Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Ndio hapo sasa rafiki
Yaani ndo hivyo sasa msitulaumu tunapotongozwa katika kuchagua sisi kama binadamu unakuta unamchagua mtoto wa Farao unamuacha Musa na Musa anabaki ana mawazo masikini anawaza atakupata lini wakati huku hili litoto la Farao linakuona kama takataka tu

Daah haya mambo ndo maana tunaambiwa tumuombe sana Mungu maana wakati wa kutongoza watoto wa Farao na Musa wote wanakujaga kwa upole na hapo ndo ninaamini ule msemo unaosema "hata shetani naye anaweza kukujia kama malaika" japo kweli aliwahi kuwa malaika ila sasa ni malaika mstaafu
 
Yaani ndo hivyo sasa msitulaumu tunapotongozwa katika kuchagua sisi kama binadamu unakuta unamchagua mtoto wa Farao unamuacha Musa na Musa anabaki ana mawazo masikini anawaza atakupata lini wakati huku hili litoto la Farao linakuona kama takataka tu

Daah haya mambo ndo maana tunaambiwa tumuombe sana Mungu maana wakati wa kutongoza watoto wa Farao na Musa wote wanakujaga kwa upole na hapo ndo ninaamini ule msemo unaosema "hata shetani naye anaweza kukujia kama malaika" japo kweli aliwahi kuwa malaika ila sasa ni malaika mstaafu
Hahahahaahhahaahah.

IPO namna unaweza mjua yupi Musa yupi mtoto wa pharao
 
Duuh kwahiyo ukiwa mume ndo yakupasa kufanya makosa kwa makusudi ukitegemra mkeo akusamehe na akuvumilie kila kitu na siku? Kwa hali hii wanawake mbona tuna kazi kwenye ndoa

Kwa kweli mimi ndoa zinisubiri tu hizi za kutaka mwanamke peke yake ndo ajicommit? Labda zikija za aina nyingine ndo nitaolewa hata kesho ila kama ni hizi basi Mungu anichukue nikiwa single tu maana hata yeye hakuumba ndoa za aina hii
Unaonekana una kaubishi flani hivi kakutaka mashindano nimesoma comment zako kwa tabia hii labda umpate mwanaume goigoi lakini kichwa cha familia hutamweza wewe.pole sana kila la heri.
 
Unaonekana una kaubishi flani hivi kakutaka mashindano nimesoma comment zako kwa tabia hii labda umpate mwanaume goigoi lakini kichwa cha familia hutamweza wewe.pole sana kila la heri.
Sikia hii kichaa nyingine hapa mashindano unayajua wewe? Na wewe kwa mtazamo wako huo labda upate wale wanawake ambao wana shida sana na ndoa na wamekosa kabisa wanaume wa kuwaoa kwahiyo wanaamua kumkubalia mwanaume yeyote yule ili mradi awe ana jinsia ya kiume tu
 
So akikujibu maswali vizuri ndo nini sasa, anaweza akakujibu na bado akakucheat,kucheza na akili ya mwanamke ni kitu rahisi sana
Nope hayo maswali hata hayahusiani na kucheat halafu mimi naamini mwanaume nikishamjulia vizuri hanisumbui hata kidogo been there done that
 
Luckily nilijifunza a lot kwa baba yangu; nikaona na kuamini kuwa kumbe wanaume wema bado wapo. Ndo maana sielewagi alpha males wanaojisifia upuuzi
Kila siku wanawake wanafundishwa namna ya kumridhisha na kumfurahisha/ kuishi na mwanaume,hata wewe mama ako lazima aliwahi kukupa somo kidogo,hujagundua kitu Hapo?
 
Mbona kama umepaniki?
Sikia hii kichaa nyingine hapa mashindano unayajua wewe? Na wewe kwa mtazamo wako huo labda upate wale wanawake ambao wana shida sana na ndoa na wamekosa kabisa wanaume wa kuwaoa kwahiyo wanaamua kumkubalia mwanaume yeyote yule ili mradi awe ana jinsia ya kiume tu
 
Kuna watu wanafikiri kuwa wanavyoabudiwa na wake zao; ndo kila mwanaume yupo hivyo hivyo. Kumbe kuna wanaume wenye akili wanaoishi na wake zao kwa misingi ya heshima upendo na amani.
Sikia hii kichaa nyingine hapa mashindano unayajua wewe? Na wewe kwa mtazamo wako huo labda upate wale wanawake ambao wana shida sana na ndoa na wamekosa kabisa wanaume wa kuwaoa kwahiyo wanaamua kumkubalia mwanaume yeyote yule ili mradi awe ana jinsia ya kiume tu
 
Mafeminist wameuvamia uzi ngoja ngoja niwaache waendelee na debate.
 
Mbona kama umepaniki?
Kuna watu wanafikiri kuwa wanavyoabudiwa na wake zao; ndo kila mwanaume yupo hivyo hivyo. Kumbe kuna wanaume wenye akili wanaoishi na wake zao kwa misingi ya heshima upendo na amani.
Hebu soma hapo uelewe maana huko juu nimeshaandika essay za kutosha kuwaelewesha ndugu zangu wengine hao wewe uliyekuja saa hizi anzia juu huko ushuke nazo taratibu utaona jinsi tulivyokuwa tunaeleweshana utajifunza kitu halafu nipanc kisa nini mkuu? Nipanic wakati hiyo aina ya mwanaume uliyemsemea kwenye post yako ndo niliye naye sasa? Nigga be humble.
 
Hebu soma hapo uelewe maana huko juu nimeshaandika essay za kutosha kuwaelewesha ndugu zangu wengine hao wewe uliyekuja saa hizi anzia juu huko ushuke nazo taratibu utaona jinsi tulivyokuwa tunaeleweshana utajifunza kitu halafu nipanc kisa nini mkuu? Nipanic wakati hiyo aina ya mwanaume uliyemsemea kwenye post yako ndo niliye naye sasa? Nigga be humble.
Nice.be loyal with men's characters it's natural my dear Edelyn
 
Back
Top Bottom