Wanawake mtatuvunja viuno kwa hili.

Wanawake mtatuvunja viuno kwa hili.

Kumezuka wimbi la hadithi nyingi za kutokuridhishana kingono wake kwa waume miaka ya hivi karibuni. Nimeona kushirikishane ujuzi juu ya hii dhana potofu na wana MMU.

Kwanza kabisa tujue jambo moja kwamba aina yeyote ile ya jambo likiwemo kuridhika (satisfaction) kibaolojia na kisaikolojia mzizi wake unaanzia kwenye ubongo (brain). Kwa maana hiyo basi ubongo ndio unaratabu kila aina ya maridhisho ( satisfactions ) na dereva pekee wa brain yako ni wewe. Ukitaka ubongo wako uamuru mwili uridhike mwili utatii, na vilevile ukitaka ubongo uamuru mwili usiridhike mwili utatii vilevile.

Walalamikaji wengi wa kutoridhishwa kingono hasa wanawake ni kwamba wameuamuru ubongo wao kutoridhika na vilevile mwili utaitikia kwa kutoridhishwa. Unaweza kungonoka na wanaume saba at once still bado usiridhike.

Kuna moja ya thread ilikua inasema " Hivi wanaume kwenda chini ya dakika 30 mnajielewa kweli "?.
Ni kwamba huyu mwanamke ameu condition ubongo wake kwamba chini ya dk 30 haridhishwi hata kama atasuguliwa vipi chini ya hizo dakika hawezi ridhika, Kwa style hii wanawake mtatuvunja viuno.

Kwa wanaume sasa wakishasoma thread kama hizo wanapanic na kujihisi wana tatizo kama wanaenda kwa dakika chache ndipo Mavumbi ya Kongo yakavumbuliwa. Kwa wanawake nao wakisoma hizo thread wanaiambia akili
" Kusuguliwa chini ya dakika 30 kumbe hakuridhishi " akili kazi yake kutii tu utakavyojiambia, Michepuko inashamiri na ndoa kuvunjika kunapamba moto, na biashara ya sex toys inaingiza mapato manono na kulishana papuchi kunashamiri

Hii cycle ya kudanganyana inaendelea tu, wengine tunabaki watazamaji tu. Madhara makubwa yanatupata wanaume kwa kutumia madawa yasioeleweka tukidhani tiba kumbe tunajilipua....!!


Wito kwa wanaume wenzangu


Tuungane kwa umoja wetu tuvunje hii cycle, Sugua dakika 5 kojoa, Geuka ukutani, Koroma kama genereta ..... Watatuuwa washenzi hawa, tutatalishwa papuchi hadi tushibe. Mke wangu mimi dakika nne nyingi ananisukuma hataki tena .... Wewe uliyeoa kahaba mcheza porno asiyeridhika endelea kubwia mavumbi uvumbike ipasavyo na bado utagongewa kwa kigezo cha kutoridhisha mtu....
Hongera mkuu kwa kuliona hilo na kuujua ukwel halisi , kiufupi kinachomfanya mtu kuridhika ni mental , na biological ukiwa na hisia na mtu za mapenz ya dhat bas akikushika unasisimka mwil mzima yaan mm mpenz wangu kabla sjamuingiza basi tayar unaweza kufulia , na sijawai skia zaid ya sifa baada ya kumaliza na naweza ku range to 10-15 min sasa hawa wanaosema hawaridhishwi its in their psychological hata ukimsugua masaa mtu huyu unajipa shida tu bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kawaida bao mbili tu
tatu na kuendelea ni kwa wasio na kazi

dada kusimama kutoka posta hadi kimara ndani ya mwendokasi huwezi ila hii kitu isiyo na miguu isimame usiku kucha

nipe break dada mi ni binadamu pia
Hahahahahaah
Usiku hakuna kulala
 
Kumezuka wimbi la hadithi nyingi za kutokuridhishana kingono wake kwa waume miaka ya hivi karibuni. Nimeona kushirikishane ujuzi juu ya hii dhana potofu na wana MMU.

Kwanza kabisa tujue jambo moja kwamba aina yeyote ile ya jambo likiwemo kuridhika (satisfaction) kibaolojia na kisaikolojia mzizi wake unaanzia kwenye ubongo (brain). Kwa maana hiyo basi ubongo ndio unaratabu kila aina ya maridhisho ( satisfactions ) na dereva pekee wa brain yako ni wewe. Ukitaka ubongo wako uamuru mwili uridhike mwili utatii, na vilevile ukitaka ubongo uamuru mwili usiridhike mwili utatii vilevile.

