Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

Acha kbsa my dear yan simshauri mtu aolewe kisa umri unaenda olewa when u ar ready and well established wanaume siku hz cyo wale wa zaman wanakwepa majukum siku iz..atajfanya ntakutunza ngoja akuweke ndan sasa
Na ukiwa well established kwa wanaume unao wasema wewe wa sasa lazima atakukimbia atakuja kutumia tu ulivyochuma wewe hakuna mwanaume anapenda kuishi kwenye empire /au kuwa chini ya mwanamke..so uamuzi ni wako
 
Nyie achana nao wao wanaenda juu siso tuna shuka chini...! Mimi sikuhizi nakula vigori tu above 25 sitaki kuwaona...!
 
Kila mtu anacho anachotaka maishani.

Kuna watu hawawezi kuwaza beyond ndoa.

Wengine wanataka watoto tu so sperm donor yoyote atakayejitokeza haya.

Wengine wanawaza harusi tu.

Wengine hawana maisha. Hawana hobbies. Hawana plans zozote. Hawana mahusiano ya ukaribu na marafiki/ndugu. So they're miserable and lonely.

Wengine wanataka kupata status kwenye jamii, ingawa humo ndani hali wanaijua wenyewe.

Mimi nataka amani ya akili a furaha moyoni.

Nataka niwe na mtu ninayempenda naye ananipenda.
Na Unless hiyo ndoa haitohusisha sex, siwezi kulala na mtu simpendi. Hiyo ni starehe kwangu... Nafikaje fikaje wakati hunivutii!!!

Kama unanipenda unanipenda tu hata niwe na 40. Ukiniona kibibi, pita hivi, I got other plans.
hahahahahaaaaaa.

.Itafahamika tu....
 
Umri ukienda wanaanza kuishi kwa matumaini..Wakienda kwenye harusi wanagombaniana maua kwa vikumbo teh

Heaven Sent mwaka huu ukiisha haujaleta mtu,nakuozesha kwa yeyote yule
Hahahaa, wewe baba heaven lazima utambue kuna tofauti katika wanawake,wapo wanaotetemekea ndoa na wapo wasio na mpango,muache kugeneralize....wanawake wa nyakati hizi sio sawa na wa zamani
 
Msichana ana miaka 22, anafuatwa na mvulana na kuambiwa kwamba anataka kuolewa, mvulana yupo kamili kajiandaa na anamaanisha, msichana anakataa kwa visingizio vya kipumbavu mvulana anaachana nae.

Anachokifanya ni kumfuata mvulana ambaye hana mpango wa kumuoa kisa gari kisa fedha anataka kuitwa mpenzi na mambo kuishia kitandani anavuliwa pichu.Haiishii hapo anapofika miaka 23, 24, 25, 26 hali inakuwa hivyo hivyo kwake anajiona hana haja ya kuolewa anaamua kuwa na mpenzi tu, leo huyu kesho huyu na keshokutwa yule.

Siku hazimsubiri miaka 27, 28, 29 na 30 inaingia hapo ndipo anashtuka kwamba kapoteza muda na anatakiwa kuolewa.Hahaha! Mungu sio chizi aliyajua maisha yako ya mbele ndio akakuletea wanaume mbalimbali wa kutaka kukuoa lakini ukakataa kwasababu zisizo na mantiki.

Mwenyewe unaona muda wa wewe kuolewa umefika lakini hauolewi unaanza kuangaika huku na kule kila mwanaume kwako anaonekana kuwa muhimu. Yaani wakati ambao haukuuhitaji ndoa, ndoa ilikuhitaji na wakati ambao unaihitaji ndoa wanaume wana-HIT & ku-RUN.

Kwa mahesabu kama una miaka 30 inakupasa kuolewa na mwanaume mwenye angalau miaka 33 au 35. Je kuna mwanaume mwenye umri huo ambaye yupo tayari kuoa? Mwanaume hataki kuitwa babu na mtoto wake anataka kuitwa baba. Mwanaume anapofikisha umri wa miaka 30 anaweka jiko ndani lenye miaka chini ya 25.

