Wanawake na mikopo

Wanawake na mikopo

Siku moja nilikwenda kuchukua pesa dukani kwa mteja wangu, sasa pale dukani kuna ofc ya mikopo ya sokoni, yaani wale wakopeshaji wanajiita sokoni, sasa kuna mdada alikuwa hana rejesho ,wakasema wanaenda kumfilisili aisee ilikuwa ni balaa yule dada ana kilo kama 130 bonge akasema aletewe usafili likaletwa toyo dada akawa kama amezima hivi hana nguvu za kupanda, na kumpandisha haiwezekani bonge la mtu alafu amelala chini , wakamembelezaaaaaa ,akasema aletewe boda boda ndio wakaondoka kwenda nyumban
 
Mkuu ktk hao hao uliochuja. Anatokea mwana anakwambia nimekwama kitu flani, niongezee 1.5m itarudi mwezi flani.
Ukiangalia ni mshkaji, chance za kuipata hiyo 1.5m unazo?
Unamchomolea? Nilikwamia hapo
Yani Kwa hao niliochuja hata asiponilipa sitolalamika manake Kuna mambo unakuta alishanisave sana so mengine inakuwa tunapotezea juu Kwa juu,Mfano Kuna siku nilikuwa na emergency ya laki tano nikaenda kutoa kadi ikazama kwenye ATM nikapiga simu Kwa mshkaji fasta akarusha baadaye nikarudisha

au Kuna mtu Kila akikuomba hela unajikuta hauna Sasa hao huwaga nawatengea budget nikipata namrushia hata kama hajaomba ili kuwa maintain nisiwapoteze ,ila Sasa Kuna wale *assholes" hawana faida kbsa wao kila siku wanalia shida alafu ajira wanazo na michongo ya maana hawakupi hao hata akimeza shoka akaomba mkopo simpi

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Naona umefurahi
Sijafurahi maana Mkopo una nafasi yake katika maisha na ustawi wa mwanadamu! Hakuna mfanyabiashara asiyekopa.

Kukopa kuna kanuni ambayo tunaita Business Plan. Hata kama unakopa kwa ajili ya kumcheza mwanao, lazima uwe unauhakika jinsi ya kulipa. Bila kuwa na jinsi ya kulipa, ni uhuni.

Tunakopa, tutaendelea kukopa ila tuna mikakati madhubuti ya kulipa. Tatizo wengi wetu, tunadhani mkopo ni zawadi. Huo Mtihani.

Narudi msituni!
 
Sijafurahi maana Mkopo una nafasi yake katika maisha na ustawi wa mwanadamu! Hakuna mfanyabiashara asiyekopa.

Kukopa kuna kanuni ambayo tunaita Business Plan. Hata kama unakopa kwa ajili ya kumcheza mwanao, lazima uwe unauhakika jinsi ya kulipa. Bila kuwa na jinsi ya kulipa, ni uhuni.

Tunakopa, tutaendelea kukopa ila tuna mikakati madhubuti ya kulipa. Tatizo wengi wetu, tunadhani mkopo ni zawadi. Huo Mtihani.

Narudi msituni!
we na huko msituni kwako sasa, halafu hujarespond🧐🧐
 
Back
Top Bottom