Wanawake tamaa na umalaya uwamaliza.

Wanawake tamaa na umalaya uwamaliza.

Sheria ya ndoa na mahakama ya familia zisiposukwa upya ili kuwawajibisha wanawake haya mambo yataendelea daima.

Embu fikiria hapo mume angekuwepo nyumbani angebambikiwa iyo mimba, angerudi na kumpa talaka mkewe wangegawana mali 50/50.

Sheria ya ndoa ipitiwe upya mwanamke aondolewe favoritism hata pale ambapo yeye ndie mwenye makosa. Utaratibu wa kupima DNA uwe wa uwazi, ukweli na shurti ya kisheria mara baada ya mtoto kuzaliwa. Automaticaly wanawake watarudi kwenye mstari
 
TO DAY TOPIC IS ABOUT KIPOCHI MANYOYA

Define the following

1: Kipochi manyoya ............................................................................................................................................
..................................................................................................................(15 marks)

2: Upwiru...........................................................................................................................................................................
...................................................................(15 marks)

3: Differentiate betwwen Upwiru and nyege(20 marks)

4: Without any mhemko write short massage by using latter above (kwenye uzi)and coclude with possitive judgement.(30 marks)

5: Why womens are toomuch nyonyoko? (20 marks)

..............................END...............................
Duuuuh! Haaaha Attempt all Questions
MWISHO WA KUNUKUU
 
Sheria ya ndoa na mahakama ya familia zisiposukwa upya ili kuwawajibisha wanawake haya mambo yataendelea daima.

Embu fikiria hapo mume angekuwepo nyumbani angebambikiwa iyo mimba, angerudi na kumpa talaka mkewe wangegawana mali 50/50.

Sheria ya ndoa ipitiwe upya mwanamke aondolewe favoritism hata pale ambapo yeye ndie mwenye makosa. Utaratibu wa kupima DNA uwe wa uwazi, ukweli na shurti ya kisheria mara baada ya mtoto kuzaliwa. Automaticaly wanawake watarudi kwenye mstari


Utaratibu wa kupima DNA uwe wa uwazi, ukweli na shurti ya kisheria mara baada ya mtoto kuzaliwa. Automaticaly wanawake watarudi kwenye mstari
 
Upotoshaji sio mzuri kama huna elimu ya hilo jambo

Unataka kusema Mwenyezi Mungu alipanga huyo mtu azini?


Tumuogope Mungu
Sio upotoshaji ni umepewa free will unaelewa maana ya free will Mungu hajakufunga kamba ila ukomo wa wewe kuishi upo palepale rukaruka fanya nini siku yako km ni Kesho umeandikiwa utakufa utakufa tu huwezi kuruka
 
Nimejaribu kuvaa viatu vya watoto kila wakifiria chanzo Cha kifo Cha mama yao

Mhh nimevivua
Mama katika jitahada za kunusuru maslahi yake , hakuna mtu anajali ..Kuzaana ni kuleteana tabu , kila mtu anafanya jambo kwa maslahi yake .
 
Sio upotoshaji ni umepewa free will unaelewa maana ya free will Mungu hajakufunga kamba ila ukomo wa wewe kuishi upo palepale rukaruka fanya nini siku yako km ni Kesho umeandikiwa utakufa utakufa tu huwezi kuruka
Hapa kidogo umerekebisha kauli yako tofauti na awali, awali ulisema Mungu kapanga

Pamoja na kwamba kifo ni haki au kusudio la Mungu lakini kasema tusijiue
 
Ukiachana na umalaya wa huyo mwanamke, huyo mwanaume yeye kwenda Uganda miezi 5 alitegemea mkewe aliwe na nani?
Tatizo sio kuliwa kwa huyo mke Tatizo ni kuliwa ukabebeshwa mimba na bado ukailea ikakuwa mpaka ukasubiri mme wako akaribie kuja ndo uende kuitoa mwisho wa siku ikakuuwa.
 
Mungu alishapanga kila kitu mpaka uzinzi alishapangiwa kwa hio huwezi kukimbia your destiny
Kwahiyo kama Mungu anampangia binadamu hadi uzinzi ina maana atamuadhibu tena kwa dhambi ya uzinzi aliyoipanga mwenyewe?
 
TO DAY TOPIC IS ABOUT KIPOCHI MANYOYA

Define the following

1: Kipochi manyoya ............................................................................................................................................
..................................................................................................................(15 marks)

2: Upwiru...........................................................................................................................................................................
...................................................................(15 marks)

3: Differentiate betwwen Upwiru and nyege(20 marks)

4: Without any mhemko write short massage by using latter above (kwenye uzi)and coclude with possitive judgement.(30 marks)

5: Why womens are toomuch nyonyoko? (20 marks)

..............................END...............................
Monetary doctor njoo kafanye maswali ya moku.
 
Aliemuua mwanamke ni jamaa!unakaaje miezi minne bila mechi na mkeo!!?

Labda kama mkeo Kawa jau au umegundua sio mwaminifu unaweza ku shit lakini day to day life unasafirije miezi yote hiyo bila mechi!!?
 
Aliemuua mwanamke ni jamaa!unakaaje miezi minne bila mechi na mkeo!!?

Labda kama mkeo Kawa jau au umegundua sio mwaminifu unaweza ku shit lakini day to day life unasafirije miezi yote hiyo bila mechi!!?
Jamaa kamaliza miezi 5 na mimba ilikuwa ina miezi 4 na siku kadhaa ina maana huo uzinzi ulio mpa hiyo mimba aliufanya ndani ya wiki mbili tu tangu aondoke jamaa.
Kiufupi huo mchepuko ulio mpa mimba ulikuwa nao siku nyingi.
 
Back
Top Bottom