The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,266
- 42,901
Hivi ni rahisi kujifunza kupenda?
Sasa mkuu, kama hawezi kujifunza kupenda amewezaje kufanya unyama wa aina hii? Kama anaweza kudiriki kuacha mtoto na mwanamke mjamzito aliyempenda na kujitoa kwake akaenda kwa mtu mwingine na kumjengea nyumba anashindwaje kutumia ujasiri huo kujifunza kumpenda huyo mwanamke?
Sie wengine unaweza usimpende mwananmke kabisa, lakini matendo yake yakakugusa mkuu. Nguvu aliyotumia kufanya huo ukatili ni kubwa kuliko nguvu ambayo angeitumia kujifunza kumpenda huyo mke wake, mtazamo wangu tu!