Wanawake na mikopo

Wanawake na mikopo

Tumepata pa kuanzia lakini hiyo michezo ikitamatika mbona hakuna tofauti na mwanzo shida ni zile zile kwa walio wengi, hakuna maendeleo? Kwa haraka haraka jibu naona umeshalitoa ni ngumu kutoka kwenye huo mzunguko.
Unakuta mchezo umeisha lakini bado ana rejesho la mkopo, hivyo inabidi aendelee kucheza ili alipe rejesho.

Akimaliza kulipia mkopo, kwenye mchezo alishachukua pesa anatakiwa kuwatolea wenzie, inabidi akope tena.
Nayaona haya, na mara zote nawaambia wanachokifanya ni umasikini hawasikii.
 
Unakuta mchezo umeisha lakini bado ana rejesho la mkopo, hivyo inabidi aendelee kucheza ili alipe rejesho.

Akimaliza kulipia mkopo, kwenye mchezo alishachukua pesa anatakiwa kuwatolea wenzie, inabidi akope tena.
Nayaona haya, na mara zote nawaambia wanachokifanya ni umasikini hawasikii.
Kweli ni umasikini, unakopa ili ulipe deni mwsho wa siku inakuwa ni kawaida.
 
Jirani mimi muuza vijora kkoo, nakopa bank naboost biashara yangu..!!
Na pesa zangu zinafanya vitu vya maana. Sijawahi kukopa ili nivae au niringishie watu mtaani, wakinga hatuko hivo..!!
Labda wengine wasiojua nini maana ya mkopo 😀
Kama nyie ni wachache na mnafahamika kutokana na biashara, lengo lipo na maendeleo yanaonekana ila hawa mnaowauzia hivyo vijora ndio changamoto.
 
Unakuta mchezo umeisha lakini bado ana rejesho la mkopo, hivyo inabidi aendelee kucheza ili alipe rejesho.

Akimaliza kulipia mkopo, kwenye mchezo alishachukua pesa anatakiwa kuwatolea wenzie, inabidi akope tena.
Nayaona haya, na mara zote nawaambia wanachokifanya ni umasikini hawasikii.
Na kweli haya ndo tunayokutana nayo mwisho wa siku unajikuta unakuwa mtumwa + Hili jua la DSM lilivyo na laana na madeni yte hayo ndomana wengine wanaishia kutekeleza Hadi nyumba zao wengine mpaka ndoa zinavunjikaa

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom