Wanawake mtatuvunja viuno kwa hili.

Wanawake mtatuvunja viuno kwa hili.

Poleni sana wenye wanawake wanaotaka kuwavunja viuno hawana huruma hao.
 
kawaida bao mbili tu
tatu na kuendelea ni kwa wasio na kazi

dada kusimama kutoka posta hadi kimara ndani ya mwendokasi huwezi ila hii kitu isiyo na miguu isimame usiku kucha

nipe break dada mi ni binadamu pia

Mkuu popote ulipo agiza kinywaji unachotumia nakuja kulipa
 
Mkuu unafahamu kuwa sex ni hisia na wala sio ingiza toa-ingiza toa!?

Kuridhishishana kwenye sex ni matokeo ya kusomana kihisa na kila mmoja kuifanyia kazi weak point ya mwenzie!

Na suala la kuridhishana halina uhusiano na mmefanya muda gani sijui mmepigana goli ngapi.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Hapo sawa Mkuu nimekuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kuna wanaume wengine tuu wakiona paja tayari unasema labda mkianza upya atakua vzr. Akiingia tuu mara moja ya pili tayari yani nusu dakika mhhhh wa namna hii msilalamikie wanawake.
 
Wabongo wengi hatuna sex education na ndio maana haya malalamiko hayataisha!

SEX ni tendo la kupeana furaha na kujengana kiafya.

SEX ni starehe ambayo ni hitaji kila mtu.

SEX sio vita wala sio tendo la kukomoana! Uwezi ukakaa kifuani kwa mtu usiku mzima mkitoka hapo mtoto wa watu hata kutembea anajivuta, wewe mwenyewe magoti yote yanakuuma halafu bado ukaita SEX ni tendo la starehe.

Starehe ni kufurahiana na sio kuchoshana, na baada ya starehe lazima uwe ni mwenye furaha na sio mwenye uchovu. Sasa vijana endeleeni kutumia mavumbi ya Congo hili msimamie kucha masaa matano huku mkijichosha akili na mwili.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Ila kuna wanaume wengine tuu wakiona paja tayari unasema labda mkianza upya atakua vzr. Akiingia tuu mara moja ya pili tayari yani nusu dakika mhhhh wa namna hii msilalamikie wanawake.

Usilalamike sana mkuu kuna mabiti wabetunikiwa uzuri uliopitiliza inafikia hatua ile mkiingia geto tu unaanza kumgegeda kifikra inapokuja muda wa kuzamisha dushe inakua kama gari lililowakia kwenye gear yaani linawaka na mwendo hapohapo
 
Kwa hiyo wewe Ndio huridhiki ila mkeo anaridhika?? Mkuu acha chai wewe sema tu umgonjwa


Nishamjua kwa hiyo nikipanda tu naanza kuanza kuandaa mkojo,,, Mwishoni wote tumeridhika
 
Hizi tunaita fikra potofu.
Mimi napinga hii kauli yenu wanaume kusema mtavunjwa viuno.

Pia huo mimi naita ni uchoyo, ubinafsi, na kutojali kumbuka mwanamke naye ni binadamu na hisia za mwanamke huchelewa kupanda na hata kufika kileleni naye huchelewa kwa hiyo inahitajika kumuuanda mapema kisaikolojia tangu asubuhi na usiku mkafanya mapenzi kwa kuridhishana,

Kuna tabia ya wanaume ambayo wamekariri kuwa ni lazima upige bao nyingi ndio mwanamke aridhike hapana kikubwa ni maandalizi mazuri unaweza kupiga bao moja tu kwa muda mrefu na mwanamke akaridhika kabisa.

Pia mwanamke huandaliwa kwa dakika 40 mpaka saa 1
hata mtakapo ingia mchezoni hakika ataridhika.



ulichoandika ni sawa sawa ndg mwandishi!lakini hata kwenye maandalizi hizo dk nyingi sana!mwanamume anaejua mapenz anaanza kumuandaa tu kwa hata sms!just sms!hizo dk 40 mie sina huo uvumilivu!mnakuwa mnafanya nn !kiruu! atleast 10 min!tena hapo unajihis kuliaaaaaaaa!ndukiiii
 
Nishamjua kwa hiyo nikipanda tu naanza kuanza kuandaa mkojo,,, Mwishoni wote tumeridhika


Na sijawahi kuwa mgonjwa ukitaka nipige show hata ya 24 hrs naisimamia, incase nimekutana na pornstars
 
yuko sahihi wanaume tunajiharibu wenyewe... kuna demu ndani ya dk tano anakojoa mara mbili na kuna mademu wewe piga vumbi lako la kongo sugua 3hrs hamna kitu .utajimaliza nguvu tu ... una P ndogo tafuta inakofit siyo kulazimisha kuogelea kwenye mabwawa uishie kuitwa kibamia
Dkk tano mwanamke anapizz mara mbili hauko serious vingnevyo hujui mapenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom