Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

yaani mimi jamani jf inanifanya nikeshe nikiwahi sana kulala ni saa nane usiku haki hadi kuna muda najuta kuwa member wa humu ila kuifuta ndo roho inasita daah
Pole dear, wakati mwingine unapoteza anazima simu na kulala
 
Haha kuna watu kukuoa anaona kama amekufanyia favour daah
Hahaha uzuri sisi tunahitajiana, hakuna aliyemfanyia mwenzie favor kuwa naye; so kila mtu yupo responsible. Sio haya mambo kila siku wewe tu ndo uwaze kumfurahisha mwenzio; afu yeye anavimba tu maana anaona kukuoa kama ndo kashakuwa Yesu wako sasa.
 
Back
Top Bottom