Kiranja wa jamii
JF-Expert Member
- Jan 2, 2023
- 222
- 529
Kabla ya kufanya maamuzi ya kuishi na mtoto wa mtu uliza moyo wako na ujiridhishe kwamba unampenda na kisha iulize nafsi yako kuthibitisha kuwa imeridhika kweli kwamba unapendwa na unayempenda
kwanini nasema hivyo ndugu zangu?
kutokana na nafasi yangu nimeshuhudia mengi likiwemo la leo la dada mmoja anayeshindwa afanyeje kumuacha mwanaume anayeishi nae lakini moyo wake umegoma kabisa kumpenda
Bidada akiwa anasimulia hadi analia kwasababu Bwana mkubwa anampenda na anampa kila kitu bimdada lakini shida ya bimdada anasema hafeel kabisa na anamuonea huruma bwanamkubwa kwasababu ki ukweli moyo wake uko sehemu nyingine lakini atafanyaje na tayari ana pete kidoleni aliyovishwa mbele ya kasisi wa kikatoriki na tayari wamebarikiwa watoto mapacha?
ukimuuliza ilikuwaje akaingia kwenye ndoa na sasa anasema moyo haupo utaona kichekesho! Madai yake alikutana nae baada ya kukaa single kwa muda mrefu huku rafiki zake wakimtambishia mashemeji kila siku akawa hana namna jamaa alivyojitokeza hakuwa na pingamizi.
Kwasasa ameshindwa inabidi atulize nafsi na aburudishe moyo wake kwa mwingine anayoona wanaendana
Uliye naye unampenda? Na una uhakika na yeye anakupenda na ana furaha ya kuwa na wewe? Hili ni swali kwa wana ndoa, wenza ili wanaotarajia wapate uzoefu kwenu
kwanini nasema hivyo ndugu zangu?
kutokana na nafasi yangu nimeshuhudia mengi likiwemo la leo la dada mmoja anayeshindwa afanyeje kumuacha mwanaume anayeishi nae lakini moyo wake umegoma kabisa kumpenda
Bidada akiwa anasimulia hadi analia kwasababu Bwana mkubwa anampenda na anampa kila kitu bimdada lakini shida ya bimdada anasema hafeel kabisa na anamuonea huruma bwanamkubwa kwasababu ki ukweli moyo wake uko sehemu nyingine lakini atafanyaje na tayari ana pete kidoleni aliyovishwa mbele ya kasisi wa kikatoriki na tayari wamebarikiwa watoto mapacha?
ukimuuliza ilikuwaje akaingia kwenye ndoa na sasa anasema moyo haupo utaona kichekesho! Madai yake alikutana nae baada ya kukaa single kwa muda mrefu huku rafiki zake wakimtambishia mashemeji kila siku akawa hana namna jamaa alivyojitokeza hakuwa na pingamizi.
Kwasasa ameshindwa inabidi atulize nafsi na aburudishe moyo wake kwa mwingine anayoona wanaendana
Uliye naye unampenda? Na una uhakika na yeye anakupenda na ana furaha ya kuwa na wewe? Hili ni swali kwa wana ndoa, wenza ili wanaotarajia wapate uzoefu kwenu