Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Wanawake stress nyingine tunazitafuta

Kuna mahusiano mengine yamkini mke angeweza kuyastukia mapema pengine hata isingeweza kufika pa mtoto kuzaliwa nje ya ndoa,

Lakini kwa vile baadhi ya wanawake kule kutojali au kule kutosimama kwenye zamu zao ktk ndoa imepelekea mke kujisahau na hivyo kufanya yake mahusiano ya nje kuweka mizizi kiasi cha hata m(wa)toto kuzaliwa bila mke kujua hadi baadae sana!

Wenzako wanaitaga huko kuignore ndo kukomaa katika ndoa eti. Yani kuishi in denial ndo tunaita kukomaa.
 
Hiyo vita hakuna wa kuizima
Hahahahaahhahahahaahahhahahahahahahahahahahahahahahhaahhaha hebu nijitahidi niwe kama hivi uwenda nikadumu kwenye mahusisno lol...


Nilivyo na gubu hivyo simu ipigwe ukaongee chumbani asalaleeeeeeeeee vita ya hapo si ya mchezo
 
Back
Top Bottom