Walalamikaji wengi wa kutoridhishwa kingono hasa wanawake ni kwamba wameuamuru ubongo wao kutoridhika na vilevile mwili utaitikia kwa kutoridhishwa. Unaweza kungonoka na wanaume saba at once still bado usiridhike.

Kuna moja ya thread ilikua inasema " Hivi wanaume kwenda chini ya dakika 30 mnajielewa kweli "?.
Ni kwamba huyu mwanamke ameu condition ubongo wake kwamba chini ya dk 30 haridhishwi hata kama atasuguliwa vipi chini ya hizo dakika hawezi ridhika, Kwa style hii wanawake mtatuvunja viuno.

Kwa wanaume sasa wakishasoma thread kama hizo wanapanic na kujihisi wana tatizo kama wanaenda kwa dakika chache ndipo Mavumbi ya Kongo yakavumbuliwa. Kwa wanawake nao wakisoma hizo thread wanaiambia akili
" Kusuguliwa chini ya dakika 30 kumbe hakuridhishi " akili kazi yake kutii tu utakavyojiambia, Michepuko inashamiri na ndoa kuvunjika kunapamba moto, na biashara ya sex toys inaingiza mapato manono na kulishana papuchi kunashamiri

Hii cycle ya kudanganyana inaendelea tu, wengine tunabaki watazamaji tu. Madhara makubwa yanatupata wanaume kwa kutumia madawa yasioeleweka tukidhani tiba kumbe tunajilipua....!!


Wito kwa wanaume wenzangu


Tuungane kwa umoja wetu tuvunje hii cycle, Sugua dakika 5 kojoa, Geuka ukutani, Koroma kama genereta ..... Watatuuwa washenzi hawa, tutatalishwa papuchi hadi tushibe. Mke wangu mimi dakika nne nyingi ananisukuma hataki tena .... Wewe uliyeoa kahaba mcheza porno asiyeridhika endelea kubwia mavumbi uvumbike ipasavyo na bado utagongewa kwa kigezo cha kutoridhisha mtu....
Hahahahahaha..... hasa hiyo para ya mwisho ni balaa. Ila watakuwa wamekuelewa wale wanaosimamia vidole halafu baadae ananaanza kulalamika oooo.... korodani zimekaza. oooo...... korodani zinauma na mambo mengine yanayoambatana na hayo
 
Hongera mkuu kwa kuliona hilo na kuujua ukwel halisi , kiufupi kinachomfanya mtu kuridhika ni mental , na biological ukiwa na hisia na mtu za mapenz ya dhat bas akikushika unasisimka mwil mzima yaan mm mpenz wangu kabla sjamuingiza basi tayar unaweza kufulia , na sijawai skia zaid ya sifa baada ya kumaliza na naweza ku range to 10-15 min sasa hawa wanaosema hawaridhishwi its in their psychological hata ukimsugua masaa mtu huyu unajipa shida tu bure

Sent using Jamii Forums mobile app


Ndo dawa yao, ukicheza na rhythm unakufa kibudu na bado utamwacha anawashwa...!!
 
hahaha unaweza ukaacha meno ukaondoka na mapengo
 
Nimeipenda hii kwa hiyo kuanzia sasa ni mwendo wa kugonga like tu kwenye k mambo ya kusugua sana ni kuchoshana tu. Tamaa ya kutaka kumkojoza mwanamke haihawahi kumuacha mtu salama kisaikolojia

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio kisaikolojia pekee Mkuu . Unaamka kesho misuli ya tumbo inauma kwa zoezi kali la 30 m.+ , hata mazoezi ya kawaida tunashauriwa kufanya kwa muda maalum . Lingine unakuta dushe likiwa na alama ya mchubuko kama umeenda dry ni hatari .
 
Hizi tunaita fikra potofu.
Mimi napinga hii kauli yenu wanaume kusema mtavunjwa viuno.

Pia huo mimi naita ni uchoyo, ubinafsi, na kutojali kumbuka mwanamke naye ni binadamu na hisia za mwanamke huchelewa kupanda na hata kufika kileleni naye huchelewa kwa hiyo inahitajika kumuuanda mapema kisaikolojia tangu asubuhi na usiku mkafanya mapenzi kwa kuridhishana,

Kuna tabia ya wanaume ambayo wamekariri kuwa ni lazima upige bao nyingi ndio mwanamke aridhike hapana kikubwa ni maandalizi mazuri unaweza kupiga bao moja tu kwa muda mrefu na mwanamke akaridhika kabisa.

Pia mwanamke huandaliwa kwa dakika 40 mpaka saa 1
hata mtakapo ingia mchezoni hakika ataridhika.
Saa zima mkuu ni maandalizi tu hapana kwakweli, labda maandalizi ya harusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom