Wanawake wa Machame mbona wanafanya hivi?

Wanawake wa Machame mbona wanafanya hivi?

acha uongo wewe ucfikiri hatujui no research no rights to speak labda maeneo mengne sio hayo ulosema
Unajua nashidwa kujua kwa nini watanzania tunafichwa udhaifu wetu kwenye quote mbali mbali na methali..nafiriki ni njia ya kujifariji...mimi wamachame waliolewa ninaovwafahamu karibia 70 % wameachwa na kuachwa wajane..siwezi sema sana maana naweza kujiexpose hapa lkn kule kuna tatizo...labda ni kwenye malezi somewhere
 
Jamani naomba kujua ni kwa nini wachaga wa Machame wake zao huuwa wanaume?

Karibu makabila yote, wanawake wanatuhumiwa kwa kuua waume zao
mfano Mbeya mjini kuanzia mabatini, nonde, majengo, hadi mitaa ya ghana 85% ya watu wanaoishi maeneo hayo ni wanawake wajane na watoto wao. Wanawake wanatuhumiwa kwa kuua waume wao. Je ina maana wanaoishi mitaa ya mabatini na nonde mbeya ni wamachame? Noooo!!! Ni wanyakyusa.

Kwa nini hamshughulishi vichwa. Hebu jiulize, kwa nini katika takwimu inaonyesha wanawake kwa asilimia kubwa duniani wanachelewa kufa kulinganisha na wanaume? Tambua vifo vya wanaume kuwahi kuliko wanawake ni tatizo la kidunia sio machame tu. Fuatilia kabila lako uone kama hakuna wanawake wanaotuhumiwa kuua waume wao. Generalization itawakosesha mengi. Ni sawa na wale wanaosema wanawake/wanaume hawafai anasahau kuwa miongoni mwa kati ya wasiofaa kuna mama/baba yao.

Una mke ndani, una bimdogo, Una secretary, Una vidumu kibao, yaani full michepuko. Wakisema lami umo, barabara la vumbi umo, Kwenye makorongo we unapita tu, barabara Za mkoloni we unaona mpya tu. Utapona kweli! !!! Nani utamlaumu? Hata kama mke ni mmalungina utasema mmachame.
 
Ishia hapo hapo msipende kukariri formula kama ya magazijuto kwamba bila kufungua mabano lazma uchemke
Ndo nini ulichoandika hapo..alafu wanawake wa kimachame they are very arrogant
 
Unajua nashidwa kujua kwa nini watanzania tunafichwa udhaifu wetu kwenye quote mbali mbali na methali..nafiriki ni njia ya kujifariji...mimi wamachame waliolewa ninaovwafahamu karibia 70 % wameachwa na kuachwa wajane..siwezi sema sana maana naweza kujiexpose hapa lkn kule kuna tatizo...labda ni kwenye malezi somewhere

udhaifu gani unaousema wewe kushikia bango watu flani kwa sababu zako hamna sehemu kabila watu ambao wako perfect na cdhani kama hzo takwimu za seventy percent umezifanyia wapi ndo mana kunakuwaga na research kuongelea hisia cdhani hafu unayo sema malezi hakuna familia au community inayo fundisha watu wawe wakatili halafu kusema wajane weng haimanishi kuwa wameuliwa hata biologically inaonyesha wanawake wanaishi mda mrefu vitu vingne to think out of the box mana vifo vinasababishwa na mambo mengi hayo unayosema yapo kwenye kila jamii walevi wahuni na maovu yote
 
kuna uzi uliwahi kuwekwa hapa.walitukana sana kikwao.hata hapa nadhai watakuja.Ngoja nisubiri.
 
My wife-to-be is from machame...!! Hiyo generalization mnayofanya sio nzuri kabisa!!
 
Dah sina uhakika na hch ukisemacho coz hakuna scientific research

Kusoma huku yaani mtu afanye scientific research kwa wamama wa kimachame wana wanawauwa waume zao, sina hakika na hiyo PROBLEM JUSTIFICATION ITAKUWAJE.
 
Mbona mnakuwa wakali hivyo. unataka research ipi tena? watu wamepoteza ndugu zao we unataka research! Hii issue ni ya kweli. Haiwezekani kila mtu awaseme ninyi tuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!
WAPALESTINA WAKUBWA!
 
Ni kwanini unantukana wewe kichwa maji...kama huwezi jibu hoja zangu kistarabu pita kimya kimya..unanletea hasira za kijinga za kumachame hapa..mkiambiwa mnabisha wakati mnaonesha hapa hapa..sijui mnafunza kichwani
 
kuna uzi uliwahi kuwekwa hapa.walitukana sana kikwao.hata hapa nadhai watakuja.Ngoja nisubiri.
Mtoa uzi akitaka kujua aangalie arrogance yao hapa...kuna kengine kameshidwa hoja kamentukana...hawa watu hatari..na wana miasira hasara ile..
 
Haitatokea kuwe na scientific research ya hiyo case,ila hapo Experience to them is what matter...

Mkuu ni fallacy ukisema hvyo!!huwez kugeneralize khvyo me ctak kukataa na wala kukubali coz wny kusema hvyo wanatumia randomly sampling!
 
Kama yupi unayemjua ameuliwa???embu taja list ya watu kumi kama hauna funga mdomo wako na akili yako na modes fungeni hii stupid thread
 
Back
Top Bottom