Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Marahabaa
 
Hahahahaha huyo Eva si ni wewe au umesahau
 
Hahahaha imebidi niangalie tarehe ile kwa makini

Uchungu unauma ila kinachosababisha uchungu ni kitamu yawezekana nilinogewa na utamu(mood) mpaka nikaona km ni rahisi vile

Nimesoma nikaona majibu mengine ya siku mbili mbele yalikuwa kinyume
Usiogope mkuu.
 
Sina cha kuongeza tena mkuu,, kumbukumbu za uchungu zinamsisimua sana mzazi na hapo ndipo penye usemi wa uchungu wa mwana aujuae mzazi
 
Here are nine reasons why pregnancy sex is not only healthy, but why it might be even better than before.
  • An easier labor and recovery. ...
  • Less bathroom breaks. ...
  • Complication prevention. ...
  • Lowered blood pressure. ...
  • Better orgasms. ...
  • Improved self-esteem. ...
  • Stress reduction. ...
  • Improved connections.


Story tu hizo
 
Labor Induction
If a woman is overdue, some experts say that having sex could possibly bring on labor, says Jimmy Belotte, an Ob-Gyn in the Department of Obstetrics & Gynecology and Women's Health at Montefiore Health System, and an associate professor in the Department of Obstetrics & Gynecology and Women's Health and the Albert Einstein College of Medicine. Part of the reason is that orgasms mimic uterine contractions, and sex releases a hormone that’s associated with labor (oxytocin).
But sperm might play a role, too. Semen contains a hormone-like substance called prostaglandins, which is capable of ripening the cervix, says Dr. Belotte. In fact, a synthetic form of prostaglandins are also used in labor inductionmedications like misoprostol.

Story tu hizo
 
Nawaheshimu mnoo.
 
Hapa naona mm ndo sijaonja huu uchungu.😂
Ila kuna Dada aliniomba nimpeleke hospital kujifingua, nilikutana nae njiani, kazidiwa kaniomba msaada nikampeleka.
Jamani yule Dada alisababisha nakosana na manesi, uchungu ukimshika Analia kama mtoto, akinishika Mimi naenda kwa manesi kuwaomba waje wamuone, hata hawajali ninachowambia. Nikirudi wodi nakuta wema analia.

Nilivyomuita nesi kwa Mara ya pili akagoma, nikapiga magoti pale kitandani wema alipo kaa, nikaombaa nakuomba mama bikra maria anisaidie wema ajifunguwe maana sio kwa maumivu Yale.
Alikuwa Analia anamuita mama yake marehemu , nywele anazivuta, ananishika mm, ananiambia nimsaidie😂😂😂😂
Baadae sana Dr akaja kumpima akasema huyu bado, nenda umletee chai ya rangi, hapo kumbuka mtu simjui, kadi ya clinic hana, nikimuuliza anajibu analia eti yeye kama vile hana kwao, nimsaidie atanieleza baadae.
Nikaona hii sasa Kali kesho yake nilikuwa na pepa, ntawezaje kukaa hospital? Hapo nilikutana nae saa 4 asubuhi, town, zikivyofika saa mbili usiku, nikamwambia nesi huyu mtu simjui namsaidia tu, mm narudi nikasome, kesho baada ya pepa nakuja, akaniagiza ninunue vitu Fulani niviache hapo. Nikarudi kusoma nikamwacha na nesi,hata kusoma sikusoma mawazo yapo kule leba, nilishika lozari nilisalii, saa 8 usiku nes kanipigia kajifungua, nilifurahi pepa nilifanya within 1hr, nkasepa hospital, ahaaa nilikuta anacheka balaaa.

Shikamoo leba.
 
Siku nyingine nikampeleka Shoga yangu wa ukweli kujifungua ahaaaa, ile hospital ukishamfikisha leba, huruhusiwi kumuona tena, na vile tulimpeleka usiku, wakatwambia tumwache tuje asubuhi.

Huyo Shoga yangu yeye alikuwa atowi machozi ila uchungu ulipokuwa ukimshika ananinambia anakufa nimshike kiuno.

Nesi alivyokuja akaniambia ondoka mama kijacho, utamuona kesho. Maskini Shoga yangu aliniita kwa kwa huzuni sana akaniambia, " luckyline umeniacha nakufa, ila kama nitakufa mtoto mtakaenzaa umuite ANGELO😂😂😂😂asubuhi narudi kajifungua kasichana.dah😂😂
 
Unaitwa Angelo?/Angel
 
Kuna moja baba mtu alijipitisha nikamuona nikiwa stage hiyo ya ukali yaani nilivyomfukuza, toka usoni kwangu nisikuone kabisa.....hahahaha alikimbia balaa
Jamani mpaka nimeogopa.... Uwiiii sijui itakuwaje mwaka wa mimi kuingia huko nadhani manesi watanipiga makofi
 
Wengine wanazaa kama panya tu, sekunde mbili kapush katoka kama hakuna kilichotokea vile.
 
Wanawake huwa mnatutesa sana yaani unamwelekeza mama uchungu ukija fanya hivi lkn badala yake anafanya kivingine tu yaani utamu wako hafu ulete shida nyingine

Hicho nikilele cha kutanua mapaja mama

Tena sukuma kama ulivyokuwa unasikia ule utamu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…