Mr C Kauli huru
Member
- Nov 26, 2023
- 88
- 120
Samahanin kama kuna watu nitawakwaza ila ndo ukweli acha niuseme.
Hapa siwalaumu waliolelelewa na Single mother ila nawalaumu masingle mother. Yaaan watoto waliolelewa na single mother wengi hawana maadili. Kwanini?
Ma Single mother wengi hakili za kitoto, wengi hakili zao hazijakomaa,. Ma single mother wengi wanapenda sana watotowao kiasi cha kutowafundisha tabia njema. Wanawake huongozwa na hisia na si hakili hem fikiria mtoto alelewaye kwa hisia za mzazi pekee atakuaje badae. Single mother ndo huenda nawatoto wao bar, hucheza mbele yawatotowao michezo michafu isiyokua yakimaadili.
Watoto wao hatawakifanya fujo mtaani wakirudi nyumbani wanatetewa nawazazi wao.
Kizazi cha single mother ndo mpango wakwanza washetani kuibadilisha dunia. Mzazi aliyekosa maadili, kujilinda na kujitunza anaweza vip kumlea mtoto katika maadili mema ajitunze na ajilinde?
HUU NI UJUMBE KWENU SINGLE MOTHER WOTE. JAPO NAJUA WAKO BAADHI HUWAKUZA WATOTO WAO KATIKA MAADILI MEMA ILA WENGI WENU KIZAZI CHENU NDO SUMU MTAANI.
WANAUME MLOTELEKEZA WAKEZENU NA WAPENZI WENU BAADA YAKUWAZALISHA ZAMBI HII HAITAWAACHA SALAMA. WAZEEE WA KATAA NDOA MTAJIBU MASHTAKA HAYO MBELE ZAHAKI
UHURU WA KUONGEA NDANI YA JUMUIA YA UHURU WA HAKI NA UBINADAMU
KAULI HURU
Hapa siwalaumu waliolelelewa na Single mother ila nawalaumu masingle mother. Yaaan watoto waliolelewa na single mother wengi hawana maadili. Kwanini?
Ma Single mother wengi hakili za kitoto, wengi hakili zao hazijakomaa,. Ma single mother wengi wanapenda sana watotowao kiasi cha kutowafundisha tabia njema. Wanawake huongozwa na hisia na si hakili hem fikiria mtoto alelewaye kwa hisia za mzazi pekee atakuaje badae. Single mother ndo huenda nawatoto wao bar, hucheza mbele yawatotowao michezo michafu isiyokua yakimaadili.
Watoto wao hatawakifanya fujo mtaani wakirudi nyumbani wanatetewa nawazazi wao.
Kizazi cha single mother ndo mpango wakwanza washetani kuibadilisha dunia. Mzazi aliyekosa maadili, kujilinda na kujitunza anaweza vip kumlea mtoto katika maadili mema ajitunze na ajilinde?
HUU NI UJUMBE KWENU SINGLE MOTHER WOTE. JAPO NAJUA WAKO BAADHI HUWAKUZA WATOTO WAO KATIKA MAADILI MEMA ILA WENGI WENU KIZAZI CHENU NDO SUMU MTAANI.
WANAUME MLOTELEKEZA WAKEZENU NA WAPENZI WENU BAADA YAKUWAZALISHA ZAMBI HII HAITAWAACHA SALAMA. WAZEEE WA KATAA NDOA MTAJIBU MASHTAKA HAYO MBELE ZAHAKI
UHURU WA KUONGEA NDANI YA JUMUIA YA UHURU WA HAKI NA UBINADAMU
KAULI HURU