Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Uzoefu unaonesha wanawake wengine kama mleta mada unakuta wana michepuko ya kudumu

Kwa hiyo penzi kwa mume wa ndoa linakuwa limeshakata kabisa!

Yani kuna wanawake wengine anakuwa na mchepuko ambae anamthamini kuliko mume alieko ndani!

Mwanamke mfano anaendesha gari ikigongwa wa kwanza kumwambia ni mchepuko

Yani nimewaona watu wa hivyo ofisini.

Na hata kwenye mazungumzo wanakuwa na mtazamo kama wa mleta mada !
Mchepuko ni Yesu kwa sasa
 
Yaani katika vitu sitakaa nijipe stress navyo ni hiyo kubambikiwa. Mimi my parents wamefanikiwa kuimplant belief ndani yangu kwamba may be I will live up to 60 years of age halafu ntakufilia mbali.

Sasa hiyo belief imenifanya inside nisiwe na worry, mtoto atakaezaliwa ntalea kwa mapenzi yote na naamini fully 100 ni wangu. Sitatia chembe ya shaka na kamwe sitosumbuka. Anyway, my Abouy ametoa copy paste na mimi, mpaka mwanya karithi
hilo Abouy ndo jina halisi la wifi au ni yale majina yetu ya kimahaba?
 
Sasa huyo wa mwenzio umeshasikia akirudi anaanza kujisemesha anaomba msamaha je na wewe ukirudi unafanya hivyo au ndo unajifanya kauzu?
Nkirudi wapi?? Mimi kuchepuka sichepuki. Kwa nini nichepuke kwa mfano???
 
Sio wa bei kali, hicho chakula unachotaka kunipa ndio nakula kila siku kwangu, raha ya kudowea upate vitu adimu ambavyo kwako inapita hata miaka miwili hujatia tumboni
Sawa ngoja nijipange siku nikupikie vitu vya ukweli halafu nikwalike.
Ila siyo unichomeshe mahindi maana nitajaweka kwenye vikontena nikuletee huko uzunguni kwenu
 
Mimi nimewaletea ushuhuda tu unaotoka kwa hajat Mtende
Mwanamke wa nguvu
Kuna wanawake wa nguvu na wanawake wa akili wanawake wa nguvu ndo kama hao wanaoweza kuishi na wanaume wanaotumia nguvu yaani ubabe kuwatawala wake zao ila wanawake wa akili ndo kama sisi tunaoweza kuishi na wanaume wanaotumia akili yaani uhuru kuwatawala wake zao
 
Skype mkuu email utadakwa
Hahahahahaahah, uko vizuri bibie.

Anyway, that's not my department! For the past 15 years or more I have been using a single sim card of tigo and I do everything comfortably and with confidence through my phone
 
Kuna wanawake wa nguvu na wanawake wa akili wanawake wa nguvu ndo kama hao wanaoweza kuishi na wanaume wanaotumia nguvu yaani ubabe kuwatawala wake zao ila wanawake wa akili ndo kama sisi tunaoweza kuishi na wanaume wanaotumia akili yaani uhuru kuwatawala wake zao
Ok
 
Imeandikwa “
Mwanamke atamlinda mume wake”

Je mnazani mwanamke anawezaje kumlinda mumewe ikiwa hata akirudi asubuhi yote ionekane sawa?
Kurudi asubuhi hapana, kila nyumba ina miiko yake, mfano kama umezoea mumeo saa moja na nusu yupo nyumbani, siku akicelewa saba basi saa mbiki na nusu zaidi ya hapi lazima uhoji ka.a kuna tatizo au anything sema kama range yake ni within saa moja na nusu hadi saa mbili na nusu mimi huwa sina wasiwasi wala siulizi...and the good thing range haijawahi kuzidi hapo labda siku kuna special emergency
 
Kurudi asubuhi hapana, kila nyumba ina miiko yake, mfano kama umezoea mumeo saa moja na nusu yupo nyumbani, siku akicelewa saba basi saa mbiki na nusu zaidi ya hapi lazima uhoji ka.a kuna tatizo au anything sema kama range yake ni within saa moja na nusu hadi saa mbili na nusu mimi huwa sina wasiwasi wala siulizi...and the good thing range haijawahi kuzidi hapo labda siku kuna special emergency
Joke aside, you are so special, you must be a good wife to mshkaji and a good mama to those little kids
 
Kuna mahusiano mengine yamkini mke angeweza kuyastukia mapema pengine hata isingeweza kufika pa mtoto kuzaliwa nje ya ndoa,

Lakini kwa vile baadhi ya wanawake kule kutojali au kule kutosimama kwenye zamu zao ktk ndoa imepelekea mke kujisahau na hivyo kufanya yake mahusiano ya nje kuweka mizizi kiasi cha hata m(wa)toto kuzaliwa bila mke kujua hadi baadae sana!
Inategemea unamtreat vipi mume, wanawake wengine jamani wamefanya wanaume wanapaona nyumbani pachungu...badala ya kumlinda na kuchunga sim zake pafanye nyumbani pawe mahali pa furaha kiasi kwamba hata yeye mwenyewe akiwa nje ya nyumbani anapamis anarudi mapemaaaa....sio kuanza kumcintrol na kuchunga simu yake wakati nyumba ni penyewe panawaka motoo...lugha nzuri, upendo wa dhati, furaha wakati wote sio mume amerudi we umenuna tu halafu jnataka awahi kurudii

Wanawake tumieni mbinu kuwafanya waume zenu wapende kuwahi kurudi nyumbani am telling you hatakaa achelewe
 
Unajua kingine nimeng'amua kwa mentality yako bado mapenzi uko level 1. Ukicheza nayo walau ukafika level 3 utabadilika automaticaly. Kuna mambo unabido ujifunze.

I tell you one thing, mapenzi ni complicated sana. The first time napenda nilikuwa very controlling. I lost my first love nikiwa nafikiria ndio najenga kumbe naharibu! You cant get past that kama hutachukulia mahusiano ni kitu cha kawaida. Remember jamaa yako alikuwa na maisha yake kabla ya kuwa na wewe.

One of the worst investment nilizowahi kufanya pia ilikuwa ni kumpenda mwanamke katika mtindo unaousema wewe. Malipo yake aliniingizia bwana katika nyumba na kitanda nilichonunua kwa pesa yangu. Labda utapata picha una deal na mtu wa aina gani
Sasa tatizo linakuja hapo pa kuhukumu wanawake wote kwa sababu ya makosa ya baadhi ya wanawake hivi na sisi tungesema tuwahukumu wanaume wote kwa sababu ya makosa ya baadhi ya wanaume kungekuwa na mapenzi kweli dunia hii?

Kila mtu si angepambana na hali yake tu sema sisi tunawahukumu wote kuwa mnapenda kuchepuka sababu nyie ndo mliotuaminisha kuwa hakuna mwanaume asiyechepuka duniani wote mnachepuka

Ila nyie mnajua kabisa kuwa wanawake wasiochepuka wapo wengi sana sasa unatendwa huko na mwanamke mmoja muhuni halafu unakuja kumalizia hasira kwa mwanamke mwingine asiye na hatia na mwenye mapenzi ya kweli kwako

No things don't go like that mimi siyachukulii mapenzi kirahisi tena katika watu wanaochukulia mapenzi kuwa ni kitu complicated basi mimi nahisi ndo naongoza yaani I always see negativity in almost everything found in love yaani mimi mwanaume akinitongoza hadi nimkubalie nitamuuliza maswali hayo utasema namfanyia vetting na kutokana na majibu yake ndo nitaamua nikubali au nikatae sasa hapa usianze tena kusema sijui mwanamke hatakiwi kuchagua mwanaume ofcourse I also have a choice of selection even though I am a woman hata maombi ya kazi yanapopelekwa kampuni lazima ichague the best candidates
 
