Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

Umri ukienda wanaanza kuishi kwa matumaini..Wakienda kwenye harusi wanagombaniana maua kwa vikumbo teh

Heaven Sent mwaka huu ukiisha haujaleta mtu,nakuozesha kwa yeyote yule
Haaa kuna siku kwenye harusi muda wa kudaka ua, kuna mdada hadi alibebwa juu na uncle wake sijui

Daddy me na wewe tushaongea sana kuhusu hii issue. Nashangaa pressure za majirani zimeanza kukukosesha usingizi. Endelea tu kuchangia harusi za watoto wa wenzio, wa kwako bado yupo. Nimegoma kuondoka home teh
 
Wengi wakishachakaa wanataka harusi kubwaaa dunia nzima ijue....mwanamke kama bamia likikomaa halina thamani
 
Nilikua namkumbusha tu mzee mwenzangu asifurahie kukuona tu kwenye kwaito za wengine
Hahaha umejuaje, maana kwenye harusi za watu utadhani nalipwa, sio kwa kuchagamka kule. Everything happens in God's perfect time, so tulieni tu.
 
Mtoa mada kuna mahali unakosea, kwani mwanamke hana haki ya kuchagua mwanaume anaempenda?
dc41cc0a8119554ff5be082f61821335.jpg
 
takwimu zinaonesha wanawake wazee watamu...wanakupa mambo ya kizee zee hadi rahaaa mpaka unajihisi mjuu kumbe husband...above 45 watamu more than under 32
 
Hahaha umejuaje, maana kwenye harusi za watu utadhani nalipwa, sio kwa kuchagamka kule. Everything happens in God's perfect time, so tulieni tu.
I believe in you ,it surely will happen in the right time , Muda mwingine tunakumbushana tu ,unaweza kuta umejisahau eti and God doesn't work that way often ,you scratch my back then i scratch yours sort of thing ...
 
Msichana ana miaka 22, anafuatwa na mvulana na kuambiwa kwamba anataka kuolewa, mvulana yupo kamili kajiandaa na anamaanisha, msichana anakataa kwa visingizio vya kipumbavu mvulana anaachana nae.

Anachokifanya ni kumfuata mvulana ambaye hana mpango wa kumuoa kisa gari kisa fedha anataka kuitwa mpenzi na mambo kuishia kitandani anavuliwa pichu.Haiishii hapo anapofika miaka 23, 24, 25, 26 hali inakuwa hivyo hivyo kwake anajiona hana haja ya kuolewa anaamua kuwa na mpenzi tu, leo huyu kesho huyu na keshokutwa yule.

Siku hazimsubiri miaka 27, 28, 29 na 30 inaingia hapo ndipo anashtuka kwamba kapoteza muda na anatakiwa kuolewa.Hahaha! Mungu sio chizi aliyajua maisha yako ya mbele ndio akakuletea wanaume mbalimbali wa kutaka kukuoa lakini ukakataa kwasababu zisizo na mantiki.

Mwenyewe unaona muda wa wewe kuolewa umefika lakini hauolewi unaanza kuangaika huku na kule kila mwanaume kwako anaonekana kuwa muhimu. Yaani wakati ambao haukuuhitaji ndoa, ndoa ilikuhitaji na wakati ambao unaihitaji ndoa wanaume wana-HIT & ku-RUN.

Kwa mahesabu kama una miaka 30 inakupasa kuolewa na mwanaume mwenye angalau miaka 33 au 35. Je kuna mwanaume mwenye umri huo ambaye yupo tayari kuoa? Mwanaume hataki kuitwa babu na mtoto wake anataka kuitwa baba. Mwanaume anapofikisha umri wa miaka 30 anaweka jiko ndani lenye miaka chini ya 25.

Sasa kama kipindi alichokuwa na miaka 30 ukamkataa, wewe ukiwa na miaka 30 mwenzako ana 35 kashaoa kitambo na kama MUNGU kamjalia ana watoto wawili.Sikulazimishi uolewe ila unapopata mwanaume aliye tayari kukuoa kubali tu, ndoa ni bahati kuna wanawake wanafikisha miaka 40 na bado hawajaolewa na kila siku wanatamani kuolewa.

Unapoipata bahati fanya mambo.Siku zote mwanaume anapokwambia kwamba anataka kukuoa ukaleta pozi weeeeee, akija kwa mara ya pili huyo si muoaji, atakuja akuchezee na kukuacha kwani anajua pia we haupo tayari kwa kuwa alishakupa nafasi ukailetea pozi.

