Wanawake mtatuvunja viuno kwa hili.

Wanawake mtatuvunja viuno kwa hili.

Acheni kudanganyana humu dk 40 unamuandaa mwanamke? Mm siamini

Sent using Jamii Forums mobile app

Maadamu umesema wewe huamini basi tayari umeshaweka individualism, na kweli kwenye haya mambo kila mtu huwa ana ufanyaji wake kulingana na mwenza aliyekutana nae! Kuna mwanamke mwingine bila kumuandaa dk 40-1hr ni kama vile una mbaka na kuna mwingine hata dk 10 nyingi tayari ameshanyegeka. Ni tofauti za kihisa ambazo zipo na wala hakuna kudanganyqna hapa

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Ni kweli kabisa .... Ila wanaume wengine sijui ndio kukomoa ama vipi mtu dk 45 yumo tu na akimaliza anataka tena na tena .... Kheeee mtatuua pia
 
Wanaume wa dar ndio zenu hizo za kulialia kila kitu, NGUVU za kiume kuwa pungufu ni nyie, kutoridhisha wanawake ni nyie, sasa Leo mnaanza kuwasingizia, acheni chips kuku na ma jimu yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa .... Ila wanaume wengine sijui ndio kukomoa ama vipi mtu dk 45 yumo tu na akimaliza anataka tena na tena .... Kheeee mtatuua pia
nakutoa mie hapo kifuan mapenzi starehee

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
nakutoa mie hapo kifuan mapenzi starehee

sent from motorola bapa and nokia jeneza
Hata sielewi wanafanyagamo nini hahhaha .... Nashindwaje kumwambia koma ... Asugue weee kuikomaza alafu amalize haja asepe bila hata kutangaza ndoa pyeee
 
Maadamu umesema wewe huamini basi tayari umeshaweka individualism, na kweli kwenye haya mambo kila mtu huwa ana ufanyaji wake kulingana na mwenza aliyekutana nae! Kuna mwanamke mwingine bila kumuandaa dk 40-1hr ni kama vile una mbaka na kuna mwingine hata dk 10 nyingi tayari ameshanyegeka. Ni tofauti za kihisa ambazo zipo na wala hakuna kudanganyqna hapa

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Sawa Mkuu lkn ujue kudate na mwanamke wa sampuli hiyo nishida pia yaani saa nzima unamuandaa then bado atahitaji holi zaidi ya 2 ndy awe satisfied hapo hapana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutusuana kunahitaji mazowea kama unajua kuwa mwenzio dakika zake ni 5 -15 haipaswi kumpeleka 20 - 45 unaweza kumfanya akuchukie na achukie hiko kashughuli kenyewe, mtusuo mzuri ni ule unaofanyika kwa kushirikishana ikiwa bibi kashafika anahitajika aseme kuwa tayari na wewe unashusha wazungu taratibu na ikitokea mzee joto limekuzidi wazungu wakashuka haraka basi bibie aliamshe dude kwa mara ya pili hadi bibie nae awashushe warembo wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa Mkuu lkn ujue kudate na mwanamke wa sampuli hiyo nishida pia yaani saa nzima unamuandaa then bado atahitaji holi zaidi ya 2 ndy awe satisfied hapo hapana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unafahamu kuwa sex ni hisia na wala sio ingiza toa-ingiza toa!?

Kuridhishishana kwenye sex ni matokeo ya kusomana kihisa na kila mmoja kuifanyia kazi weak point ya mwenzie!

Na suala la kuridhishana halina uhusiano na mmefanya muda gani sijui mmepigana goli ngapi.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Back
Top Bottom