Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

Wacha watu wale ujana, itajulikana mbele kwa mbele, kwani Kuolewa ni lazima?
Mkishashindikana kuolewa mnaanza kuzichukia ndoa na mbaya zaidi mnaanza kuharibu wengine kwa kuwashauri kutoolewa na eti ikubidi bora kusagana.
 
Msiwape watu stress, kama hajakupenda basi kubali haujapendwa...sio sababu una ahaidi ndoa ndo ajilazimishe kuolewa na wewe. Unajuaje na huyo mwingine hajamwambia anataka kumuoa kama wewe unavyosema.
They will marry when and who they want.
Hizi topic mkawaambie dada zenu nadhani ndo hawana haki ya kupenda au kuchagua wanachopenda.
Lakini mtoa mada ameeleza vizuri ila umemtafsiri kinyume cha maumbile.
 
Wacha niwatetetee . we ushasema tumewazidi kwa mil 4 so inaonyesha kuolewa sio lazima kwa wa dada sababu wako wengi. Nakuingia kwenye NDOA ni kuwa tayari kwa mtu sio kisa kafuatwa na mtu ambaye yuko tayari......Ni kuwa tayari ndio muhimu sio umefuatwa ukiwa na miaka mingapi
 
Pumbavu!. Kwa hiyo wewe unataka kila msichana unayemtaka hata kama hakupendi aseme ndiyo? Eti sababu za kipumbavu, na ndiyo sababu unakataliwa kwa sababu huna akili za kuishi na msichana. Mvulana mwenye akili hawezi kulazimisha vigezo vyake ndiyo viwe vigezo vya watu wote duniani. Pumbavu. Waache wasichana wana maisha yao na wewe hayakuhusu. Tafuta atakayekubali kuolewa kwa sababu anatakwa hata kama hapendi. Huna maana.
Binti em swaki kwanza.... povu l Nin!!??
 
Halafu kwanini haya mambo ni kwa waafrika tu hasa Tanzania. Ukienda hapo Kenya tu wanawake hawataki kuolewa wanapenda kuzaa tu walee wenyewe watoto. And why hizi scenario hamzipelekagi Ulaya. Mbona wao hawana njaa ya kuolewa hata akiwa na 35 huwezi sikia jirani au rafiki akimwambia utaoa au utaolewa lini. Kila mtu yuko busy na maisha yake but huku watu wako busy kufuatilia maisha ya wenzao na kuwachagulia ni mda gani wa kuoa au wakuolewa.
Na ndio maana YESU aliamua kuondoka mapema maana binadamu kwa kufuatilia ya watu mngeshaanza kumsumbua why he is 33 na hajaoa.
Let pipo live they way they want. We una mke una Mme tulia endesha life yako achana na maisha ya wenzako. Kipi kinachokuuma
Watafutie basi hao mil 4 extraa waume maana ratio hauko sawa
 
Halafu kwanini haya mambo ni kwa waafrika tu hasa Tanzania. Ukienda hapo Kenya tu wanawake hawataki kuolewa wanapenda kuzaa tu walee wenyewe watoto. And why hizi scenario hamzipelekagi Ulaya. Mbona wao hawana njaa ya kuolewa hata akiwa na 35 huwezi sikia jirani au rafiki akimwambia utaoa au utaolewa lini. Kila mtu yuko busy na maisha yake but huku watu wako busy kufuatilia maisha ya wenzao na kuwachagulia ni mda gani wa kuoa au wakuolewa.
Na ndio maana YESU aliamua kuondoka mapema maana binadamu kwa kufuatilia ya watu mngeshaanza kumsumbua why he is 33 na hajaoa.
Let pipo live they way they want. We una mke una Mme tulia endesha life yako achana na maisha ya wenzako. Kipi kinachokuuma
Watafutie basi hao mil 4 extraa waume maana ratio hauko sawa
Acha kuipotosha jamii wewe. Wewe kama ni mhanga wa hii mada jipange ujiokoe...
 
