Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Hahahaha hili povu,Maswali lazima yaulizwe indapo nitaona dalili tofauti kama hutaki kuulizwa maswali tafuta mwanamke bubu asiyekuwa na uwezo wa kuzungumza
Wala sio povu, we mpaka nimekuoa kuna wanawake wangapi nishagonga na kuwatema? We kuna madume wangapi washakupiga mkojo wakakuacha?

Am i stupid to present you to my family and witnesses kisha nikakuvika pete na nikakuzalisha watoto na kuanza kuishi na wewe nyumba moja. Does all that make no sense to you hata kidogo? Grinding all my life to make ends meet, msosi, kodi, ada, shopping n.k.

Unatakiwa ukue kihekima tu, then mambo yatakuwa smooth. No need to create stressing environment after all mume kuchepuka signifies mwanamke hafanyi part yake vyema.

Ukiwa na gubu ama controlling utachitiwa tu hamna namna. Too bad wanawake wa kibongo wengi mna hizo tabia af still mnamtafuta mchawi nani.

Kelele nyingi kubembeleza hujui ila uko too demanding kutaka mume awe available kila saa. K yenyewe unaitoa ilimradi romanticness "F" mtaendelea kupigwa magepu tu.

Wanawake understanding kama mtoa mada ndio wakogo romantic sana na wanapendeka haswa. Ni raha tu hata ukirudi home saa 10 full burudani.
 
Watu wawili wakiamua kuishi pamoja kama wanandoa wanaishi kwa nani ndoa siyo vita. Kumiss na issue mnaiongelea chumbani hata watoto wasiwasikie. Maongezi yakiisha maisha yanaendelelea.
Pamoja na kwamba unaongeaga pumba kuhusu ushoga ila hii perspective yako kuhusu jinsi ya kuyaishi mahusiano nimeipenda.. ukiacha kusapot ushoga tu utakua perfect woman. til then..
 
yaani mimi jamani jf inanifanya nikeshe nikiwahi sana kulala ni saa nane usiku haki hadi kuna muda najuta kuwa member wa humu ila kuifuta ndo roho inasita daah
Jf ni kama wine 😁 muda unavyoenda inazidi kuwa tamu hasa mada ikiwa bomba.
 
nitakataa sababu nitajua tu kuwa utakuwa unataka unifanye mchepuko maana kama mpenzi sijui mke tayari unaye sasa mimi si nitakuwa lofa kuchukia uchepukaji halafu bado nikubali kuwa mchepuko?
Hahah usiwaze negatively namna hio. Kumbuka hii ni jf halafu kuna maisha halisi. Hapa ni kama chuo tu 😀
 
Hahaha uzuri sisi tunahitajiana, hakuna aliyemfanyia mwenzie favor kuwa naye; so kila mtu yupo responsible. Sio haya mambo kila siku wewe tu ndo uwaze kumfurahisha mwenzio; afu yeye anavimba tu maana anaona kukuoa kama ndo kashakuwa Yesu wako sasa.
Hebu acha tabia za ki green city. Kuwa kama pamba bana au nyoya la kuku. Life isn't that hard ukiamua kuishi.
 
Thats what happens, akija yupo chakari anakupa ubavu salamu ni asubuhi😀😀😀 akiulizia maji ya kuoga. Sasa hayo ndio maisha ambayo mke mpumbavu anajitengenezea bila sababu.
Wewe si unaona freedom of speech inavyo sumbua upinzani basi freedom ya privacy ni muhimu kwenye ndoa.
 
Yaani ndo hivyo sasa msitulaumu tunapotongozwa katika kuchagua sisi kama binadamu unakuta unamchagua mtoto wa Farao unamuacha Musa na Musa anabaki ana mawazo masikini anawaza atakupata lini wakati huku hili litoto la Farao linakuona kama takataka tu

Daah haya mambo ndo maana tunaambiwa tumuombe sana Mungu maana wakati wa kutongoza watoto wa Farao na Musa wote wanakujaga kwa upole na hapo ndo ninaamini ule msemo unaosema "hata shetani naye anaweza kukujia kama malaika" japo kweli aliwahi kuwa malaika ila sasa ni malaika mstaafu
Kwa kutanguliza maslahi bila hekima apo lazma mchanganye mafaili.
 
Unaonekana una kaubishi flani hivi kakutaka mashindano nimesoma comment zako kwa tabia hii labda umpate mwanaume goigoi lakini kichwa cha familia hutamweza wewe.pole sana kila la heri.
Edelyn huyu ni mdau wa tatu anakuzungumzia kuhusu namna unavyoonekana kutokana na yale unayoyaandika. Nakubaliana nae mimi, kwa mentality yako na reality juu yetu Sisi wanaume, nadhani maisha ya ndoa is not for you kabisa. Yatakushinda ndani ya muda mfupi sana.
 
Wala sio povu, we mpaka nimekuoa kuna wanawake wangapi nishagonga na kuwatema? We kuna madume wangapi washakupiga mkojo wakakuacha?

Am i stupid to present you to my family and witnesses kisha nikakuvika pete na nikakuzalisha watoto na kuanza kuishi na wewe nyumba moja. Does all that make no sense to you hata kidogo? Grinding all my life to make ends meet, msosi, kodi, ada, shopping n.k.

Unatakiwa ukue kihekima tu, then mambo yatakuwa smooth. No need to create stressing environment after all mume kuchepuka signifies mwanamke hafanyi part yake vyema.

Ukiwa na gubu ama controlling utachitiwa tu hamna namna. Too bad wanawake wa kibongo wengi mna hizo tabia af still mnamtafuta mchawi nani.

Kelele nyingi kubembeleza hujui ila uko too demanding kutaka mume awe available kila saa. K yenyewe unaitoa ilimradi romanticness "F" mtaendelea kupigwa magepu tu.

Wanawake understanding kama mtoa mada ndio wakogo romantic sana na wanapendeka haswa. Ni raha tu hata ukirudi home saa 10 full burudani.
Halafu sasa hayo masharti na mikelele yao, utarudi saa Saba mchana dakika 30 unataka upige moja fasta anakuletea story za tusubiri basi jioni, huoni sasa hivi joto hili wakati wewe migenye yako ishakupanda huko.

Ataanza kukuletea story za yeye is not in mood sijui nini, anategemeaje yaani kwa mfano?? Hapo wanaomuhangaisha ni watoto wake. Wakati kamchepuko kila saa upo job kanakuita na ukienda kanatamani kakusujudie.....

Eeee bhana being a man, a complete man ni ngumu sana ila hatuelewekagi, wanatuona hatuna mapenzi ya dhati.

Play your role, be a wife and not otherwise. Tena be a wife kwa mujibu wa bible au Qur an, achana na u-western utapata tabu bureeee
 
Mkiwabana sana waume zenu wata suffocate nyumbani, mwisho mtu anatoka kazini anaishia bar mpaka muda uende akukute umelala.
Rebeca 83 aliwahi kuleta uzi humu kuhusu wanaume waruhusiwe kuoa mke zaidi ya mmoja. Walimnanga kinoma, in short ule uzi kitafsiri nyengine ulikuwa ukiyasema haya haya ya namna ya kuishi na mume wako.
 
Mkuu naomba nikutukane tuu ili roho yangu iridhike

PUMBAVU


Unayoyaongea yamenikumbusha mbaaaaaaaaaaaaali sana

Nilihukumiwa jera nikiacha watoto sita na mke mmoja,
Nilikuja kutoka baada ya miaka kadhaa, nilimaliza kifungu chango

Nakuta watoto wanne walishaenda kwa baba zao, waliobaki wawili niliwakuta kwa dada yangu

Mke wangu yuko kwa mmoja wa baba wenzangu.


Nimeandika havieleweki, kwani nimekumbuka mbaaaaaaali sana.

Ngoja nikanywe kwanza, nadhani leo ushaniharibia siku
aisee kwa hali hii acheni tu wanawake waendelee kuwabambikia watoto tatizo wanaume wanajionaga wajanja sana ila hawajui kwamba hayo mambo wanayoyafanya wao kwa kuyaweka wazi ili kutukomoa wenzao tuna uwezo wa kuyafanya kwa siri

Ndo maana nawaambiaga kamwe wasishidane na walipotoka kuna wanaume miaka thelathini wanalea watoto siyo damu yao sasa si bora sisi ambao unajua kabisa kuwa mume wangu ana mtoto nje kuliko wao wanaobambikiwa

Wanacheza na mwanamke nini Mungu siyo mjinga alipowaambia waishi na sisi kwa akili hiyo ni maana yake sisi tumewazidi akili kwahiyo wanatakiwa wapandishe akili zao zifikie level yetu ndo wataweza kuishi

Na sisi na wanaume wanaotumia ubabe kutawala wake zao hao ndo hawana akili ila wanatumia ubabe kama kujihami tu kuna wanaume wanatumia uhuru kutawala wake zao na wanafaidi ndoa vizuri tu hawajui kuwa mwanamke atakuwa kutokana na vile mwanaume wake anavyomtreat
 
Back
Top Bottom