APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 6,034
- 11,806
Tunamuomba Mashimba aupeleke muswaada bungeni, elimu ya ndoa itolewe mashuleni na vyuoni,Kama ilivokuwa jando na unyago hapo awali kwa baadhi ya makabila nchini ...Wengi hawana elimu ya ndoa
Tunamuomba Mashimba aupeleke muswaada bungeni, elimu ya ndoa itolewe mashuleni na vyuoni,Kama ilivokuwa jando na unyago hapo awali kwa baadhi ya makabila nchini ...Wengi hawana elimu ya ndoa
Nimeuliza ndoa ambayo kila mmoja anakuwa na mali yake. Mkiachana hakuna mambo ya kugawana.This is Africa bro hili bara tunatambua
Mwanaume ndo kichwa cha familia
Ndo mwenye kusema
Mkuu. Ukishaona mkeo au mchumba ni mwanaharakati wa haki sawa achana nae mapema tu. Maana sio kila mwanamke anastahili kuolewa wengine wanastahili kuzalishwa tu au wawe wale malaya/makahaba yanayo jiuza. Hivyo kumbadilisha malaya kuwa mke wa kuoa ni jambo gumu kuliko mambo mengineJuzi naona Carol Ndossi anasema mwenza kushika simu ya mwenzie ni kosa kisheria hata sijui sheria yenyewe kaitoa wapi, madanga na malaya wakashangilia sana.
Btw watu wamekua sio waaminifu tena uzinzi umetawala kila kona na hawa motivation speaker kwa kutaka ku-gain followers na kupiga pesa wamekua wakiwahadaa kwa maneno ya negative ili wawasapoti.
Mwingine utasikia anawaambia mwanamke tafuta pesa yako ili mwanaume asikunyanyase, najiuliza kwanini wasitafute chanzo cha manyayaso, ama wasitoe darasa kwa hao wanaume wanaoona wa awanyanyasa wake zao.
So wanawa-motivate wanawake watafute pesa then wawe wababe
Hao madingi wanaovumilia watoto si wao ni wale wamelimbwatishwa, Hakuna dingi anaweza vumilia huo upuuzi, Atachinjwa mtuHamna cha kukatwa nyeti weye, wanaume hawakua maboya kama hizi new breeds, enzi hizo hata mama kuzaa watoto wa nje ilikua kawaida tu yani katika ya watoto 6 wa dingi unakuta wawili sio wa dingi na dingi anajua kabisa na maisha yanaendelea.....siku hizi ni kubana pua dieniei, #ongeeninawazee
Na hii ndio tofauti yenu new breeds na WANAUMEHao madingi wanaovumilia watoto si wao ni wale wamelimbwatishwa, Hakuna dingi anaweza vumilia huo upuuzi, Atachinjwa mtu
Cha ajabu nayo yanajiua.Tukiwaambia mmezidiwa na mbususu wanakataaHuu sasa uanaume, ukiumizwa kwea pipa nenda mbelezz 😂😂😂, wait!!! hela ya kukwea pipa ipo??? jibu ni lile lile tutafute hela
Anza kwangu tuone😉Mtajuana wenyew na mapenzi yenu...
Wengine tuliamua kuachana nayo...
Mwaka wa tatu naishi mwenyew na sijawahi kumpenda mtu toka nizaliwe
Labda Ivo at least japo ni udhaifu kushindwa kiboya Ivo mpaka uueMimi nakupoteza kimya kimya
Kuua mwanamke ambaye mmekutana ukubwani ana mama yake una mama Yako.Mbususu imekuzidi uwezo wa kufikiri na kutendaTafsiri ya Mwanaume dhaifu kwako ni yupi?
Wanaume kwanini mmekua watu wa kulia lia kama wafiwa???kwani mmekuaje??
mbususu zinaleta kizaazaaCha ajabu nayo yanajiua.Tukiwaambia mmezidiwa na mbususu wanakataa
🤣🙌mbususu zinaleta kizaazaa
Uliona Wanaume wako strong sana enzi hizo kwa sababu Mama yako na Bibi yako walikuwa wanawatii na kuwaheshimu waume zao bila shida yoyote,lakini nyinyi siku hizi mmekua mnataka kua na nyinyi Wanaume hadi mnaleta ushindani wa kijinga kwa Wanaume!!!
wanachosha mnoooHaki wanaume wanalia lia jamani
So nowdays women are the strongest and men are so weak?
Aah mnatuchosha Kwa kweli..