To be fair, honest and Frank, mimi nlitaka na nlishawahi kumuuliza Edelyn Age yake kwenye uzi flani hivi. Na kama anakumbuka atathibitisha hilo. Nakubaliana na wewe kabisa kwa anayoyaandika anaonekana ni beginner kabisa
Sikumbukihalafu mimi nimekubuhu wewe ohoo you just haven't experienced love life from my side nimeshakutana na watoto wa Farao wengi wewe acha tu

Na huyu niliyenaye sasa sijui kama ndo Musa wangu tayari au la ila naona kila dalili kuwa yeye ndo Musa wangu labda litokee la kutokea tuna kama likitokea basi Inshaallah naamini ipo siku nitampata Musa wangu
 
Sikumbukihalafu mimi nimekubuhu wewe ohoo you just haven't experienced love life from my side nimeshakutana na watoto wa Farao wengi wewe acha tu

Na huyu niliyenaye sasa sijui kama ndo Musa wangu tayari au la ila naona kila dalili kuwa yeye ndo Musa wangu labda litokee la kutokea tuna kama likitokea basi Inshaallah naamini ipo siku nitampata Musa wangu
Haya tutaonaaa😄😄😄😄😄😄
 
Ooooh yes

Methali 31:27 "Huangalia sana njia za watu wa nyumbani kwake"......
Mke mwema hakosi kuzijua njia za watu wa nyumbani mwake !

Maana yake ukishajua tabia za kila mtu wa nyumbani kwako mwanamke unatakiwa kujua mwenye tabia njema aweze ku mentain,
Mwenye tabia mbaya uweze kumsaidia kuziacha!

Sasa kama mwanamke unabweteka tu unawezaje kujua njia za watu wa nyumbani mwako?
Imeandikwa ktk Biblia Takatifu kwe kitabu cha Mithali 31:
Kuna mstari unasema;
“ mke mwema hakusi kuzijua njia za watu wa nyumbani mwake “

Maana yake mke mwema anapswa kujua tabia za kila member of the family,
Ikiwa tabia ni njema awatie moyo na kumentain,
Ikiwa kuna viashiria vya tabia mbaya basi atagundua mapema na kuchukua tahadhari kabla hatari kutoa!
 
Sasa tatizo linakuja hapo pa kuhukumu wanawake wote kwa sababu ya makosa ya baadhi ya wanawake hivi na sisi tungesema tuwahukumu wanaume wote kwa sababu ya makosa ya baadhi ya wanaume kungekuwa na mapenzi kweli dunia hii?

Kila mtu si angepambana na hali yake tu sema sisi tunawahukumu wote kuwa mnapenda kuchepuka sababu nyie ndo mliotuaminisha kuwa hakuna mwanaume asiyechepuka duniani wote mnachepuka

Ila nyie mnajua kabisa kuwa wanawake wasiochepuka wapo wengi sana sasa unatendwa huko na mwanamke mmoja muhuni halafu unakuja kumalizia hasira kwa mwanamke mwingine asiye na hatia na mwenye mapenzi ya kweli kwako

No things don't go like that mimi siyachukulii mapenzi kirahisi tena katika watu wanaochukulia mapenzi kuwa ni kitu complicated basi mimi nahisi ndo naongoza yaani I always see negativity in almost everything found in love yaani mimi mwanaume akinitongoza hadi nimkubalie nitamuuliza maswali hayo utasema namfanyia vetting na kutokana na majibu yake ndo nitaamua nikubali au nikatae sasa hapa usianze tena kusema sijui mwanamke hatakiwi kuchagua mwanaume ofcourse I also have a choice of selection even though I am a woman hata maombi ya kazi yanapopelekwa kampuni lazima ichague the best candidates
hahah kwahio mimi nikiomba vp utanikata?
 
Back
Top Bottom