Wanawake mtatuvunja viuno kwa hili.

Wanawake mtatuvunja viuno kwa hili.

Maadamu umesema wewe huamini basi tayari umeshaweka individualism, na kweli kwenye haya mambo kila mtu huwa ana ufanyaji wake kulingana na mwenza aliyekutana nae! Kuna mwanamke mwingine bila kumuandaa dk 40-1hr ni kama vile una mbaka na kuna mwingine hata dk 10 nyingi tayari ameshanyegeka. Ni tofauti za kihisa ambazo zipo na wala hakuna kudanganyqna hapa

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.



ewaaaaaaa hapa ni kila ntu na ntu!aic 40min nying sana had stim mbn zitakata!only 5 min nyiritiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Nashukuru kwa mawazo mazuri mkuu mi sikuumbwa ili nimridhishe mtu, nilimaliza utam wangu napumzika asiyeridhika atafute namna nyingine kama ataenda kwa jirani sawa kama atajitia vijiti who cares!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi tunaita fikra potofu.
Mimi napinga hii kauli yenu wanaume kusema mtavunjwa viuno.

Pia huo mimi naita ni uchoyo, ubinafsi, na kutojali kumbuka mwanamke naye ni binadamu na hisia za mwanamke huchelewa kupanda na hata kufika kileleni naye huchelewa kwa hiyo inahitajika kumuuanda mapema kisaikolojia tangu asubuhi na usiku mkafanya mapenzi kwa kuridhishana,

Kuna tabia ya wanaume ambayo wamekariri kuwa ni lazima upige bao nyingi ndio mwanamke aridhike hapana kikubwa ni maandalizi mazuri unaweza kupiga bao moja tu kwa muda mrefu na mwanamke akaridhika kabisa.

Pia mwanamke huandaliwa kwa dakika 40 mpaka saa 1
hata mtakapo ingia mchezoni hakika ataridhika.
Dk 40???? Kwani huo mkesha wa mwenge, akija anatakiwa ajiandae mwenyewe kisaikolojia kwamba anakuja kungonoka ivo anatakiwa kukojoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake si warahisi sana kufika,,,mwanaume anahitaji kumjua vzr mwenza wake ili kumfikisha kunako..na mwanamke anahitaji utulivu kichwani awe na feelings 100% ,, sio swala la Dk ngapi kisuguliwa nooo..
 
Back
Top Bottom