I see dear you change yours too ... Nimekusahau...aahhaaa... Thanks..avata hiyo mkuu
I see dear you change yours too ... Nimekusahau...aahhaaa... Thanks..avata hiyo mkuu
Love is sweet!Aaahhaaaaa... Asante kwa lesson.. There are some people are married at 18 years old while are going to school ( College or University) ... And life moves on smooth... Thanks..
Akina #miss chagga, #valentina wataisoma number kimya kimya. Na avatar zao za maua haha...Mkuu hiyo DP yako Ni nzuri, Mashaallah Mwenyezi Mungu kakutengeneza vizuri Na Kwa Kweli Kwa Mshape huo Hamna haja ya kuolewa Mkuu!
afu unavonfanyia sio fair, wee sio wa kunifanyia vile! Btw umerudi? Mambo yanaendaje?I see dear you change yours too ... Nimekusahau...aahhaaa... Thanks..
Pole best ...I still love you though and care for you ... Naomba unisamehe.. ..please..schedule over the schedule.... Pole sana.. Thanks..afu unavonfanyia sio fair, wee sio wa kunifanyia vile! Btw umerudi? Mambo yanaendaje?
The best comment I ever come across with .Time will tell,ngoja tuone...jamani kuna wanawake wameumbwa kuipamba dunia tu sio wote wakuolewa!
Kwanini mkuu???.Hapa ndio nimepapenda haswaaaaaa!
Hawa ndo watakao tafuta kick mpaka kwa fid.Wacha watu wale ujana, itajulikana mbele kwa mbele, kwani Kuolewa ni lazima?
Ina maana wasichana wote wenye 22 wapo chuo?mbona umekariri hivyo?Kwahio tuolewe hata kama bado hatuko tayari,22 si yupo chuo huyo?eeh bana weee kama mume yupo yupo tu wacha turinge... Panic at your own risk
Wewe bado hujaolewa Hadi leo, basi naomba nafasi...though najua ni msomi wa Masters...lakini katika mapenzi hakuna usomi wala nini....natumaini ombi langu utalifikiria na kulipa uzito unao stahiki... I LOVE YOU ...brenda18.Kwahio tuolewe hata kama bado hatuko tayari,22 si yupo chuo huyo?eeh bana weee kama mume yupo yupo tu wacha turinge... Panic at your own risk
Housegirl aibuka katika ubora wake!....... But the miserable mistake you can ever make in your life is to start to love a man,just do it and you will remember me over and over again!!!Kila mtu anacho anachotaka maishani.
Kuna watu hawawezi kuwaza beyond ndoa.
Wengine wanataka watoto tu so sperm donor yoyote atakayejitokeza haya.
Wengine hawana maisha. Hawana hobbies. Hawana plans zozote. Hawana mahusiano ya ukaribu na marafiki/ndugu. So they're miserable and lonely.
Wengine wanataka kupata status kwenye jamii, ingawa humo ndani hali wanaijua wenyewe.
Mimi nataka amani ya akili a furaha moyoni.
Nataka niwe na mtu ninayempenda naye ananipenda.
Na Unless hiyo ndoa haitohusisha sex, siwezi kulala na mtu simpendi. Hiyo ni starehe kwangu... Nafikaje fikaje wakati hunivutii!!!
Kama unanipenda unanipenda tu hata niwe na 40. Ukiniona kibibi, pita hivi, I got other plans.
Hivi unajua kusoma kweli na ukaelewa unachosoma?ni wewe pekee umeelewa tofauti na wengine,punguza kukurupuka soma na uelewe na ujibu unapobidi,mengine yakupite kama hivi....ficha papara zako za kujibuIna maana wasichana wote wenye 22 wapo chuo?mbona umekariri hivyo?
Bado sijaolewa hadi leo?muone kama unanijua vile....nimesema bado nipo kwenye kuchagua miaka saba badae ntalifikiria hilo,utasubiri?Wewe bado hujaolewa Hadi leo, basi naomba nafasi...though najua ni msomi wa Masters...lakini katika mapenzi hakuna usomi wala nini....natumaini ombi langu utalifikiria na kulipa uzito unao stahiki... I LOVE YOU ...brenda18.
I've always wanted someone to prove to me if one can really learn to love. Especially wale wahindi wanaoozeshwa wakiwa wadogo.Housegirl aibuka katika ubora wake!....... But the miserable mistake you can ever make in your life is to start to love a man,just do it and you will remember me over and over again!!!
Wewe ungekuwa na akili usinge andika uliyoyaandika.halafu inaonekana dhahiri mada imekulenga vilivyo.ndo nyie mnazeekea nyumbani na kuzalishwa tu.Hivi unajua kusoma kweli na ukaelewa unachosoma?ni wewe pekee umeelewa tofauti na wengine,punguza kukurupuka soma na uelewe na ujibu unapobidi,mengine yakupite kama hivi....ficha papara zako za kujibu