Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Play your role, be a wife and not otherwise. Tena be a wife kwa mujibu wa bible au Qur an, achana na u-western utapata tabu bureeee

Nafikiri angalau wanawake wengi wanaishi kwa misingi ya Bible au Quran; lakini ukija kwa wanaume wao hawataki kuishi kwa misingi ya dini. Mfano kwenye Biblia; tunaona Yesu alivyoivalue ndoa hadi akaifananisha sawa na uhusiano wake na kanisa; sema tu ukweli ni wanaume wangapi wanaoishi na kuwatreat wako zao kama Kristo na kanisa? It's all about women; do this and that blah blah; wanaume ni wafalme wafanye tu watakavyojisikia
 
Wala sio povu, we mpaka nimekuoa kuna wanawake wangapi nishagonga na kuwatema? We kuna madume wangapi washakupiga mkojo wakakuacha?

Am i stupid to present you to my family and witnesses kisha nikakuvika pete na nikakuzalisha watoto na kuanza kuishi na wewe nyumba moja. Does all that make no sense to you hata kidogo? Grinding all my life to make ends meet, msosi, kodi, ada, shopping n.k.

Unatakiwa ukue kihekima tu, then mambo yatakuwa smooth. No need to create stressing environment after all mume kuchepuka signifies mwanamke hafanyi part yake vyema.

Ukiwa na gubu ama controlling utachitiwa tu hamna namna. Too bad wanawake wa kibongo wengi mna hizo tabia af still mnamtafuta mchawi nani.

Kelele nyingi kubembeleza hujui ila uko too demanding kutaka mume awe available kila saa. K yenyewe unaitoa ilimradi romanticness "F" mtaendelea kupigwa magepu tu.

Wanawake understanding kama mtoa mada ndio wakogo romantic sana na wanapendeka haswa. Ni raha tu hata ukirudi home saa 10 full burudani.
Hivi mkuu tunaelewa kweli harafu punguza ukali wa maneno ukitaka twende Sawa hatubishani tunaelekezana,Unamfumo dume kichwani hata wew unaonekana sio husband material yaani unachulia kama kumuoa mwanamke ndio Umungu wako.Elewa point yangu kama mwanaume ana nidhamu kwangu why nimfatilie hapa nazungumzia mahusiano au ndoa ya mashaka.
 
Ndoa yake imshinde kwa sababu anatofautiana mitazamo na ninyi? Mnafikiri wanaume wote wanawaza kama ninyi? Mna umri gani hadi msielewe about diversity? There is someone for everyone; so stop worrying about her. Hakuna uniformity ya ndoa
Edelyn huyu ni mdau wa tatu anakuzungumzia kuhusu namna unavyoonekana kutokana na yale unayoyaandika. Nakubaliana nae mimi, kwa mentality yako na reality juu yetu Sisi wanaume, nadhani maisha ya ndoa is not for you kabisa. Yatakushinda ndani ya muda mfupi sana.
 
Ndoa yake imshinde kwa sababu anatofautiana mitazamo na ninyi? Mnafikiri wanaume wote wanawaza kama ninyi? Mna umri gani hadi msielewe about diversity? There is someone for everyone; so stop worrying about her. Hakuna uniformity ya ndoa
Kuna watu wa ajabu sana ukitofautiana mtazamo oooh sio wife material.
 
Mpaka mtu anaamua kukuoa ina maana amekupenda ishi kwa amani.
Hahaa jamani kumuoa mtu ni kitu kimoja; kumfanya mwenza aishi kwa furaha amani ni kitu kingine kabisa. Kusign papers sio kwamba ndo umemaliza; bali ndo maisha yameanza sasa. Siku hizi usipokuwa makini unaishia tu kusema fulani ni mume wangu kisa tu una papers na pete; you are his bride; but someone else is his wife. Ndoa wenyewe hizi za siku nyingine mtu anajikuta tu kakuoa; utashaa
Haswa, ukiolewa ujue umependelewa sasa sijui wasiwasi hutokea wapi tena.
 
Hahaa jamani kumuoa mtu ni kitu kimoja; kumfanya mwenza aishi kwa furaha amani ni kitu kingine kabisa. Kusign papers sio kwamba ndo umemaliza; bali ndo maisha yameanza sasa. Siku hizi usipokuwa makini unaishia tu kusema fulani ni mume wangu kisa tu una papers na pete; you are his bride; but someone else is his wife.
Wasipo elewa comment hii basi wanaitaji maombi maalum😀😀😀
 
Katika vitu siwezi kuvumilia ni mwanaume kuchepuka bora nisijue na kumfuatilia kwakweli ni muhimu ili afanye mambo yake kwa akili nakubali kuwa mwanaume hachungiki lakini lazma ajue kuwa kuna unyayo nyuma yangu unanifuatilia la sivyo mamy utashangaa migonjwa ya ajabu hii hapa ndani ya nyumba
 
Nafikiri angalau wanawake wengi wanaishi kwa misingi ya Bible au Quran; lakini ukija kwa wanaume wao hawataki kuishi kwa misingi ya ndani. Mfano kwenye Biblia; tunaona Yesu alivyoivalue ndoa hadi akaifananisha sawa na uhusiano wake na kanisa; sema tu ukweli ni wanaume wangapi wanaoishi na kuwatreat wako zao kama Kristo na kanisa? It's all about women; do this and that blah blah; wanaume ni wafalme wafanye tu watakavyojisikia
Truth be told and the rest is chit chat, wanaume pia tunatakiwa tuijue missing ya dini zetu. Case closed if you know what I mean
 
Hivi mkuu tunaelewa kweli harafu punguza ukali wa maneno ukitaka twende Sawa hatubishani tunaelekezana,Unamfumo dume kichwani hata wew unaonekana sio husband material yaani unachulia kama kumuoa mwanamke ndio Umungu wako.Elewa point yangu kama mwanaume ana nidhabu kwangu why nimfatilie hapa nazungumzia mahusiano au ndoa ya mashaka.
Nidhamu kwako ni nini?
 
Ndoa yake imshinde kwa sababu anatofautiana mitazamo na ninyi? Mnafikiri wanaume wote wanawaza kama ninyi? Mna umri gani hadi msielewe about diversity? There is someone for everyone; so stop worrying about her. Hakuna uniformity ya ndoa
Me and you will not be there to witness that.

And the fact is, there are not enough men for every single woman! Kubali kataa
 
Sawa wawe wanaume wengi kwani ataolewa na wanaume wengi au mmoja? It's so wrong kutaka watu waishi maisha tunayohisi ndiyo sahihi kwetu; choices za maisha yetu hazifanani at all. Kuna ndoa unaziangalia kwa nje hadi unacheka ila ndo wenzio wana furahaaa; na kuna nyingine unasema "I tap into that"; njoo sasa ushuhudie yanayoendelea teh
Me and you will not be there to witness that.

And the fact is, there are not enough men for every single woman! Kubali kataa
 
Sawa wawe wanaume wengi kwani ataolewa na wanaume wengi au mmoja? It's so wrong kutaka watu waishi maisha tunayohisi ndiyo sahihi kwetu; choices za maisha yetu hazifanani at all. Kuna ndoa unaziangalia kwa nje hadi unacheka ila ndo wenzio wana furahaaa; na kuna nyingine unasema " tap into that"; njoo sasa ushuhudie yanayoendelea teh
Have a nice day ahead
 
Amazingly sensible, you're one in a zillion.
Mmekaa sitting room mnaangalia taarifa ya habari, simu ya mr inaita, anaamka anachukua simu, ameamua kuongelea chumbani. Baada ya maongezi anarudi anakukuta mwanamke umeumuka kama umetiwa hamira, aliyepiga simu ni nani?

Kama ungetakiwa kumjua au kujua wanayoongea asingeenda chumbani, yeye ni mtu mzima anahitaji privacy yake. Kama anataka kukopa hela je?

Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.

Uache kulala usingizi wako mzuri unamsubiri mtu ambae yuko kwenye bata lake huko au ndiyo anashughulikia ada za watoto. Mradi tu awe na adabu ya kunijulisha kuwa atachelewa.
 
Halafu sasa hayo masharti na mikelele yao, utarudi saa Saba mchana dakika 30 unataka upige moja fasta anakuletea story za tusubiri basi jioni, huoni sasa hivi joto hili wakati wewe migenye yako ishakupanda huko.

Ataanza kukuletea story za yeye is not in mood sijui nini, anategemeaje yaani kwa mfano?? Hapo wanaomuhangaisha ni watoto wake. Wakati kamchepuko kila saa upo job kanakuita na ukienda kanatamani kakusujudie.....

Eeee bhana being a man, a complete man ni ngumu sana ila hatuelewekagi, wanatuona hatuna mapenzi ya dhati.

Play your role, be a wife and not otherwise. Tena be a wife kwa mujibu wa bible au Qur an, achana na u-western utapata tabu bureeee
Yani umepita mule mule...af wanatafta mchawi. Hivi michepuko wao mbona hawanaga ratiba yani kama ni gari switch ya push to start. Hata uende saa 4 asubuhi unapewa huduma bila zengwe ila mke mpaka unyonye pipe za mafuta uminye fuel pump au umsukumie kwenye gear namba 3!

Yani kama ni net mke ni sawa na kupewa bundle la 100GB halafu upewe limit ya MB100 kwa siku 😁😁😁 wakati mchepuko unatumia unavyotaka hata ukitaka utumie 6GB kila siku.
 
Yani umepita mule mule...af wanatafta mchawi. Hivi michepuko wao mbona hawanaga ratiba yani kama ni gari switch ya push to start. Hata uende saa 4 asubuhi unapewa huduma bila zengwe ila mke mpaka unyonye pipe za mafuta uminye fuel pump au umsukumie kwenye gear namba 3!

Yani kama ni net mke ni sawa na kupewa bundle la 100GB halafu upewe limit ya MB100 kwa siku wakati mchepuko unatumia unavyotaka hata ukitaka utumie 6GB kila siku.
Hivi like seriously unaweza ukafananisha maisha ya kuishi kindoa na maisha ya kuchepuka ambayo mnakutana tu kupeana raha? Anzisha familia na huko kwa mchepuko afu uje utuambie kama utakuwa tofauti na mnavyoishi na mkeo. Heshimuni ndoa tafadhali
 
Dogo alikuwa "LAFA" huyo. Mi ukitaka simu nakupa ushinde nayo na matukio unapigwa vile vile.
Kuna kijana mmoja nilikua namwambia kumpa mpenzi wako simu yako aikague anavyojisikia wala sio mapenzi ni utoto. Eti gf wake akikuta namba ya mwanamke anaipiga anamchimba biti.
Shida zote za nini hizo kuanza kutafuta mabaya mkosane bure
 
Mimi ninaamini kama katika wote amenichagua mimi, hata akitoka wala sina wasiwasi ninajua atarudi. Simu ikipigwa ninampelekea kama yuko mbali, hata kama caller’s name ni Joyce siulizi kwani mwenye pete ya ndoa ni mimi.
Sky Eclat bhana
 
Back
Top Bottom