Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

Teh teh..Yeah..Wapo wanawake ambao kuolewa kwao sio issue..Ila naamini asilimia kubwa ya wanawake wanazitaka ndoa..Sema tu siku hizi mmekuwa selective sana..Mna mavigezo lundo wenyewe..Ila umri ukienda mnaanza kuvipunguza kidogokidogo
Kwahio mwanao akifika miaka 21 utamuoza kwa kuhofia atakosa mume????
 
Mleta mada anasema kuolewa ni bahati, sio kweli. mwanamke mwenye akiri na hekima ni yule mwenye malengo na mipango juu ya maisha yake. Ndoa hupangwa na inapangwa kwasababu inamajukumu sio yale mambo ya zamani kuwa mwanamke akiolewa anaenda kusubiri mume alete yeye apike. Mwanamke lazima ajipange kiuchumi kwanza. Sasa chini ya miaka 25 kajipanga lini? Au ndiyo zile ndoa za ugoli kipa zimepitwa na wakati hizo bro.
 
Umeandika wewe au umesaidiwa. Em jiweke kwenye hiyo position ya huyo mwanamke unaetaka share nae bwana...,,,,!!! Wonders
Hivi huyu mwanaume ambaye ndo kaweka mkataba na mkewe hamumuoni mnamuona nyumba ndogo tu.

Shida ni hao wanaume.
 
Mleta mada anasema kuolewa ni bahati, sio kweli. mwanamke mwenye akiri na hekima ni yule mwenye malengo na mipango juu ya maisha yake. Ndoa hupangwa na inapangwa kwasababu inamajukumu sio yale mambo ya zamani kuwa mwanamke akiolewa anaenda kusubiri mume alete yeye apike. Mwanamke lazima ajipange kiuchumi kwanza. Sasa chini ya miaka 25 kajipanga lini? Au ndiyo zile ndoa za ugoli kipa zimepitwa na wakati hizo bro.
Kwako wewe mwanamke inapaswa aolewe akiwa na umri gani?ukizingatia kujipanga kiuchumi hakuna formula mana mwingne anaweza graduate chuo akiwa na 23-25 akija mtaani anaweza kaa hata miaka 2 bila kazi mwaka wa 3 ndo anapata so ndo kujipanga kunaanzia hapo na age yake ikiwa inakaribia 30 na katika tamaduni zetu za kiafrika mwanaume kuoa mwanamke alofika miaka 30 ni nadra sana kutokana na ile dhana kuwa mwanamke anawah kuzeeka kuliko mwanaume..
 
Ukiishi huku unapingana na nature hutokua na furaha,inajulikana wanawake ni wengi kuliko wanaume,na wanaume wengi wana mipango ya kando,kushare kitu cha kawaida,hakuna wa peke yako labda umchonge...mimi ndio maana sioni hata maana ya ndoa kwa kipindi hiki,tofauti na zamani..mtu anaweza kuolewa akaishi maisha magumu sana kunyanyaswa na mume huko ndoani,na huyu asieolewa akaishi powa tu no stress....ni maamuzi tu
Ai feel sorrry for u...
 
Anae beba mimba na mwenye maamuzi ni nani!??
Basi Kaaamua mwenyewe na maisha yake.

Janaume linaenda kukitembesha nje bila Kinga hadi anatia mimba. Ndomana wanandoa wanaongoza kwa maambukizi. Ovyo kabisa wachepukaji.
 
Kwako wewe mwanamke inapaswa aolewe akiwa na umri gani?ukizingatia kujipanga kiuchumi hakuna formula mana mwingne anaweza graduate chuo akiwa na 23-25 akija mtaani anaweza kaa hata miaka 2 bila kazi mwaka wa 3 ndo anapata so ndo kujipanga kunaanzia hapo na age yake ikiwa inakaribia 30 na katika tamaduni zetu za kiafrika mwanaume kuoa mwanamke alofika miaka 30 ni nadra sana kutokana na ile dhana kuwa mwanamke anawah kuzeeka kuliko mwanaume..
Wewe mpaka leo unawaza kuwa mwanamke anawahi kuzeeka? Hakuna kitu kama hicho. Leo hii unaweza ukakutana na mwanamke aliyekupita miaka 5 na ukajiona ukasawa naye tu, yale zamani yalikuwa maisha magumu ndiyo yaliwazeesha.
 
Wewe mpaka leo unawaza kuwa mwanamke anawahi kuzeeka? Hakuna kitu kama hicho. Leo hii unaweza ukakutana na mwanamke aliyekupita miaka 5 na ukajiona ukasawa naye tu, yale zamani yalikuwa maisha magumu ndiyo yaliwazeesha.
Usitake kujifanya hujui ukweli kuwa katika ukuaji yupi anawahi hata somo la sayansi aka biologia shule ya msingi umesoma na si kazi ngumu pekee ndo zinamfanya mwanamke azeeke mapema kuna kuzaa nk...labda unambie mapenzi hayana umri wala uzee Sawa mana ndo moja ya slogan pendwa
 
Bado sijaolewa hadi leo?muone kama unanijua vile....nimesema bado nipo kwenye kuchagua miaka saba badae ntalifikiria hilo,utasubiri?
Mhmhm naomba nipunguzie hiyo miaka saba please......I beg you please my Brenda18....You know what....life has no specific formula....seven years that you're telling me to keep waiting perhaps would be happy period for us to join together and shape our new life with a clear vision of our lovely family......So please consider me in your heart...I won't let you down...life is too short beibi!
 
Ukiishi huku unapingana na nature hutokua na furaha,inajulikana wanawake ni wengi kuliko wanaume,na wanaume wengi wana mipango ya kando,kushare kitu cha kawaida,hakuna wa peke yako labda umchonge...mimi ndio maana sioni hata maana ya ndoa kwa kipindi hiki,tofauti na zamani..mtu anaweza kuolewa akaishi maisha magumu sana kunyanyaswa na mume huko ndoani,na huyu asieolewa akaishi powa tu no stress....ni maamuzi tu
Nimekupenda bure my dada!!!!ndoa za sasa ni fashion!!!!pesa kwnz mpnz baadae hutak pita hiviii!!!!
 
Basi Kaaamua mwenyewe na maisha yake.

Janaume linaenda kukitembesha nje bila Kinga hadi anatia mimba. Ndomana wanandoa wanaongoza kwa maambukizi. Ovyo kabisa wachepukaji.
Hahahahaha asante bi dada yaani ni aibu afuu fyofyifyo ndoa tupa kule!!
 
Dah. Boss wangu anazeekea hapa kuchagua mwanaume mwenye gari na miguu mizuri ya kuvalia pensi. Natamani angeona hii post
 
Eti 22 yupo chuo! Cha mapenzi na ufilauni wa kila aina! Kanishangaza jama eti katongozwa na demu kamaliza chuo kikuu kuomba mgegedo hapewi. Baada ya kuoa ndo anagundua dem anatembea na nepi. Kuuliza wenzake kamchezo kachafu. Waacheni walinge watakuja kubembeleza wenyeww tena watawarudishieni hela zote mlizochunwa
 
Back
Top Bottom