brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
Kwahio mwanao akifika miaka 21 utamuoza kwa kuhofia atakosa mume????Teh teh..Yeah..Wapo wanawake ambao kuolewa kwao sio issue..Ila naamini asilimia kubwa ya wanawake wanazitaka ndoa..Sema tu siku hizi mmekuwa selective sana..Mna mavigezo lundo wenyewe..Ila umri ukienda mnaanza kuvipunguza kidogokidogo