Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Hayo ni maneno yako tu sijatamka kitu. Ila kuna ambao walijinadi hawapendi sex humu ila uzi flani ulipopandishwa 80% ya wachangiaji wale wale walijiongeza.
Ndiyo mimi sipendi pombe wala ngono
 
Maishaaa, kwahio basi tatizo ni kuoa kumbe. Wacha wajuba tuendelee kula bila kuoa basi ili mambo iwe mzuka
Tatizo usipooa ndo unaendelea kufanya dhambi sasa na ukipata watoto bila ndoa ndo kabisa yaani nyie ndo mnazidi kuongeza vizazi vya wanaharamu mjue
 
Wanaume kitu ambacho hamuelewagi ni kitu kimoja nadhani mnashindwa kuelewa tofauti ya mke na mchepuko mke lazima achoke sababu ana majukumu mengi kuliko huyo mchepuko na mchepuko siku zote lazima akunyenyekee sababu kashaona hakuna mwanaume wa kumuoa

Kwahiyo bora abaki na mume wa mtu ashikilie hapo hapo na mnatakiwa muelewe kuwa huyo mchepuko anafanya hivyo kwa sababu ya nafasi yake na siyo kwa sababu ya tabia yake hata yeye akija kuolewa atafanya hayo hayo unayolalamika kuwa mkeo anafanya kwa mumewe

Na hata mkeo angekuwa ndo mchepuko angefanya hayo hayo ambayo unayasifia mchepuko wako anafanya ila nyie kwa sababu ya tamaa zenu hamuoni hilo halafu kuhusu kufuata maandiko hivi wanaume mmeambiwa msifuate maandiko?

Mbona nyie hamyafuati kutwa kulazimisha wanawake ndo wayafuate? Hebu fuateni maandiko bwana acheni kusema kuwa tunashindana na nyie wote mume na mke wakifuata maandiko mbona hakuna atakayepigizana kelele na mtu ila tatizo wanaume kufuata maandiko hamtaki
Umesema kweli Edelyn ila kuna wanawake wana mtazamo huu pia i.e wanawalinganisha waume/wapenzi wao na michepuko.

Sio sahihi kumlinganisha mpenzi na mchepuko.
 
Ndiyo pesa kwa sababu kwa sasa "hakuna mwanaume mwaminifu duniani" ukinipotezea muda wangu mimi nakupotezea pesa zako
Wapo wanaume waaminifu.

Wewe ni mwaminifu mkuu?
 
Mnaona ni sawa kuwa polygamous kwa sababu you are too demanding yaani mahitaji yenu mliyojitengenezea yamezidi hata yale ambayo Mungu aliwaumba nayo
Mungu ametuumba na yapi na sisi tukajiongezea yapi??
 
Mungu ametuumba na yapi na sisi tukajiongezea yapi??
Mungu amewaumba na uwezo wa kuvumilia kutofanya tendo la ndoa hata mwaka mzima hata kama mmeoa ila nyie mnataka mfanye kila siku bila kujali hali ya mke kwa vile mmeoa
 
Mimi ni muaminifu sana tu na siwezi kuwa na wanaume zaidi ya mmoja kwa sababu siendekezi ngono
Vivyo hivyo kuna wanaume waaminifu.

Na ninadhani umeshawahi kusikia wanaume wanaosema kuwa hamna wanawake waaminifu licha ya kuwa unajiamini ni muanifu...So usigeneralize...
 
Kwani duniani kuna mabara mangapi?
Mabara ni sita,
Na kuna wanaume wa kilatino
Wanaume wa amerika ya kusini na kaskazini,kuna wanaume wa kichina,wapo vilele waarabutu n.k....
Wanaumeambao wanaume ambao hawana mtereko kwenye mahusiano ni WAAFRIKA kwasababu wanawake wetu hawana mtereko kwny mahusiano,kwanza ana limite ya kutembea,kukupgia simu,kuja nyumban kwako,kununualia zawadi,,,,na anapokununulia mfano zawadi au kuja kwako au kutembea na wewe yeye uwa anahesabau,kwaiyo hali hyo inatufanya tusewe na mteremko kwenye mahusiano licha tunataman,kwaiyo sisi tunaishia kutamani tu..

