- Thread starter
- #21
Madama Kasie. Ukikosa moja hukosi na 2. Wakati mwingine na maoni ya watu huwa mchango mkubwa wa kuchukua maamzi. Binafsi, siamini katika mtu kumbebesha majukumu. Unafight na hili, likigoma unaattack lingine, na mwisho wa siku, kutoboa lazima.Huna dada...!!?
Mama, baba yako?
Shangazi yako au mama mdogo?
Bibi na babu hawa wawe wa mwisho.
Kuliko mtu asiyekufahamu akuhifadhi kwa miezi 3 borq hao ndugu zako wa damu na masimango juu hawatakukula ukakwisha.
Acha watoto kwa hao ndugu mmoja wapo wote kwa pamoja, nenda kasake tonge uwe unakuja kuwaona wanao kila wiki. Miezi mitatu ikifika uwe na kwako kwa kudumu uendelee kulea wanao.
Ni challenge tu za muda, na siko down kivileeee, kiasi kwamba kina mama walee, mimi ambae sikupata nguvu ya kutekekeza nishindwe! Hapana.
Labda nimetumia kauli isiyo sahihi, na lengo langu tu ni kwamba mwezi ukute bado kuna kitu. Kwa hiyo, si kwamba ni zero kabisa. Hapana