Pumbavu!. Kwa hiyo wewe unataka kila msichana unayemtaka hata kama hakupendi aseme ndiyo? Eti sababu za kipumbavu, na ndiyo sababu unakataliwa kwa sababu huna akili za kuishi na msichana. Mvulana mwenye akili hawezi kulazimisha vigezo vyake ndiyo viwe vigezo vya watu wote duniani. Pumbavu. Waache wasichana wana maisha yao na wewe hayakuhusu. Tafuta atakayekubali kuolewa kwa sababu anatakwa hata kama hapendi. Huna maana.
Waambie waelewe hawa, hawaamini kama wanaweza kutoswa hata baada ya kucheza karata ya neno ndoa
 
Acha kuipotosha jamii wewe. Wewe kama ni mhanga wa hii mada jipange ujiokoe...
Mimi sio mhanga Nina life yangu na sina mpango wa kuoa coz sio lazima. And nobody has right to tell me what to do in my life.
Why watu wakishaingia kwenye NDOA ghafla wanakuwa specialist wa wa NDOA!? Halafu ghafla wanakuja na Uzi ooh huyu mwanamke nimeshindwa au huyu mwanaume hyu simuwezi. Tulieni kwenye NDOA zenu mfanye yenu mshughulike na shida zenu huko
 
Mimi sio mhanga Nina life yangu na sina mpango wa kuoa coz sio lazima. And nobody has right to tell me what to do in my life.
Why watu wakishaingia kwenye NDOA ghafla wanakuwa specialist wa wa NDOA!? Halafu ghafla wanakuja na Uzi ooh huyu mwanamke nimeshindwa au huyu mwanaume hyu simuwezi. Tulieni kwenye NDOA zenu mfanye yenu mshughulike na shida zenu huko
Nilijua wewe lazoma utakuwa mhanga wa hili.
 
Mimi sio mhanga Nina life yangu na sina mpango wa kuoa coz sio lazima. And nobody has right to tell me what to do in my life.
Why watu wakishaingia kwenye NDOA ghafla wanakuwa specialist wa wa NDOA!? Halafu ghafla wanakuja na Uzi ooh huyu mwanamke nimeshindwa au huyu mwanaume hyu simuwezi. Tulieni kwenye NDOA zenu mfanye yenu mshughulike na shida zenu huko
Yani wanavyotulazimisha tuingie kwenye ndoa,wakati wao kutwa wanachepuka nje nini maana yake hapo.....mwanamke usitimize malengo yako eti kisa huko badae utakosa mme uanze kukimbizana na ndoa kwanza,aisee kazi ipo....
 
Yani wanavyotulazimisha tuingie kwenye ndoa,wakati wao kutwa wanachepuka nje nini maana yake hapo.....mwanamke usitimize malengo yako eti kisa huko badae utakosa mme uanze kukimbizana na ndoa kwanza,aisee kazi ipo....
Kweli!! Na ndio maana walio kwenye NDOA ndio wanaongoza kuwa na ukimwi. Labda watujibu hili kwanza.
Marafiki zangu wote waliooa wanacheat. Mpk unajiuliza why? Waliingia sehemu ambayo masharti yake hawayawezi
 
Kweli!! Na ndio maana walio kwenye NDOA ndio wanaongoza kuwa na ukimwi. Labda watujibu hili kwanza.
Marafiki zangu wote waliooa wanacheat. Mpk unajiuliza why? Waliingia sehemu ambayo masharti yake hawayawezi
Hawawezi kukujibu hilo,watajikanyaga sasahivi watahamia kwenye bilble,mara ni muhimu....sasahivi atatokea mtu atajibu hivyo....huwa sielewi maisha ya mwingine yamsumbuaje mtu,kila mtu ana priorities zake na maamuzi yake,wao wanaona ndoa ndio kila kitu well and good waendelee kuenjoy,meanwhile wengine tuendelee na maisha
 
Haaa kuna siku kwenye harusi muda wa kudaka ua, kuna mdada hadi alibebwa juu na uncle wake sijui

Daddy me na wewe tushaongea sana kuhusu hii issue. Nashangaa pressure za majirani zimeanza kukukosesha usingizi. Endelea tu kuchangia harusi za watoto wa wenzio, wa kwako bado yupo. Nimegoma kuondoka home teh
Teh teh..Huyo anko alitisha sana aisee..Haya bana..Ngoja nitulie
 
Back
Top Bottom