Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Ukisha side in public unapoteza hoja na nguvu in private
All in all huwezi kupingana na mume wako mbele za watu huko ni kukosa adabu, hata kama amekosea ni lazima uonyeshe upo upande wake ili kutomvunjia heshima na kutovunja heshima ya ndoa yenu
 
Haswa, ukiolewa ujue umependelewa sasa sijui wasiwasi hutokea wapi tena.
Duuh yaani kumuoa mwanamke ni kumpendelea? Wanaume msipofuta hii mentality vichwani mwenu basi wanawake tutaendelea kupata taabu sana kwenye ndoa yaani kitu ambacho maandiko yanakuamrisha ufanye yaani uoe mke mmoja na umpende mkeo wewe unaona kama huyo mkeo umemfanyia favour?
 
All in all huwezi kupingana na mume wako mbele za watu huko ni kukosa adabu, hata kama amekosea ni lazima uonyeshe upo upande wake ili kutomvunjia heshima na kutovunja heshima ya ndoa yenu
Unadhani hilo ni kwa sababu gani???
 
Nop, mimi sihukumu mwanamke kwa historia za nyuma ila tu zile incidence zilinifunza jinsi ya kujiweka kwenye uhusiano. Huwa sikai ki Ree tena sikuhizi na si kwa ubaya ila ni sababu naelewa M.O ya mwanamke.
I don't love blindly anymore, sitakupunja penzi ila sasa......
Usifanye hivyo bablide
 
Wala sio povu, we mpaka nimekuoa kuna wanawake wangapi nishagonga na kuwatema? We kuna madume wangapi washakupiga mkojo wakakuacha?

Am i stupid to present you to my family and witnesses kisha nikakuvika pete na nikakuzalisha watoto na kuanza kuishi na wewe nyumba moja. Does all that make no sense to you hata kidogo? Grinding all my life to make ends meet, msosi, kodi, ada, shopping n.k.

Unatakiwa ukue kihekima tu, then mambo yatakuwa smooth. No need to create stressing environment after all mume kuchepuka signifies mwanamke hafanyi part yake vyema.

Ukiwa na gubu ama controlling utachitiwa tu hamna namna. Too bad wanawake wa kibongo wengi mna hizo tabia af still mnamtafuta mchawi nani.

Kelele nyingi kubembeleza hujui ila uko too demanding kutaka mume awe available kila saa. K yenyewe unaitoa ilimradi romanticness "F" mtaendelea kupigwa magepu tu.

Wanawake understanding kama mtoa mada ndio wakogo romantic sana na wanapendeka haswa. Ni raha tu hata ukirudi home saa 10 full burudani.
Hivi kinachowafanya muone kwamba kuoa mwanamke mmoja na kumpenda ni kumpendelea ni kitu gani? Kwani si ndicho Mungu alichoamrisha mfanye au? Anataka mwanaume ampende mkewe mwanamke amtii mumewe hiyo ni amri siyo ombi sasa nyie wanaume mnadhani kuwapenda wake zenu mmewapendelea tu ila nyie wake zenu kuwatii ni lazima haijalishi mume ana tabia gani
 
Hahah usiwaze negatively namna hio. Kumbuka hii ni jf halafu kuna maisha halisi. Hapa ni kama chuo tu
Mmhh kwahiyo unataka mimi niwe wa jf tu ila kwenye maisha halisi yupo?
 
Hapana bwana hapo najua maslahi uliyomaanisha ni pesa ila kwangu mimi mapenzi siyo pesa mapenzi ni uaminifu tu sasa nikishapata mwanaume ambaye siyo muaminifu na mimi lazima nitarget pesa zake huku nikiwa standby kwa lolote ili hata nikiachwa nijue kuna kitu niliambulia kuliko kujifanya mtakatifu kupenda ambaye hana pesa kumbe yeye kwako ndo yupo kimaslahi zaidi
Sasa hapo umezunguka ila point iko pale pale. "pesa"
 
Kabisaaa ila mimi siyo mlevi kwahiyo sijui ladha ya wine
hahah hilo sishangai maana hata mimi nahela kama Mo Dewji ila tu sipendi show off jamvini~~~aliskika baharia mmoja toka jf
 
Edelyn huyu ni mdau wa tatu anakuzungumzia kuhusu namna unavyoonekana kutokana na yale unayoyaandika. Nakubaliana nae mimi, kwa mentality yako na reality juu yetu Sisi wanaume, nadhani maisha ya ndoa is not for you kabisa. Yatakushinda ndani ya muda mfupi sana.
Hahahaha nina mifano mingi ya wanawake ambao wana mitazamo kama yangu wanaiapply kwenye ndoa na ndoa zao zina muda mrefu sasa ila mimi wanaume kama huyo nawachukulia ni aina ya wale ambao wanataka wake zao wawe wapumbavu siku zote za maisha yao yaani hata akiona mumewe anaingia na mwanamke chumbani wanajifungia akaambiwa "huyu ni dada yangu" yeye anakubali tu

Aisee yaani kuolewa na baadhi ya wanaume wa kiafrica inahitaji ukubali kuwa mnafiki maisha yako yote yaani ukubali vitu kishingo upande maana mnayotaka tuyafanye hayawezekani kwa binadamu wa kawaida na unafiki nao ni dhambi yaani mnataka wake zenu wafuate maandiko wakati nyie wenyewe hayo maandiko yamewashinda
 
Halafu sasa hayo masharti na mikelele yao, utarudi saa Saba mchana dakika 30 unataka upige moja fasta anakuletea story za tusubiri basi jioni, huoni sasa hivi joto hili wakati wewe migenye yako ishakupanda huko.

Ataanza kukuletea story za yeye is not in mood sijui nini, anategemeaje yaani kwa mfano?? Hapo wanaomuhangaisha ni watoto wake. Wakati kamchepuko kila saa upo job kanakuita na ukienda kanatamani kakusujudie.....

Eeee bhana being a man, a complete man ni ngumu sana ila hatuelewekagi, wanatuona hatuna mapenzi ya dhati.

Play your role, be a wife and not otherwise. Tena be a wife kwa mujibu wa bible au Qur an, achana na u-western utapata tabu bureeee
Wanaume kitu ambacho hamuelewagi ni kitu kimoja nadhani mnashindwa kuelewa tofauti ya mke na mchepuko mke lazima achoke sababu ana majukumu mengi kuliko huyo mchepuko na mchepuko siku zote lazima akunyenyekee sababu kashaona hakuna mwanaume wa kumuoa

Kwahiyo bora abaki na mume wa mtu ashikilie hapo hapo na mnatakiwa muelewe kuwa huyo mchepuko anafanya hivyo kwa sababu ya nafasi yake na siyo kwa sababu ya tabia yake hata yeye akija kuolewa atafanya hayo hayo unayolalamika kuwa mkeo anafanya kwa mumewe

Na hata mkeo angekuwa ndo mchepuko angefanya hayo hayo ambayo unayasifia mchepuko wako anafanya ila nyie kwa sababu ya tamaa zenu hamuoni hilo halafu kuhusu kufuata maandiko hivi wanaume mmeambiwa msifuate maandiko?

Mbona nyie hamyafuati kutwa kulazimisha wanawake ndo wayafuate? Hebu fuateni maandiko bwana acheni kusema kuwa tunashindana na nyie wote mume na mke wakifuata maandiko mbona hakuna atakayepigizana kelele na mtu ila tatizo wanaume kufuata maandiko hamtaki
 
Back
Top Bottom