Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,152
- 190,689
basi tuishi nanyi kama michepuko tuone kama ndoa itakuwa tamu. Hapa ndipo napopata maana kwa nini vitabu vya dini vilisisitiza mume kuwa polygamous.
Hivi like seriously unaweza ukafananisha maisha ya kuishi kindoa na maisha ya kuchepuka ambayo mnakutana tu kupeana raha? Anzisha familia na huko kwa mchepuko afu uje utuambie kama utakuwa tofauti na mnavyoishi na mkeo. Heshimuni ndoa tafadhali


