Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,568
Mkishashindikana kuolewa mnaanza kuzichukia ndoa na mbaya zaidi mnaanza kuharibu wengine kwa kuwashauri kutoolewa na eti ikubidi bora kusagana.Wacha watu wale ujana, itajulikana mbele kwa mbele, kwani Kuolewa ni lazima?