LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,549
- 12,558
Inawezekana ikawa hivyo ndio maana nikasema kwenu ninkawaida kwakua uwezo wa mwanamke uko juu kujizuia na kupuuzia hisia za ngono tofaut na mwanaume. Japo wote wana hisiaKwanini iwe tofauti ambacho hamjui wanawake tuko juu sexually kihisia kuliko nyinyi shidayetu ni moja kupuuzia lkn mwanamke akiamua akili yake ifocus na ngono ni hatari kuliko mwanaume