kwa kiwango kikubwa zaidi kama cha wanaume?