Wanawake tulieni kwenye ndoa zenu

Wanawake tulieni kwenye ndoa zenu

Hakika hii ni breed mpya, katika maisha yangu nilikua nikiona wanaume ni watu strong, ila hivi sasa....wengi ni midebwedo sana
Mkuu jazia nyama,,,, kwanini unawaona ni mdebwedo...!?? sababu zipi haswa
 
Mbona na sie wanaume tunasema tunapenda mwanamke ambaye ana tako...unampata unamuweka ndani lakini utakuta mwanaume huyo huyo anaenda kucheputa na flat screen.

Moral of the story: wanawake ni binadamu kama sie wanaume. Wanapenda nao kubadilisha ladha. Tuache kuwa wachoyo, sharing is caring.
Kweli kwenye vikao vyenu huwa hamsikilizani nimeamini.
 
Hapo ndipo unanifurahishaga @ Mzabzab,

Uko very fair!

Na pale unaposemaga super woman ni yule ambae alimwambia mumewe is over huwa ni over kweli ni more turning back [emoji108][emoji108]
Asante sana. Pamoja na mapungufu yangu ya kupenda uzinzi, nakuwa fair kabisa
 
Kiherehere chenu kuoa pisi kali

Unajijua una uwezo wa kawaida kipesa au kitandani unakimbilia kuoa saizi za watu lazima upigwe matukio

Kama uwezo wako ni wa bajaji beba bajaji kama ni lori beba lori

Hatukuwatuma muanze kutupigia magoti wakati wa engagement party

Hatukuwatuma muanze kudai keki za birthday mara mkifanyiwa suprise eti na nyie huwa mnalia.

Wanaume wa siku hizi mayai mayai sana

kukimbilia kujitapa oooh hatupo level moja mara kidume kitakua juu daima hizo ni sitaki mbichi hizi. Ridhisheni wanawake zenu acheni ubakaji ndani ya ndoa au mahusiano,kuweni romantic.
 
Usemayo ni kweli mia mia. Tatizo bwana pale kati ni patamu alafu ukisikia visanga bvya watu kupigana mapanga unaona maisha gani haya ya kulala with one eye open just incase ur wife tries to murder u



Inabidi ujikane nafsi yako kwanza!

Halafu sio wote wanawake huwa hawajatulia wapo watulivu,

Sema wanawake hao watulivu akivurugwa na mumewe Kwa kuchepuka na yeye ndipo huanza kujiongeza Kwa kui tafuta Furaha yake ilipo aipate !
 
Kiherehere chenu kuoa pisi kali

Unajijua una uwezo wa kawaida kipesa au kitandani unakimbilia kuoa saizi za watu lazima upigwe matukio

Kama uwezo wako ni wa bajaji beba bajaji kama ni lori beba lori

Hatukuwatuma muanze kutupigia magoti wakati wa engagement party

Hatukuwatuma muanze kudai keki za birthdayara mkifanyiwa suprise eti na nyie huwa mnalia.

Wanaume wa siku hizi mayai mayai sana

kukimbilia kujitapa oooh hatupo level moja mara kidume kitakua juu daima hizo ni sitaki mbichi hizi. Ridhisheni wanawake zenu acheni ubakaji ndani ya ndoa au mahusiano,kuweni romantic.
Kwa hiyo ni kana kwamba hatuwatombii vizuri ama hatuwapi pesa za kutosha????
 
Watangazaji,wakina Mama wanaoalikwa na motivational speakers wa kwenye tv na redio ni kirusi kingine Cha ndoa.

Ukimuona mkeo anafuatilia hivyo vipindi jua ndoa yenu iko mashakani au soon itaingia migogoro.
kama utani lakini kuna point kubwa sana kwenye hili, week mbili zilizopita nilikua sehemu kuna mama moja anaitwa Joyce Kiria, alikua anawaambia kina mama swala la kufua nguo za mume si lazima, kwani kabla hamjaoana nani alikua akimfulia.?
.
.
niliwaza sana, mwisho nikaona tunapoelekea itakua ni kawaida sana, na wadogo zetu wana kazi kwenye ndoa zao!
 
Fundi jokofu kakata mtu kichwa huko tayari 😅😅😅
 
Uzuri mnatuua nanyi mnajiua😉 dhaifu sana ninyi....mnashindwa kukimbilia hata SA🙌
Huu sasa uanaume, ukiumizwa kwea pipa nenda mbelezz 😂😂😂, wait!!! hela ya kukwea pipa ipo??? jibu ni lile lile tutafute hela
 
Kuna tofauti kati ya kunyandua vizuri na kubaka. Wanaume wengi wakiwa na genye wanaona na wake zao wanazo hana hata muda wa kumuandaa mwenzie ni kumkurupukia tu mwisho wa siku maumivu na kuumizana. Pesa hainunui penzi la kweli.

Mapenzi ni fumbo
Kwa hiyo ni kana kwamba hatuwatombii vizuri ama hatuwapi pesa za kutosha????
 
Back
Top Bottom