Wanawake tulieni kwenye ndoa zenu

Wanawake tulieni kwenye ndoa zenu

Hakika hii ni breed mpya, katika maisha yangu nilikua nikiona wanaume ni watu strong, ila hivi sasa....wengi ni midebwedo sana
Uliona Wanaume wako strong sana enzi hizo kwa sababu Mama yako na Bibi yako walikuwa wanawatii na kuwaheshimu waume zao bila shida yoyote,lakini nyinyi siku hizi mmekua mnataka kua na nyinyi Wanaume hadi mnaleta ushindani wa kijinga kwa Wanaume!!!
 
Wanaume wanaisha wallah.....mnaogopa maumivu badala ya kuyakabili.

Unaua mwanamke ulizaliwa nae tumbo moma kusema huwezi kuishi mkitengana nae!? Mapacha tu wanatengana sembuse wewe na mkeo.

Na hapa sio suala la mke kuwa mkaidi, ni mwanaume kutafuta mke unayemmudu bila hivyo mtazidi kuoa wake wasio wenu kisha muue kila kukicha kwa kutokuamini mnachokiona
Mi naona Kama ingekua vizuri Mwanamke ndiyo atafute Mume atake mmudu na atakae weza vumilia uzinzi wake, maana Wanaume wa hivyo pia wapo kibao, yaani hata Kama Mke wake asiporudi Nyumbani kwa siku tatu yeye atavumilia tu bila kinyongo!!!
 
Unamuua mke kisa kachepuka, kwani wachuchu wengine wameisha!!

Mchuchu mmoja akizingua, unatafuta mchuchu mwingine kiroho safi...



Kabisa na hiyo ndio akili sasa,

Kwanza kumuacha gafla huwa ni adhabu kubwa sana!

Halafu na wewe mume utaweza kuendelea kufurahia maisha yako na Pengine ukajampata mwingine mtakaependana kuliko huyo uliemwacha.

Ni swala la ufahamu na psychology wengi wanapungukiwa wanaume kwenye jamii
 
Kabisa na hiyo ndio akili sasa,

Kwanza kumuacha gafla huwa ni adhabu kubwa sana!

Halafu na wewe mume utaweza kuendelea kufurahia maisha yako na Pengine ukajampata mwingine mtakaependana kule huyo uliemwacha.

Ni swala la ufahamu na psychology wengi wanapungukiwa wanaume kwenye jamii


Maana unaua na wewe unajiua au kwenda kuishia jera kuishi Kwa mateso hadi kifo ,

Wakati ukimuacha utampata mwingine tena zaidi ya yule mpaka utaona kumbe kila shari ina Kheri yake na kumbe Mungu anavyosema tumshukuru kwa kila jambo kumbe ana maana yake nzuri sana!

Jamii inahitajika elimu ya mahusiano.

Na wanawake waache tamaa,

Na mwanamke ukishaona viashiria vya hatari ondoka kabla hajakudhuru au kuua!
 
Wanaume kwanini mmekua watu wa kulia lia kama wafiwa???kwani mmekuaje??
Ebu sema wewe bwana. Mwanaume control ya mwanamke unayo wewe sasa nashangaa kwa nini wanalialia hapa.
Kwanza mwanamke usimshobokee, pili hakikisha una mihela...mbususu zitajileta zenyewe wee kazi yako ni kuwasasambua tuu. Moral of the story: hakuna kuoa...ni kuchakata mbususu na kuwazalisha
 
Ila ni mbaya sana mwanamke kumsaliti mume wako jamani, Wengine mpaka wanaingiza wanaume ndani ya nyumba sasa kwanini mtu asikuue,

Kwanini unakubali kutumiwa na kutuma meseji na mwanaume asiye mumeo unajua kabisa sio sahihi?

Kwanini usiuwawe,


Wanawake acheni kufuatilia mambo ya kwenye TV yanawaharibu sana nyie
Kuuwa haijawahi kuwa solution katika hilo. Ni mpumbavu tu ndie anaeweza kufanya hivyo
 
Ebu sema wewe bwana. Mwanaume control ya mwanamke unayo wewe sasa nashangaa kwa nini wanalialia hapa.
Kwanza mwanamke usimshobokee, pili hakikisha una mihela...mbususu zitajileta zenyewe wee kazi yako ni kuwasasambua tuu. Moral of the story: hakuna kuoa...ni kuchakata mbususu na kuwazalisha



Weee Mzabzab acha maisha ya kihunihuni
Uhuni hauna faida umejaa hasara tupu !

Tumche Mwenyezi Mungu @ Mzabzab

Tumrudie Mungu, tumgeukie yeye na atatusamehe na kutuhurumia kwa makosa yetu!
 