Ila wanaume ambao wanapnda mteremko na wana mambo ya mteremko ni kama vile mfano:rangi nyeupe,ukimtongoza leo kesho nyumbana hana limite ya kuja nyumbani,kukupigia simu,kukununulia zawadi,ukiwa nae uwez taman kuoa maana kila itaj utapata.na ni hasili yako,,kwaiyo mwanaume wa ngoz nyeupe akikutana na mwanamke wa ngoz nyeus ataona ni usumbufu maana amezoea akikutongoza leo na siku hyo utembee nae au kila muda huwe nae,ana mapenz yao ya kijnga sana mwanamke ambae ana ule hutamadumu wa africa awez kuwa nae na awez kufanya mapnz na ngoz nyeusi coz wana sex ya ajabu sana

Kwaiyo hapo waafrica naonaga ndo bora kwasababu hatuna sex za kijnga na hatuna harakat lcha saiv tunataman,
 
Mungu amewaumba na uwezo wa kuvumilia kutofanya tendo la ndoa hata mwaka mzima hata kama mmeoa ila nyie mnataka mfanye kila siku bila kujali hali ya mke kwa vile mmeoa
Hali gani hizo?
Simba ikicheza tunavumilia, wakijifungua tunavumilia.Sijui unamaanisha hali gani.Mungu alitupa uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwasababu alijua tutalihitaji sawasawa na uwezo alioutupa.

Ni kweli kuna mambo ya kuzingatia kama mwenzako ni mgonjwa au siku yake ilikua na mambo mengi akachoka n.k

Ubaya ni kwamba wengi wenu mmejiwekea kichwani kwamba hamtakua mkifanya kila siku hivyo kama mlifanya jana kutoa leo mnaona mnateswa.Sio sahihi.
 
Vivyo hivyo kuna wanaume waaminifu.

Na ninadhani umeshawahi kusikia wanaume wanaosema kuwa hamna wanawake waaminifu licha ya kuwa unajiamini ni muanifu...So usigeneralize...
Wanaume wote wanajua kuwa wanawake waaminifu wapo ila wanasemaga tu hivyo ili kujihami ila wanawake tunajua kuwa hakuna mwanaume muaminifu wote malaya tu
 
Wanaume wote wanajua kuwa wanawake waaminifu wapo ila wanasemaga tu hivyo ili kujihami ila wanawake tunajua kuwa hakuna mwanaume muaminifu wote malaya tu
Haya dada, kama umeamua kuamini hivyo.
 
Mabara ni sita,
Na kuna wanaume wa kilatino
Wanaume wa amerika ya kusini na kaskazini,kuna wanaume wa kichina,wapo vilele waarabutu n.k....
Wanaumeambao wanaume ambao hawana mtereko kwenye mahusiano ni WAAFRIKA kwasababu wanawake wetu hawana mtereko kwny mahusiano,kwanza ana limite ya kutembea,kukupgia simu,kuja nyumban kwako,kununualia zawadi,,,,na anapokununulia mfano zawadi au kuja kwako au kutembea na wewe yeye uwa anahesabau,kwaiyo hali hyo inatufanya tusewe na mteremko kwenye mahusiano licha tunataman,kwaiyo sisi tunaishia kutamani tu..

Ila wanaume ambao wanapnda mteremko na wana mambo ya mteremko ni kama vile mfano:rangi nyeupe,ukimtongoza leo kesho nyumbana hana limite ya kuja nyumbani,kukupigia simu,kukununulia zawadi,ukiwa nae uwez taman kuoa maana kila itaj utapata.na ni hasili yako,,kwaiyo mwanaume wa ngoz nyeupe akikutana na mwanamke wa ngoz nyeus ataona ni usumbufu maana amezoea akikutongoza leo na siku hyo utembee nae au kila muda huwe nae,ana mapenz yao ya kijnga sana mwanamke ambae ana ule hutamadumu wa africa awez kuwa nae na awez kufanya mapnz na ngoz nyeusi coz wana sex ya ajabu sana

Kwaiyo hapo waafrica naonaga ndo bora kwasababu hatuna sex za kijnga na hatuna harakat lcha saiv tunataman,
Mmhh mimi nadhani haujanielewa niliposema wanaume wa kiafrica mnapenda mteremko kwenye mapenzi nimemaanisha hamtaki kuukubali ukweli kuwa mapenzi ni pande mbili yaani kutoa na kupokea ila sasa ninyi mnataka wanawake tu ndo tutoe halafu wanaume ndo mpokee mfano mnataka kila siku wanawake ndo tuwapende tuwaheshimu tuwasamehe tuwavumilie tuwafurahishe na tusiwasiliti

Ila ninyi hamtaki kutupenda kutuheshimu kutusamehe kutuvumilia kutufurahisha na kutokutusaliti tofauti na watu wa mabara mengine ambao wanaamini kuwa mapenzi ni kupendana kuheshimiana kusameheana kuvumiliana kufurahishana na kutokusalitiana na siyo eti mwanamke tu ndo amfanyie hayo mwanaume
 
Mmhh mimi nadhani haujanielewa niliposema wanaume wa kiafrica mnapenda mteremko kwenye mapenzi nimemaanisha hamtaki kuukubali ukweli kuwa mapenzi ni pande mbili yaani kutoa na kupokea ila sasa ninyi mnataka wanawake tu ndo tutoe halafu wanaume ndo mpokee mfano mnataka kila siku wanawake ndo tuwapende tuwaheshimu tuwasamehe tuwavumilie tuwafurahishe na tusiwasiliti

Ila ninyi hamtaki kutupenda kutuheshimu kutusamehe kutuvumilia kutufurahisha na kutokutusaliti tofauti na watu wa mabara mengine ambao wanaamini kuwa mapenzi ni kupendana kuheshimiana kusameheana kuvumiliana kufurahishana na kutokusalitiana na siyo eti mwanamke tu ndo amfanyie hayo mwanaume
Nani kakwambia mataifa/mabara mengine wapo hivyo?

Kamwe mwanaume hatakuja kulingana na mwanamke, hivyo ndivyo tulivyoumbwa na bahati mbaya/nzuri hatuwezi kujibadilisha.Hauna budi kukubali hilo.

Mke amtii mumewe na mme ampende mkewe.
 
Mmhh mimi nadhani haujanielewa niliposema wanaume wa kiafrica mnapenda mteremko kwenye mapenzi nimemaanisha hamtaki kuukubali ukweli kuwa mapenzi ni pande mbili yaani kutoa na kupokea ila sasa ninyi mnataka wanawake tu ndo tutoe halafu wanaume ndo mpokee mfano mnataka kila siku wanawake ndo tuwapende tuwaheshimu tuwasamehe tuwavumilie tuwafurahishe na tusiwasiliti

Ila ninyi hamtaki kutupenda kutuheshimu kutusamehe kutuvumilia kutufurahisha na kutokutusaliti tofauti na watu wa mabara mengine ambao wanaamini kuwa mapenzi ni kupendana kuheshimiana kusameheana kuvumiliana kufurahishana na kutokusalitiana na siyo eti mwanamke tu ndo amfanyie hayo mwanaume
Ila hata maandiko ya biblia imeandikwa mwanamke ni msaidz kwa mwanume,..alafu utamaduni wetu unafanya nyinyi hali iwe hvyo,kumbuka hata hayo mabara mengn yako hvyo,lakn ni sheria tu ndo inatumika na ndo iliweka usawa huo,ila sio kwamba na wao wanataka hapana

Wanawake wetu pia uwa wanajshusha thamani wenyew kitu ambacho kinamfanya mwanaume aendelee kujioana mbabe,hivi nithakueshimu vipi na kila ktu unanitegemea nikupe mimi mpaka hela ya vocha....ila wewe huwez kuninunulia vocha hapana.

