Miaka 22 kushuka chini akaolewe,
Huyo ni mtoto jamani,
Mtoto aenjoy utoto wake, kisa cha kwenda kumpa majukumu mazito ya ndoa!
Ndio mana wakijafika miaka 30 au 35 wanacharuka, maana kuna kipindi cha kuenjoy ujana wao walikivuka,
Asikwambie mtu, ndoa za utotoni zinaumiza,
Zinadumaza akili ya binti,
Kiufupi hazipendezi.
Kuolewa/kuoa ni wajibu wa kila binaadamu, ila hakuna muda muafaka wa lini mtu anapaswa kua kwny ndoa,
UKIJIONA NOW YOUR READY, unajitumbukiza,
Hahahaha hv mshawahi kuwaza?
Uingie kwenye ndoa ukiwa na miaka 20,
Maisha ya kuishi hapa duniani tuseme miaka 70,
So miaka 50 yote upo na mtu tu, oooh please!! Si mtafanana jamani.
Teh teh teh teh,
Ooh another thing, wewe mwanaume huwez kuoa mzee (mwanamke wa miaka 30 au 40)
Wadogo zenu wa kiume wa miaka 20 watakuja kuwaoa,
SO CALM DOWN GUYS.