Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani mimi jamani jf inanifanya nikeshe nikiwahi sana kulala ni saa nane usiku haki hadi kuna muda najuta kuwa member wa humu ila kuifuta ndo roho inasita daah[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Pole dear, wakati mwingine unapoteza anazima simu na kulala
 
Haha kuna watu kukuoa anaona kama amekufanyia favour daah
Hahaha uzuri sisi tunahitajiana, hakuna aliyemfanyia mwenzie favor kuwa naye; so kila mtu yupo responsible. Sio haya mambo kila siku wewe tu ndo uwaze kumfurahisha mwenzio; afu yeye anavimba tu maana anaona kukuoa kama ndo kashakuwa Yesu wako sasa.
 
Back
Top Bottom