Ukitaka tueshimiana tuwaige wenzetu amabo hata hela ya nyanya wanachanjia hela kununua.ila hali ni tofaut kabisa na sheria zetu.ila wenzetu ziko hvyo na ndomana wanaeshimiana kwamaana kwamba kila mtu anamchngo kwny familia na matumiz hayaegamii upand mmoja kama tulivyo waafrica.

Naamn ukiwa mwanamke ambae hufkrii psaa ya mwanaume au vocha toka kwa mwanaume,naamn kila mwanaume atakueshimu....
 
Hali gani hizo?
Simba ikicheza tunavumilia, wakijifungua tunavumilia.Sijui unamaanisha hali gani.Mungu alitupa uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwasababu alijua tutalihitaji sawasawa na uwezo alioutupa.

Ni kweli kuna mambo ya kuzingatia kama mwenzako ni mgonjwa au siku yake ilikua na mambo mengi akachoka n.k

Ubaya ni kwamba wengi wenu mmejiwekea kichwani kwamba hamtakua mkifanya kila siku hivyo kama mlifanya jana kutoa leo mnaona mnateswa.Sio sahihi.
Hapana sidhani kama kuna mwanamke anayemnyima mumewe tendo la ndoa kwa makusudi bila sababu ukiona mwanamke anamnyima mumewe tendo la ndoa na hayupo kwenye siku zake au haumwi basi ujue kuna sababu nyingine tofauti na hizo hivyo kaa chini uongee naye shida ni nini lakini mimi kwa mifano niliyokuwa nayo mara nyingi sababu inakuwaga ni majukumu tangu huu mfumo wa haki sawa ushike kasi kuna wanaume wameanza kukimbia majukumu yao kwa kiasi fulani

Siku zote jukumu la mwanaume ni kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto na jukumu la mwanamke ni kufanya kazi za nyumbani na kulea mume na watoto sasa siku hizi kuna wanaume wanataka wake zao wawasaidie kutafuta pesa na kuhudumia familia nusu kwa nusu yaani hadi hilo jukumu limeshaanza kuonekana ni jukumu la wanawake pia ila wao hawataki kusaidia wake zao kazi za nyumbani na kulea familia na hilo bado linaonekana ni jukumu la mwanamke peke yake

Sasa piga mahesabu mwanaume atafute hela ahudumie familia lakini mwanamke atafute hela ahudumie familia na bado afanye kazi za ndani na kulea watoto hebu nijibu hapo nani atakuwa anafanya majukumu mengi kuliko mwenzie na nani atakuwa anachoka kuliko mwenzie? Wakati wanawake tuliumbwa kuwa wasaidizi na wategemezi kwa wanaume? Sasa unakuta mke kafanya vyote hivyo kachoka bado tena mume anataka wakiwa chumbani mke ampe kila siku tena kwa ushirikiano wa hali ya juu

Hebu muwe na huruma jamani na hiyo mizigo mnayotubebesha halafu tukiwaambia mnasema sisi ni wajeuri na wavivu hatufai kuolewa lakini ukweli mnaujua na hamtaki kuukubali hilo ndo tatizo na pia hiyo sababu niliyokupa siyo kwa wanawake wote kwahiyo kama nilivyokwambia hapo juu kuwa ukiona mkeo anakunyima na haumwi wala hayupo kwenye siku zake kaa chini uongee naye akwambie nini sababu msuluhishe na siyo ukimbilie kumsaliti au kumuacha au kumuolea mke mwingine
 
Nani kakwambia mataifa/mabara mengine wapo hivyo?

Kamwe mwanaume hatakuja kulingana na mwanamke, hivyo ndivyo tulivyoumbwa na bahati mbaya/nzuri hatuwezi kujibadilisha.Hauna budi kukubali hilo.

