Wanawake tuwekane sawa kuhusu 'kukojozwa'

Wanawake tuwekane sawa kuhusu 'kukojozwa'

Wanawake wengi huwa wanalaumu kwamba mwananaume hamkojozi wakati huo huo haelewi chochote kuhusu kukojoa.

Iko hivi suala la sex ni suala la kisaikolojia,huw linakuwa pevu pale mtu ambapo mood yake inakuwa relaxed na attention kwa shughuri hiyo,na suala hilo linapaswa lifanyike katika hali ya utulivu wa akili,mwili na mazingira.

Kwa kawaida mwanaume huwa anakojoa mara moja kisha anatulia mpaka aanze tena,lakini mwanamke anaweza kukojoa mpaka mara 4 kabla ya mwanaume hajakojoa kama yupo katika utimamu kisaikolojia.

Mwanamke una stress za mchezo,vikoba,makolokolo kibao halafu unataka mwanaume akukojoze?
imagine unatoka kazini saa 11,unafika nyumbani saa 5 usiku,umechoka, halafu unawaza kuamka saa kumi kuwahi kazini tena,na unaupwiru unataka mwanaume aichape ukojoe katika hali kama hiyo? thubutu hata kama una upwiru ni bahati sana kwa watu wa chache mno.

Kukojoa kwa mwanaume ni must sio kwa mwanamke(sio kila mwanamke anaweza kukojoa ktk kila tendo) sababu anaathiriwa sana na state of mind,kwahiyo acheni kulaumu hamkojozwi,wakati mkaka wa watu anasimamia kucha mpaka unakauka lakini wapi.
Michezo, vikoba na mikopo zinawapa stress kukojoa watakojoa vipi, wakati wa tendo mawazo yanamuwaza kijumbe,mwenyekiti wa vikoba na watu wa mikopo.
 
Mimi naona wanawake wajieleze wenyewe kuhusu hili swala, ukiwasemea sijui wanakojoa mara 4 sijui wanakojoa vipi unatujengea maswali mengi hasa kuhusu evidence. Wewe unewah experience wapi na kivipi?
 
Mimi naona wanawake wajieleze wenyewe kuhusu hili swala, ukiwasemea sijui wanakojoa mara 4 sijui wanakojoa vipi unatujengea maswali mengi hasa kuhusu evidence. Wewe unewah experience wapi na kivipi?
I a medical doctor for over 10 years now,medicine,physiology,anatomy,and psychology are what i deal with daily.

Labda kama hukwenda shule,na hata kama ulikwenda basi biolojia ilikupita kushoto.
 
Mwili wa binaadamu upo tofauti kwa kila mtu hata kama mmezaliwa baba mmoja na mama mmoja.


Kuna wanawake jino moja na wengine mpaka mkongo na pia kuna wanaume TACKLE tatu wngine OLD Trafford Dakika 90 ,Kuna wanaume Mandingo na wengine AliKIBA ,Kuna wanawake Suez Canal wengine AMBONI ,kwahiyo tutafute tunaoendana nao.
 
Wanawake wengi huwa wanalaumu kwamba mwananaume hamkojozi wakati huo huo haelewi chochote kuhusu kukojoa.

Iko hivi suala la sex ni suala la kisaikolojia,huw linakuwa pevu pale mtu ambapo mood yake inakuwa relaxed na attention kwa shughuri hiyo,na suala hilo linapaswa lifanyike katika hali ya utulivu wa akili,mwili na mazingira.

Kwa kawaida mwanaume huwa anakojoa mara moja kisha anatulia mpaka aanze tena,lakini mwanamke anaweza kukojoa mpaka mara 4 kabla ya mwanaume hajakojoa kama yupo katika utimamu kisaikolojia.

Mwanamke una stress za mchezo,vikoba,makolokolo kibao halafu unataka mwanaume akukojoze?
imagine unatoka kazini saa 11,unafika nyumbani saa 5 usiku,umechoka, halafu unawaza kuamka saa kumi kuwahi kazini tena,na unaupwiru unataka mwanaume aichape ukojoe katika hali kama hiyo? thubutu hata kama una upwiru ni bahati sana kwa watu wa chache mno.

Kukojoa kwa mwanaume ni must sio kwa mwanamke(sio kila mwanamke anaweza kukojoa ktk kila tendo) sababu anaathiriwa sana na state of mind,kwahiyo acheni kulaumu hamkojozwi,wakati mkaka wa watu anasimamia kucha mpaka unakauka lakini wapi.
Kwani mwanamke usipokojoa Kuna shido?

Seran.
 
Back
Top Bottom