Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,530
- 16,098
Wanaeelewa sana ila ndio hivyo hawataki kubadilika, una mbinu za kuwabadilisha labda?
wakisoma wakaelewa nilicho kiandika watajua nini wafanyeWanaeelewa sana ila ndio hivyo hawataki kubadilika, una mbinu za kuwabadilisha labda?
Akikujibu nitagKILA KITU KILIUMBWA NA MUNGU,AKIWEPO HUYO SHETANI NA HAYA MAMBO YANAYOITWA YA KISHETANI,SASA NANI SHETANI ?KATI YA ALIYEUMBA MAMBO YOTE NA ALIYEMUUMBA SHETANI?
Michezo, vikoba na mikopo zinawapa stress kukojoa watakojoa vipi, wakati wa tendo mawazo yanamuwaza kijumbe,mwenyekiti wa vikoba na watu wa mikopo.Wanawake wengi huwa wanalaumu kwamba mwananaume hamkojozi wakati huo huo haelewi chochote kuhusu kukojoa.
Iko hivi suala la sex ni suala la kisaikolojia,huw linakuwa pevu pale mtu ambapo mood yake inakuwa relaxed na attention kwa shughuri hiyo,na suala hilo linapaswa lifanyike katika hali ya utulivu wa akili,mwili na mazingira.
Kwa kawaida mwanaume huwa anakojoa mara moja kisha anatulia mpaka aanze tena,lakini mwanamke anaweza kukojoa mpaka mara 4 kabla ya mwanaume hajakojoa kama yupo katika utimamu kisaikolojia.
Mwanamke una stress za mchezo,vikoba,makolokolo kibao halafu unataka mwanaume akukojoze?
imagine unatoka kazini saa 11,unafika nyumbani saa 5 usiku,umechoka, halafu unawaza kuamka saa kumi kuwahi kazini tena,na unaupwiru unataka mwanaume aichape ukojoe katika hali kama hiyo? thubutu hata kama una upwiru ni bahati sana kwa watu wa chache mno.
Kukojoa kwa mwanaume ni must sio kwa mwanamke(sio kila mwanamke anaweza kukojoa ktk kila tendo) sababu anaathiriwa sana na state of mind,kwahiyo acheni kulaumu hamkojozwi,wakati mkaka wa watu anasimamia kucha mpaka unakauka lakini wapi.
Saafi.Hayo mambo yenu ya wanawake yakuwekana sana kukojozwa 😏😏 kama vipi kojazananeni ikiwa ninyi ndo mnayaelewa vzr
Umewapa Homework Walafanyie Nyumbaniwakisoma wakaelewa nilicho kiandika watajua nini wafanye
Kiasi kwamba huwa anamkumbuka KEVO wakati wewe unakaza matakoUmemkuta mwanamke sio BIKRA ameshalala na wanaume kibao eti analalamika hafikishwi 🤔
wanatumia vibrator ?Sikuhizi wanajikojoza wenyewe yani wanawake wanaongoza kwa kunyetuka.
I a medical doctor for over 10 years now,medicine,physiology,anatomy,and psychology are what i deal with daily.Mimi naona wanawake wajieleze wenyewe kuhusu hili swala, ukiwasemea sijui wanakojoa mara 4 sijui wanakojoa vipi unatujengea maswali mengi hasa kuhusu evidence. Wewe unewah experience wapi na kivipi?
changamotoMichezo, vikoba na mikopo zinawapa stress kukojoa watakojoa vipi, wakati wa tendo mawazo yanamuwaza kijumbe,mwenyekiti wa vikoba na watu wa mikopo.
Kwani mwanamke usipokojoa Kuna shido?Wanawake wengi huwa wanalaumu kwamba mwananaume hamkojozi wakati huo huo haelewi chochote kuhusu kukojoa.
Iko hivi suala la sex ni suala la kisaikolojia,huw linakuwa pevu pale mtu ambapo mood yake inakuwa relaxed na attention kwa shughuri hiyo,na suala hilo linapaswa lifanyike katika hali ya utulivu wa akili,mwili na mazingira.
Kwa kawaida mwanaume huwa anakojoa mara moja kisha anatulia mpaka aanze tena,lakini mwanamke anaweza kukojoa mpaka mara 4 kabla ya mwanaume hajakojoa kama yupo katika utimamu kisaikolojia.
Mwanamke una stress za mchezo,vikoba,makolokolo kibao halafu unataka mwanaume akukojoze?
imagine unatoka kazini saa 11,unafika nyumbani saa 5 usiku,umechoka, halafu unawaza kuamka saa kumi kuwahi kazini tena,na unaupwiru unataka mwanaume aichape ukojoe katika hali kama hiyo? thubutu hata kama una upwiru ni bahati sana kwa watu wa chache mno.
Kukojoa kwa mwanaume ni must sio kwa mwanamke(sio kila mwanamke anaweza kukojoa ktk kila tendo) sababu anaathiriwa sana na state of mind,kwahiyo acheni kulaumu hamkojozwi,wakati mkaka wa watu anasimamia kucha mpaka unakauka lakini wapi.