Wanawake wa kingoni kutoka Songea wanasifa gani?

6¤6 wavivu sana
Tamaa ya pesa balaa
Ukorofi na ujeuri hata kama kakosea jambo ndo usiseme.
Mwanamke kukusaliti kwao jambo la kawaida.

Wanakuwa influenced sana na pressures za nje; akiona shost wake kavaa hivi, kaweka nywele style fulani basi naye anataka.
 
wanawake wa kingoni ni wajukuu wa shaka zulku. Hawana tofauti kabisaa na wa X-osa au wazulu kule Saouth Africa. Ukioa mwanamke wa kingozi hutakufa njaa wala kuishiwa pesa. ni wachapa kazi sana , wacha mungu na wakweli. Huujua sana kulea watoto kupita makabila yote tanzania. Nimeoa mgoni na nimehsuhudia hilo !
 
hawa ni waongeaji sana na huwa hawakubali kushindwa katika kubishana jambo fulani. pia ni wadadisi. sifa nyingine ni wakarim na wenye huruma kwa kila mtu. ukiwakorofisha imekula kwako
Waongeaji sikubali?ila kweli ni wadadisi,
Wanahuruma...sina uhakika
Ila mwisho umesema kweli ukiwakorifisha imekula kwako..hawana cha msamaha
 
Karne hii na kizazi hiki cha Computer watu bado tunajadili ukbila jamani!So what and for how long?Tujadili mambo muhimu wazee.
Hakuna mtu anayejadili ukabila wa mtu,hivi ni vitu vya kawaida kabisa kujadili maisha,tabia na mazingira ya jamii mnayoishi nayo.Mfano ukiwa China wananchi wa Shanghai ni tofauti kabisa na watu wa Beijing,Hongkong;etc na ukiwakuta hata vyakula wanavyopendela ni tofauti,hivyo tabia na kila kitu kiujumla ni tofauti kati yao, je kwanini isiwe na utofauti katika haya makabila 120? We are just curious to understand btn ourselves wala sio kwa nia mbaya.
 
Mh! Ukabila tena,acheni hayo
Hakuna mtu anayejadili ukabila wa mtu,hivi ni vitu vya kawaida kabisa kujadili maisha,tabia na mazingira ya jamii mnayoishi nayo.Mfano ukiwa China wananchi wa Shanghai ni tofauti kabisa na watu wa Beijing,Hongkong;etc na ukiwakuta hata vyakula wanavyopendela ni tofauti,hivyo tabia na kila kitu kiujumla ni tofauti kati yao, je kwanini isiwe na utofauti katika haya makabila 120? We are just curious to understand btn ourselves wala sio kwa nia mbay
 
case study yangu nawafahamu wawili nao wote wana tabia hii, ni tetesi sio conclusion

asante, unakutana na kikombe getini, kuoga hadi ufanye maombi
Kumbe hii kitu inaweza ikawa na ukweli ndani yake.eti?
 
Baba akitoka na mama anatoka, wanakutana kilabuni kila mtu ana mtu mwingine. Wakirudi haisumbui watoto wamekula nini wameoga au vipi; hao ni wa interior.

Wa mjini wanajitahidi kidogo ila la multiple lovers linabaki. Ninapenda ucheshi na ukarimu wao; ni watu muhimu kwenye shughuli (harusi, komunio na misiba) huchangamsha sana hasa mnapokuwa watani!
Duh mkuu, hizo sifa zinahusika sana kwa Wamatengo pia! Au hawa ni mtu na mdogo wake?!
 
Ukabila?? Mtaacha lini?
Hakuna mtu anayejadili ukabila wa mtu,hivi ni vitu vya kawaida kabisa kujadili maisha,tabia na mazingira ya jamii mnayoishi nayo.Mfano ukiwa China wananchi wa Shanghai ni tofauti kabisa na watu wa Beijing,Hongkong;etc na ukiwakuta hata vyakula wanavyopendela ni tofauti,hivyo tabia na kila kitu kiujumla ni tofauti kati yao, je kwanini isiwe na utofauti katika haya makabila 120? We are just curious to understand btn ourselves wala sio kwa nia mbay
 
Back
Top Bottom