Wanawake na mikopo

Wanawake na mikopo

Hela zinaelekea wapi nyie watu? Mtu ana kikoba, ana michezo kedekede lakini bado hana unafuu wa maisha stress zimemjaa, swali n hela mnazozipata mnazipeleka wapi?
Waulizeee. Mimi siwezi kuwajibia hao wenye stress za maisha na marejesho ya kukausha damu.

ila kikobani kukopa ni lazima.
Michezo wanakuja kukujibu wanaocheza.
Nipo Saccoss. Ila sijawahi kukopa, nawekatu… maana sina mahitaji makubwa ya pesa
 
Waulizeee. Mimi siwezi kuwajibia hao wenye stress za maisha na marejesho ya kukausha damu.

ila kikobani kukopa ni lazima.
Michezo wanakuja kukujibu wanaocheza.
Nipo Saccoss. Ila sijawahi kukopa, nawekatu… maana sina mahitaji makubwa ya pesa
Sasa wewe si tajiri😎
Kuna wengine wanamkopea mwanaume alafu mwanaume mbio anabaki na mzigo wa kulipa.
 
Unakuta mchezo umeisha lakini bado ana rejesho la mkopo, hivyo inabidi aendelee kucheza ili alipe rejesho.

Akimaliza kulipia mkopo, kwenye mchezo alishachukua pesa anatakiwa kuwatolea wenzie, inabidi akope tena.
Nayaona haya, na mara zote nawaambia wanachokifanya ni umasikini hawasikii.
Anakopa deni kulipa deni
Hapo ni ngumu kujitoa kwenye kifungo cha madeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na sare za vijora mnawauzia wakavunje vikoba lakini wapi bado tabu iko pale pale, naanza kuamini hivi vikundi vinawanufaisha wachache kuliko wengi.
Inategemea na malengo yako kwenye hivyo vicoba, wengine wanakopa pesa ili wakaonyeshe majirani km wao mambo safi..!
Wengine wanakopa walipe ada za watoto wanaume wamewatelekeza.
Wengine wanakopa wakafanyie biashara
Mwisho wa safari lazima kuwe na utofauti kutokana na kila mtu alivyojiwekea akiba, ndiomana siku ya kuvunja mtu anaondoka na pesa ndogo kutokana na madeni..!!
 
Utawaua aisee Kwa haya maswali yakounahoji kama mkurugenzi wa upelelezi

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Nataka nijue tu, nna ndugu yangu ana vikoba, michezo akikutafuta ni hela tu, ikifika time ya kuvunja kikoba hela anapata nyingi tu ila sijui anazipelekaga wapi na ndio ishakuwa kawaida yake ndio maana inabidi nihoji huenda nitapata majibu ya maswali ambayo najua yeye hawezi kunijibu.
 
Inategemea na malengo yako kwenye hivyo vicoba, wengine wanakopa pesa ili wakaonyeshe majirani km wao mambo safi..!
Wengine wanakopa walipe ada za watoto wanaume wamewatelekeza.
Wengine wanakopa wakafanyie biashara
Mwisho wa safari lazima kuwe na utofauti kutokana na kila mtu alivyojiwekea akiba, ndiomana siku ya kuvunja mtu anaondoka na pesa ndogo kutokana na madeni..!!
Kumbe jirani upo na madini hivi? Nishakuzoea kwenye emoji za kucheka.

Umeeleza vyema sana, hawa wa uswahilini wengi ni kutambiana kuficha umaskini wao na hali duni. Wengi wanafanyia mambo ya hovyo.
 
Nataka nijue tu, nna ndugu yangu ana vikoba, michezo akikutafuta ni hela tu, ikifika time ya kuvunja kikoba hela anapata nyingi tu ila sijui anazipelekaga wapi na ndio ishakuwa kawaida yake ndio maana inabidi nihoji huenda nitapata majibu ya maswali ambayo najua yeye hawezi kunijibu.
Ungemuhoji huyo upate jawabu la ukweli na uhakika.
 
Tajiri wa lakionea 🤣

Pia kuna hii kitu. Unakuta mtu uko zako kikobani, rafki anapata shida anakuomba umkopee. Kwa imani unamsaidia. Laa haulaa, marejesho hakupi. Na ww kule unadaiwa. Nadhan ndo hapo na waume wanakuja kuteseka kumsaidia mke.

Hapo nina mifano hai kibao. Me mwenyewe last year kilinilamba. Mpk dk hii mtu amehold 900k zangu. Kulipa halipi, nimechoka kudai. Nimeachia Sir God ili isiendelee kuniumiza.
Pole ila Mungu wetu sio wa kumuachia mikopo.
 
Back
Top Bottom