Wanawake, oneeni huruma watoto wenu basi!!!!

Wanawake, oneeni huruma watoto wenu basi!!!!

Kupata sehemu tena kwa mtu baki ety ukae ww na wanao wawili tena kwa miezi mitatu huo ni uongo aisee, tumia akili kwa mara nyingine tena mkuu
Kuna watu wanauwezo mkuu,wa kutulea wanajf wote....siye kinakajamba nani tutulie
 
Tunaendelea kupata fundisho kupitia JF na maisha kwa ujumla

Zaeni mkiwa na uwezo wa kutunza watoto wenu tofauti na hapo sisiemu wataendelea kulaumiwa bure
Nakumbuka kuna mada humu, jamaa anashukuru JPM kufa mana alisababisha mpaka kuachwa na mke wake kisa kufukuzwa kazi kwa cheti feki 😂
 
Back
Top Bottom