Sasa kama kipindi alichokuwa na miaka 30 ukamkataa, wewe ukiwa na miaka 30 mwenzako ana 35 kashaoa kitambo na kama MUNGU kamjalia ana watoto wawili.Sikulazimishi uolewe ila unapopata mwanaume aliye tayari kukuoa kubali tu, ndoa ni bahati kuna wanawake wanafikisha miaka 40 na bado hawajaolewa na kila siku wanatamani kuolewa.

Unapoipata bahati fanya mambo.Siku zote mwanaume anapokwambia kwamba anataka kukuoa ukaleta pozi weeeeee, akija kwa mara ya pili huyo si muoaji, atakuja akuchezee na kukuacha kwani anajua pia we haupo tayari kwa kuwa alishakupa nafasi ukailetea pozi.

WANAWAKE WAPO MILIONI 29 TANZANIA NA WANAUME MILIONI 25. HALAFU WEWE UNALETA POZI.HAYA, TUTAONA MWISHO WAKE.
 
Hahahaa, wewe baba heaven lazima utambue kuna tofauti katika wanawake,wapo wanaotetemekea ndoa na wapo wasio na mpango,muache kugeneralize....wanawake wa nyakati hizi sio sawa na wa zamani
Shida ni pale wanapokuja zaa na wame za watu na kuhatarisha ndoa za watu
... wangeweza kubaki single forever hata mimi ningewatetea.
 
Mkuu wapo na wasenge,,,,tupon wachache saana hawajijui
 
Shida ni pale wanapokuja zaa na wame za watu na kuhatarisha ndoa za watu
... wangeweza kubaki single forever hata mimi ningewatetea.
Unajua labda sielewi...wakizaa na waume za watu,shida gani hutokea,si wanalea wenyewe,inakuaje mnaguswa hivyo?
 
Hahahaa, wewe baba heaven lazima utambue kuna tofauti katika wanawake,wapo wanaotetemekea ndoa na wapo wasio na mpango,muache kugeneralize....wanawake wa nyakati hizi sio sawa na wa zamani
Teh teh..Yeah..Wapo wanawake ambao kuolewa kwao sio issue..Ila naamini asilimia kubwa ya wanawake wanazitaka ndoa..Sema tu siku hizi mmekuwa selective sana..Mna mavigezo lundo wenyewe..Ila umri ukienda mnaanza kuvipunguza kidogokidogo
 
Kwani mwanamke lazima aolewe akiwa na umri mdogo kuliko mumewe? waacheni wanawake wajipange na maisha ndiyo waolewe mwanaume anaweza akaumwa, akapata ajari, akafukuzwa kazi au akafa familia itaishije kama inamtegemea mtu mmoja. Kuwaza ndoa za zamani kwenye maisha ya leo ni akiri finyu lazima mwanamke ajipange sawa na mwanaume ili wajenge familia
 
Unajua labda sielewi...wakizaa na waume za watu,shida gani hutokea,si wanalea wenyewe,inakuaje mnaguswa hivyo?
Umeandika wewe au umesaidiwa. Em jiweke kwenye hiyo position ya huyo mwanamke unaetaka share nae bwana...,,,,!!! Wonders
 
Kuna anachotaka huyo. Labda mtoto.

Me I can't think of any reason ya kunifanya niishi na mtu simpendi. Kwanza tutagombana kila siku I'm very short tempered. Bora nikikupenda nakuwa mpole.
Aisee....yani wewe una hatari kwelikweli


hujawahi penda??
 
Umeandika wewe au umesaidiwa. Em jiweke kwenye hiyo position ya huyo mwanamke unaetaka share nae bwana...,,,,!!! Wonders
Ukiishi huku unapingana na nature hutokua na furaha,inajulikana wanawake ni wengi kuliko wanaume,na wanaume wengi wana mipango ya kando,kushare kitu cha kawaida,hakuna wa peke yako labda umchonge...mimi ndio maana sioni hata maana ya ndoa kwa kipindi hiki,tofauti na zamani..mtu anaweza kuolewa akaishi maisha magumu sana kunyanyaswa na mume huko ndoani,na huyu asieolewa akaishi powa tu no stress....ni maamuzi tu
 
Back
Top Bottom