Wanawake na mikopo

Los santos

JF-Expert Member
Jan 14, 2021
964
2,045
Nina microfinance nimeanzisha mim na mwenzangu ambapo kinakuwaga active yaani makusanyo ni kuanzia ijumaa Hadi jpili manake sisi ni watumishi kwenye vyombo vyetu vya ma gwaride na saluti so muda tunapataga weekend ,tumeanza na Wanawake 100 tunasoma upepo kwanza mambo yakiwa mazuri tunarudi kupuliza kipyenga mtaani

Kiukweli Wanawake wana mikopo mingi sana zaidi ya 4 ,unakuta OYA,ASA,Vikoba huko kakopa mara masokoni Kuna michezo Yao kusaidiana Hela ,mbaya zaidi wanakopa kimya kimya na wanasema waume zao wasijue ,ikifika muda wa rejesho wako tayari hata wakupe "tunda kimasihara",ubaya Hadi hati za nyumba wanaacha ,kadi za magari mliyowanunulia wanaacha , furniture za ndani kwa wale waume zao wako nje ya nchi..

Kuna mmoja tulienda kuchukua rejesho weekend tukamkuta peke yake akafungua mlango akaja uchi akasema Hilo ndo rejesho lake kama hatutaki tumuue, alafu ubaya zaidi kwenye hiyo mikopo hakuna Cha maana wanachofanyia zaidi ya kutunzana kwenye sherehe makabati etc

Ubaya kwenye story wakati wa makusanyo ndo utasikia wanasema yule umempa Hela wakati kazi yake kudanga TU Hilo duka Wala sio lake.. kiukweli Wanawake ni changamoto sana na mikopo japo sisi udange ,uwe mwizi ,uwe mwanga rejesho letu tunataka litimie

Kama una mke muwezeshe kiuchumi na mfungulie biashara pia muulize kama ana mikopo kachukua msaidie kulipa itamsaidia kupunguza kufanya maamuzi yasiyo mazuri



Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Maisha ni hesabu na nidhamu, ukiweza kuvisimamia hivyo utaishi kwa amani.

Binafsi sijawahi wala sijioni kukopa kokote. Ile michezo wanayoicheza wanawake wenzangu nayo ni chanzo pia, michezo mingi kipato kidogo ndio mwanzo wa kukopa kopa hovyo na ni ngumu kutoka katika huo mzunguko.
 
Los santos mnakosea kuwakopesha wake za watu bila signature za waume zao. Siku mkifuatilia rejesho kwa mke wa mtu, akashindwa kutejesha, mtachukua assets alizoweka rehani bila mume wake kufahamu?
Sasa mtu anakopa individual mume wake sisi anatuhusu nin? Pia sisi tunachukua asset za mwanamke anazofanyia biashara mfano vifaa vya saluni au duka ,pia Kwa wale ambao wanaume wao wako nje ya nchi sisi tunabeba vitu mwanamke alivyoweka rehani so hayo mambo ya kumjua mume naona Sasa itatubidi tuanze kuzingatia napo ni ustaarabu tumeamua tufanye manake wanaume wenzetu tunawaonea huruma sana ....

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Maisha ni hesabu na nidhamu, ukiweza kuvisimamia hivyo utaishi kwa amani.

Binafsi sijawahi wala sijioni kukopa kokote. Ile michezo wanayoicheza wanawake wenzangu nayo ni chanzo pia, michezo mingi kipato kidogo ndio mwanzo wa kukopa kopa hovyo na ni ngumu kutoka katika huo mzunguko.
Tumepata pa kuanzia lakini hiyo michezo ikitamatika mbona hakuna tofauti na mwanzo shida ni zile zile kwa walio wengi, hakuna maendeleo? Kwa haraka haraka jibu naona umeshalitoa ni ngumu kutoka kwenye huo mzunguko.
 
Maisha ni hesabu na nidhamu, ukiweza kuvisimamia hivyo utaishi kwa amani.

Binafsi sijawahi wala sijioni kukopa kokote. Ile michezo wanayoicheza wanawake wenzangu nayo ni chanzo pia, michezo mingi kipato kidogo ndio mwanzo wa kukopa kopa hovyo na ni ngumu kutoka katika huo mzunguko.
Uko sahihi michezo mingi alafu kipato kidogo hapo ndo shida inaanzia

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom