Mada ni nzuri ila inabidi na inalazimika kueleweka kuwa the art of love making ina maeneo yake na hatua zake mpaka kukamilisha zoezi zima.
1. Maandalizi ya awali....haya nayo yamegawanyikakatika sehemu mbili...
A. Maandalizi ya kuamsha hisia ..hapa tunajumuisha chombeza za kimaongezi sms chats za kimahaba na hata kutumiana picha zinazohamsha hisia za kimapenzi na kumualert
mwenzio juu ya kuwa tayari kwa one big moment.
B. Maandalizi ya kuelekea tendo lenyewe..foreplays. hapa naongelea vitu kama touching and caresing each others. Yani kwa kifupi maandalizi kama kugusana kunyonyana kushikashikana na michezo kibao kabla ya dyudyu au dhakari ya jinsia mme haijaingia kwa mwenzi wako...
Ni matarajio ya wengi na hasa wenzetu jinsia ya kike kuwa stage hii ya B..ikitumika vizuri na kwa muda wa kutosha basi wengi wao huanza kupata orgasm au kufika vileleni hata kabla hujaingiza dudu..
na hapa ndipo wanawake wengi hulilia wingi wa dakika...ikiyokea hapa umapakosea...unaweza kumsugua mpaka akaota malengelwnge na asikojoe..ila ukimpatia hapa ndio unakuta dk 4 unasugua na kumaliza kesi kwa furaha pande zote.
2. Tendo lenyewe la ndoa...hapa namaanisha uingizaji wa dyudyu na utumiaji wa kifaa hiki kwa ustadi wa hali ya juu.
Hii art ni siri nzito sana na kwa wachache tuliojaaliwa kuijua basi huwa hatupati tabu kuzitumia siri hizo iwe ni timu kibamia kama mie au timu mandingo kama wewe.
Matumizi sahihi ya silaha yako na kwa wakati muafaka ndio siri kubwa hapa kwenye ufanyaji wa tendo hasa baada ya kuwa umemuandaa mwenzako.
Uchunguzi unaonyesha kuwa wenzetu hisia zao huamshwa kwa kuguswa na kutomaswa na kusikia wakati sie wanaume hisia zetu huamshwa kwa kuona....unless uwe kipofu.
Sent using
Jamii Forums mobile app