WANAWAKE WAPO MILIONI 29 TANZANIA NA WANAUME MILIONI 25. HALAFU WEWE UNALETA POZI.HAYA, TUTAONA MWISHO WAKE.
Hahahaha si kwa kuwachamba hivi ila wamekuelewa 😀😀
 
Nimekupenda bure my dada!!!!ndoa za sasa ni fashion!!!!pesa kwnz mpnz baadae hutak pita hiviii!!!!
Kabisa my dear,kwa nyakati za sasa ndoa isiwe priority...ikitokea sawa lakini sio nguvu zako zote uziweke kwenye kutafuta mume,kamilisha mipango yako,kama ndoa ipo ipo tu huko mbeleni
 
Duuh..21 bado mdogo..Btw maamuzi ya kuolewa ni yake..Ninachoweza kufanya ni kumpa ushauri
Kwahio umri gani itafaa aolewe,wewe kama baba,na 21 udogo wake ni nini wakati kashapevuka inavyotakiwa,huoni wenzio wanalilia wanawake wawahi kuolewa 21-22 waolewe,ndio nakuuliza wewe ukiwa baba mwanao at 21 utamruhusu simply sababu wanaume ni wachache?
 
Msichana ana miaka 22, anafuatwa na mvulana na kuambiwa kwamba anataka kuolewa, mvulana yupo kamili kajiandaa na anamaanisha, msichana anakataa kwa visingizio vya kipumbavu mvulana anaachana nae.

Anachokifanya ni kumfuata mvulana ambaye hana mpango wa kumuoa kisa gari kisa fedha anataka kuitwa mpenzi na mambo kuishia kitandani anavuliwa pichu.Haiishii hapo anapofika miaka 23, 24, 25, 26 hali inakuwa hivyo hivyo kwake anajiona hana haja ya kuolewa anaamua kuwa na mpenzi tu, leo huyu kesho huyu na keshokutwa yule.

Siku hazimsubiri miaka 27, 28, 29 na 30 inaingia hapo ndipo anashtuka kwamba kapoteza muda na anatakiwa kuolewa.Hahaha! Mungu sio chizi aliyajua maisha yako ya mbele ndio akakuletea wanaume mbalimbali wa kutaka kukuoa lakini ukakataa kwasababu zisizo na mantiki.

Mwenyewe unaona muda wa wewe kuolewa umefika lakini hauolewi unaanza kuangaika huku na kule kila mwanaume kwako anaonekana kuwa muhimu. Yaani wakati ambao haukuuhitaji ndoa, ndoa ilikuhitaji na wakati ambao unaihitaji ndoa wanaume wana-HIT & ku-RUN.

Kwa mahesabu kama una miaka 30 inakupasa kuolewa na mwanaume mwenye angalau miaka 33 au 35. Je kuna mwanaume mwenye umri huo ambaye yupo tayari kuoa? Mwanaume hataki kuitwa babu na mtoto wake anataka kuitwa baba. Mwanaume anapofikisha umri wa miaka 30 anaweka jiko ndani lenye miaka chini ya 25.

Sasa kama kipindi alichokuwa na miaka 30 ukamkataa, wewe ukiwa na miaka 30 mwenzako ana 35 kashaoa kitambo na kama MUNGU kamjalia ana watoto wawili.Sikulazimishi uolewe ila unapopata mwanaume aliye tayari kukuoa kubali tu, ndoa ni bahati kuna wanawake wanafikisha miaka 40 na bado hawajaolewa na kila siku wanatamani kuolewa.

Unapoipata bahati fanya mambo.Siku zote mwanaume anapokwambia kwamba anataka kukuoa ukaleta pozi weeeeee, akija kwa mara ya pili huyo si muoaji, atakuja akuchezee na kukuacha kwani anajua pia we haupo tayari kwa kuwa alishakupa nafasi ukailetea pozi.

WANAWAKE WAPO MILIONI 29 TANZANIA NA WANAUME MILIONI 25. HALAFU WEWE UNALETA POZI.HAYA, TUTAONA MWISHO WAKE.

Pumbavu!. Kwa hiyo wewe unataka kila msichana unayemtaka hata kama hakupendi aseme ndiyo? Eti sababu za kipumbavu, na ndiyo sababu unakataliwa kwa sababu huna akili za kuishi na msichana. Mvulana mwenye akili hawezi kulazimisha vigezo vyake ndiyo viwe vigezo vya watu wote duniani. Pumbavu. Waache wasichana wana maisha yao na wewe hayakuhusu. Tafuta atakayekubali kuolewa kwa sababu anatakwa hata kama hapendi. Huna maana.
 
Back
Top Bottom