Ebu sema wewe bwana. Mwanaume control ya mwanamke unayo wewe sasa nashangaa kwa nini wanalialia hapa.
Kwanza mwanamke usimshobokee, pili hakikisha una mihela...mbususu zitajileta zenyewe wee kazi yako ni kuwasasambua tuu. Moral of the story: hakuna kuoa...ni kuchakata mbususu na kuwazalisha
Ulifanikiwa kununua vyupi??? kuna mahali nlikuona unayafuta vyupi vya kike
 
Uliona Wanaume wako strong sana enzi hizo kwa sababu Mama yako na Bibi yako walikuwa wanawatii na kuwaheshimu waume zao bila shida yoyote,lakini nyinyi siku hizi mmekua mnataka kua na nyinyi Wanaume hadi mnaleta ushindani wa kijinga kwa Wanaume!!!
Si ndio maana mkaagizwa kuishi na sisi kwa akili, sa mbona mmekua kama tumewazidi akili
 
Anasema "Mwanamke tafuta pesa yako" unajua wanawake wengi hawajui masuala ya pesa hata kutafuta, wanavutiwa na Furaha inayoletwa na pesa.

Inshort, Wanawake wengi hawajui nini wanataka, Mwanamke siyo wa kumsikiliza maneno yake. Mara nyingi wanamaanisha opposite wanachosema, " Nataka mwanaume anipende na kuniheshimu", utashangaa anadate a badboy anamtreat vibaya and she is attached bro!

Ndio maana mambo ya kuona yanahitaji mwanaume uwe na experienced na wanawake, na usioe chini ya miaka 35.
Ukweli mchungu, wanawake ni tatizo sana sure maneno yao yapo kinyume sana, anachosema sio anachomaanisha. Mwanamke anaweza sema "anataka mwanaume atakae weza kumuhudumia" utamuhudumia halafu ajabu sana bado anaenda kuliwa na mvuta bangi mmoja hivi ambae hamuhudumii kwa chochote zaidi huyo demu ndio ampe pesa ya bangi.
 
Weee Mzabzab acha maisha ya kihunihuni
Uhuni hauna faida umejaa hasara tupu !

Tumche Mwenyezi Mungu @ Mzabzab

Tumrudie Mungu, tumgeukie yeye na atatusamehe na kutuhurumia kwa makosa yetu!
Usemayo ni kweli mia mia. Tatizo bwana pale kati ni patamu alafu ukisikia visanga bvya watu kupigana mapanga unaona maisha gani haya ya kulala with one eye open just incase ur wife tries to murder u
 
Ugali ulivyomtamu hivi ukiupatia mbona nzuri zilizoungwa nazi Kwa ugali ulosongwa ukasongeka eti uharibifu maisha yako kwaajili ya mwanamke?

Halafu sio kusema yuko peke yake huku Dunia la hasha wako wengi tu,

Mmnh hapana nakataaa mimi madhira!

Na Mwenyezi Mungu anisaidie siku zote subira na uwezo wa kustahamili mitihani na kuishinda!
 
Ukweli mchungu, wanawake ni tatizo sana sure maneno yao yapo kinyume sana, anachosema sio anachomaanisha. Mwanamke anaweza sema "anataka mwanaume atakae weza kumuhudumia" utamuhudumia halafu ajabu sana bado anaenda kuliwa na mvuta bangi mmoja hivi ambae hamuhudumii kwa chochote zaidi huyo demu ndio ampe pesa ya bangi.
Mbona na sie wanaume tunasema tunapenda mwanamke ambaye ana tako...unampata unamuweka ndani lakini utakuta mwanaume huyo huyo anaenda kucheputa na flat screen.

Moral of the story: wanawake ni binadamu kama sie wanaume. Wanapenda nao kubadilisha ladha. Tuache kuwa wachoyo, sharing is caring.
 
Hata kama umewekeza mali na fedha nyingi kwa huyo mwanamke kama alivyofanya Marehemu Said kwa Marehemu Swalha haijalishi,

Kuwa na subra,

ITA wazee au nenda Polisi waambie hutaki shari unataka akurejeshee mali zako zote na unatoa na time frame.

Unaeleza kabisa kuwa ulimpa ukizani mtaendelea kuishi pamoja Kwa kusikilizana lakini imekuwa kinyume hivyo nahitaji kurejeshea mali zangu na fedha zangu haraka kabla sijawaza na kufanya vibaya.

Nakwambia utarejeshewa mali zako ulizompa zote kama ni magari, nyumba , viwanja, hela n.k

Hela Kama atakuwa hana usijali mwache lakini ataishi maisha ya hofu na mashaka hiyo nayo ni adhabu kwake tosha.
 
Mbona na sie wanaume tunasema tunapenda mwanamke ambaye ana tako...unampata unamuweka ndani lakini utakuta mwanaume huyo huyo anaenda kucheputa na flat screen.

Moral of the story: wanawake ni binadamu kama sie wanaume. Wanapenda nao kubadilisha ladha. Tuache kuwa wachoyo, sharing is caring.



Hapo ndipo unanifurahishaga @ Mzabzab,

Uko very fair!

Na pale unaposemaga super woman ni yule ambae akimwambia mumewe is over huwa ni over kweli and no more turning back
 
Back
Top Bottom