Mke amtii mumewe na mme ampende mkewe.
Kumbe wanaume wengi mnashindwa kuelewa hapa hivi nyie mnaelewa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke iko wapi? Tofauti ipo kwenye jinsia, maumbile, tabia na majukumu ila siyo mapenzi kwenye mapenzi ni lazima kila mmoja ahakikishe anamfanya mwenzie awe na furaha

Sasa mnadhani msipotupenda, msipotuheshimu, msipotusamehe, na msipotuvumilia, ndo mtatufanya tuwe na furaha? Halafu nakazia hapo uliposema kuwa mwanamke ampende mkewe na mwanamke amtii mumewe kwahiyo unataka kusema kwamba kama nyie hamtakiwi kututii basi na sisi hatutakiwi kuwapenda si ndiyo?
 
Hapana sidhani kama kuna mwanamke anayemnyima mumewe tendo la ndoa kwa makusudi bila sababu ukiona mwanamke anamnyima mumewe tendo la ndoa na hayupo kwenye siku zake au haumwi basi ujue kuna sababu nyingine tofauti na hizo hivyo kaa chini uongee naye shida ni nini lakini mimi kwa mifano niliyokuwa nayo mara nyingi sababu inakuwaga ni majukumu tangu huu mfumo wa haki sawa ushike kasi kuna wanaume wameanza kukimbia majukumu yao kwa kiasi fulani

Siku zote jukumu la mwanaume ni kutafuta pesa na kuhudumia mke na watoto na jukumu la mwanamke ni kufanya kazi za nyumbani na kulea mume na watoto sasa siku hizi kuna wanaume wanataka wake zao wawasaidie kutafuta pesa na kuhudumia familia nusu kwa nusu yaani hadi hilo jukumu limeshaanza kuonekana ni jukumu la wanawake pia ila wao hawataki kusaidia wake zao kazi za nyumbani na kulea familia na hilo bado linaonekana ni jukumu la mwanamke peke yake

Sasa piga mahesabu mwanaume atafute hela ahudumie familia lakini mwanamke atafute hela ahudumie familia na bado afanye kazi za ndani na kulea watoto hebu nijibu hapo nani atakuwa anafanya majukumu mengi kuliko mwenzie na nani atakuwa anachoka kuliko mwenzie? Wakati wanawake tuliumbwa kuwa wasaidizi na wategemezi kwa wanaume? Sasa unakuta mke kafanya vyote hivyo kachoka bado tena mume anataka wakiwa chumbani mke ampe kila siku tena kwa ushirikiano wa hali ya juu

Hebu muwe na huruma jamani na hiyo mizigo mnayotubebesha halafu tukiwaambia mnasema sisi ni wajeuri na wavivu hatufai kuolewa lakini ukweli mnaujua na hamtaki kuukubali hilo ndo tatizo na pia hiyo sababu niliyokupa siyo kwa wanawake wote kwahiyo kama nilivyokwambia hapo juu kuwa ukiona mkeo anakunyima na haumwi wala hayupo kwenye siku zake kaa chini uongee naye akwambie nini sababu msuluhishe na siyo ukimbilie kumsaliti au kumuacha au kumuolea mke mwingine
Nakuelewa Edelyn .

Bahati mbaya tunabadilishana mawazo kwa kutumia mifano/sampuli zisizofanana.Kwa namna uliyodadafua nakuunga mkono.Hapo unaposema mke akikataa bila ya kuwa na sababu ya msingi inabidi kukaa chini kuongea, ifanyike kwa mda gani?Mimi nimewahi kuwa mshauri kwenye case kama hii ambapo mke hata hana kazi sana ila anasema hajisikii.Mumewe hakuwa akichepuka(namuamini) ila hii issue iliwafanya wawe watu wa kugombana mara nyingi.

Kuna watu hawana kazi ngumu na bado ni wazito kutoa ushirikiano wa tendo.Yaani mtu anapractice sexless mariage kwenye ndoa ya kawaida.
 
Back
Top Bottom