Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,032
- 111,624
Unahongaga?Nafanyaje? Ila ameharibu sana
Tokea pale sijawahi kopesha mtu baki 🤣
Hata uje unalia na nimeshika hela, skupi hata jero la mkopo. Labda nikuhonge tu
Unahongaga?Nafanyaje? Ila ameharibu sana
Tokea pale sijawahi kopesha mtu baki 🤣
Hata uje unalia na nimeshika hela, skupi hata jero la mkopo. Labda nikuhonge tu
😂😂😂😂 NtakuchapaKumbe jirani upo na madini hivi? Nishakuzoea kwenye emoji za kucheka.
Umeeleza vyema sana, hawa wa uswahilini wengi ni kutambiana kuficha umaskini wao na hali duni. Wengi wanafanyia mambo ya hovyo.
Mh!!!!Mmnh
Depal hapa alikosea sana, bora nikukope hela yangu mwenyewe kuliko kuchukua jukumu la kwenda kukukopea pesa ambazo hata mimi sina.kama mtu anaweka finger print ,sahihi na vitambulisho anaacha bado anakimbia na deni sembuse hii kukopeshana juu Kwa juu kisa ushkaji
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kuhonga- kupewa za bure bila kudaiwaUnahongaga?
So we hujawahi? Kopesha mshikaji?kama mtu anaweka finger print ,sahihi na vitambulisho anaacha bado anakimbia na deni sembuse hii kukopeshana juu Kwa juu kisa ushkaji
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hongera kukimbia laana ya uzinzi.Hapo tuko makini sana ,manake chupi ni nyingi sana japo mim binafsi ufuska nishastaafu
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kiukweli washkaji zangu wte haijawai tokea wamepata kukopa kwangu ,wengine wakipata shida wanaomba niwasaidie tu freely bila mkopo na hapo nawapa kama sina nasema sina au kama nina nusu nampa na hii imetokana na background check nayofanyiaga watu kabla sijawapitisha rasmi wawe watu wangu wakaribuSo we hujawahi? Kopesha mshikaji?
Naomba uniuzie hiyo roho ngumu ya hivyo
Asante sana aiseeKimbi
Hongera kukimbia laana ya uzinzi.
Kulala na mke wa mtu ni laana

TajiriiiiiiiKuhonga- kupewa za bure bila kudaiwa
Yea I do to my friends km ninazo.
Hii nayo imo! Mwanaume usipokuwa mwangalifuSi ni wengine wanakopa kwa ajili ya Kwenda kumfurahisha bwana(Vacation)
Mkuu ktk hao hao uliochuja. Anatokea mwana anakwambia nimekwama kitu flani, niongezee 1.5m itarudi mwezi flani.Kiufupi Huwa nachuja wapuuzi wte ambao hawana financial literacy, huwezi nikoa hela ukasema mke wako anataka kujifungua Yani miezi 9 yte hujajipanga ndo uje kukopa kwangu
Hapana ila poreeee 😂Naona unataka kupewa stori nzima ww 🤣🤣🤣
Kristoo 😁😁 sahivi nipo kwenye darasa la kusema sinaTajiriiiiiii
Yani nikisema nianze na kuwachambua watumishi ni huruma aisee ,mtu Kila siku salary slip yake imetoboka madeniNtakuchapa
Halafu hata sio wa uswahilini wapo wengi wengine watumishi ila wananuka madeni..!!
Unajua maisha tunatofautiana, kuna watu wana majukumu makubwa ya kifamilia mpk hawezi kuhifadhi kiasi hata kidogo cha fedha..
Hao atleast wana sababu, kuna wasio na sababu.😂😂😂😂 Ntakuchapa
Halafu hata sio wa uswahilini wapo wengi wengine watumishi ila wananuka madeni..!!
Unajua maisha tunatofautiana, kuna watu wana majukumu makubwa ya kifamilia mpk hawezi kuhifadhi kiasi hata kidogo cha fedha..
We ni tajiri bhana usipinge, tena tajiri mhongaji😅Kristoo 😁😁 sahivi nipo kwenye darasa la kusema sina