HardMartin
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 304
- 107
kiuno feni na hawataki masihala kunako 6*6
tatizo lao wanapenda sana gemu xo mwanaume ka hujiwezi bhasi itakula kwako!!
tatizo lao wanapenda sana gemu xo mwanaume ka hujiwezi bhasi itakula kwako!!
La uchafu nakubaliana nalo. Hata kujisafisha wenyewe tu ni kazi.
Lazima uelewe kwanza watu unaoishi nao mana mafanikio huchangiwa na jamii uliyopo.Simple mind discus people....great mind discuss idea.....
Kwa kweli wanawake wa kingoni ni wazuri na wana heshimu waume. Ila jiandae watoto wako kupewa majina ya nyau, nguruwe, fisi n.k
wanatamaa na ni wasaliti,they are quite unreliable!
Ni kweli mkuu umenena vyemakiuno feni na hawataki masihala kunako 6*6
tatizo lao wanapenda sana gemu xo mwanaume ka hujiwezi bhasi itakula kwako!!
True!wanatamaa na ni wasaliti,they are quite unreliable!
Achana na wanawake wa kifipa aisee sitaki kukumbuka wala hata kua nae hata kwa bahati mbaya tena wala nini, yaliyonitokea yanatosha..Mkuu mimi nataka nijue sifa za wanawake wa kifipa
Nafikiri inachangiwa na baridicase study yangu nawafahamu wawili nao wote wana tabia hii, ni tetesi sio conclusion
asante, unakutana na kikombe getini, kuoga hadi ufanye maombi